TANZIA Profesa Peter Msaki afariki Dunia

TANZIA Profesa Peter Msaki afariki Dunia

Sio kweli unavyosema. Nuclear physics bado ni muhimu hapa TANZANIA. UNGEULIZA UAMBIWE. UNAJUA KWA NINI MBUN,GO (TSE TSE FLIES) WOTE ZANZIBAR WALIISHA?, AU UNAJUA JINSI YA UZALISHAJI WA mpunga ULIVYOINGEZEKA NCHINI. ULIZA MKUU SIO NUCKEAR WEWE UNAWAZA BOMU
Mkuu leta habari hapa na wengine tuelimike jinsi neuclear ya Albert Einstein ilivyongeza uzalishaji wa mpunga hapa TZ 🙂🙂
 
kua na nuclear physist tz ni upotevu wa raslimali bila sababu ya msingi.... R.I.P prof.
Hii inaonyesha kiwango chetu cha elimu na uelewa kwa ujumla.

Kipimo cha MRI ni moja ya application ya nuclear physics. Mfano nmoja katika maelfu.


Tutabaki na ujima wetu hadi kiama
 
Theoretical physst never design anything but they explain hard,abstract thing in a simplest language, they open what is hidden! Ukimtoa mungu mkuu(GOD OF CREATION) anaefuatia in mwanafizikia.
Mwanafizikia sio kazi yake kuunda vitu, hio ni kazi ya Engineer men!
Vichwa maji watakupinga, Einstein kaunda nini
 
Humu watu wengi hawaelewi nchi na dunia inaendeshwaje.
My dear artist,nchi inaendeshwa kwa Sera sio kwa matakwa ya wanasayansi men!
Sera za Africa huundwa na wanasiasa vilaza wanaojali Mimi napata nini.
Barani Afrika hakuna SERA thabiti za kuwatumia wanasayansi ipasavyo.
Uundaji wa BOMU la nyuklia nimpango wa Sera ya nchi na si mwanasayansi.Mwanasayansi kazi yake ni kutoa ushauri na kusimamia taasisi husika.
Uundaji wa BOMU la nyuklia ni mpango unaofanywa na team inayohusisha nyanja nyingi au sekta nyingi kwa mpigo.
Nuclear technology is not an easy thing as to construct a road from mwanza to shinyanga, viongozi,wanachi wanasayansi kwa pamoja wanatakiwa wajitoe ufahamu kama mnavyoshuhudia Iran, Korea.
Wanasyansi wengi Barani Afrija wanashindwa Ku excel kwa sababu Afrika haijawa tayari kwa mapinduzi ya sayansi na teknolojia.Mwanasayansi kama Elon Musk asingekimbilia America kama South Afrika ingekuwa na Miundombinu ya kumuwezesha Kufanya mapinduzi anayoyafanya Leo America.
Mwanasayansi wengi wanaikimbia Afrika to utilize their full potential in Europe because of bad policies in Africa.
Hivi unajua Betri ya simu unayotumia imegunduliwa na mwafrika wa Morroco but nchini Marekani.Unajua kuwa Fibre father is black man from Afrika,but he achieved it bell laboratory in America !
Mnataka achievements za kiteknolojia huku hamtaki kuwekeza miundombinu ya teknolojia,mnawekeza kwenye anasa.
pumbavu kweli! Acheni ujinga ujinga be intellectually matured!!!
 
Vichwa maji watakupinga, Einstein kaunda nini
They only study history of mwanamutapata.They don't study history of science and technology.vinginevyo wasingeuluza maswalii ya kipuuzi humu labda kama ni la saba it is beyond their knowledge.
 
Hallow nipe hayo madini mkuu
Sio kweli unavyosema. Nuclear physics bado ni muhimu hapa TANZANIA. UNGEULIZA UAMBIWE. UNAJUA KWA NINI MBUN,GO (TSE TSE FLIES) WOTE ZANZIBAR WALIISHA?, AU UNAJUA JINSI YA UZALISHAJI WA mpunga ULIVYOINGEZEKA NCHINI. ULIZA MKUU SIO NUCKEAR WEWE UNAWAZA BOMU
 
Ngumbaru wamejianika sana humu kwenye thread hii. Inatia kimyaa sana.
Tanzania inayo uranium ya kutosha na moja ya elimu ya kuja kuitumia au angalau kujua inatumikaje ni nuclear physics.
Mtu anaongea uharo eti hatuhitaji nuclear physist.
 
Leteni basi huku Handeni Mbung'o wametumaliza mifugo
 
Kwani yesu ni mweupe? Tupe andiko

Kusoma historian,kiswahili nk huongeza muda au sio mkuu.Ungejua watu waliosoma physics wanavyoiona dunia na ulimwengu wake usingekomenti pumba.
Endelea kukariri na kuamini maungo ya SI unit za wazungu wako mkuu
 
They only study history of mwanamutapata.They don't study history of science and technology.vinginevyo wasingeuluza maswalii ya kipuuzi humu labda kama ni la saba it is beyond their knowledge.
Hivi wakiambiwa kuwa papai ni dawa ya covid 19 wanataka hadi wawekewe kwenye chupa[emoji19], theory ya Einstein ilitumiwa na mainjinia kutengeneza tremendous energy kwa kutunimia nuclear reaction na wakaweza kuunda bomu la nuclear lililomaliza vita ya 2 ya dunia. So invention is not a linear process.
 
Apumzike kwa amani, mwendo ameumaliza!
Nilipitia kwake kipindi flani, sitomsahau!
 
Na hadi anakuwa professor ina maana kuwa ana mchango mkubwa kwenye nyanja ya nuclear, kama hatukuweza kutumia utaalam wake kuunda kitu cha kuisaidia jamii basi hilo siyo kosa lake bali kosa la muunda wa elimu yetu, kuunda vitu vya kutatua matatizo ya jamii kunahitaji uwekezaji mkubwa wa pesa na technology, siyo habar ya kujua tu.
 
Pia alikuwa mtaalam wa mathematical methods of physics, kaifundisha hiyo karibia vyuo vyote Tanzania, sasa ni mtu wa kumbeza huyo kweli? Wanaojua umuhimu wa mathematical methods of physics katika kuhamisha mahesabu ya kawaida kwenda kwenye physics watakubali kuwa alikuwa mkali.
 
January Makamba ndiye mtu pekee aliyesifiwa na Professor kuwa alikuwa tayar kuyafanyia kazi mawazo yake. So i respect that Bumbuli MP from there. Pia naona fahari kupata nafasi ya kupiga story na Professor enzi ya uhai wake, nilisikia mambo mengi sana yanayokwamisha maendeleo ya Science.
 
Back
Top Bottom