Profesa Shivji: Mkataba wa Bandari unaegamia zaidi upande mmoja na hauna ukomo wa muda. Hauwezi kuvunjwa kwa sababu zozote zile

Dah![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Shivji haoni ndani kwa Professor Zembwela na Dr. Kitenge hawa ni wabobevu kwenye sheria za mikataba ya kimataifa.View attachment 2672113
haya machawa ya kijinga nayafananisha na sabaya, makonda na mnyeti. awamu tofauti ikiingia yatakosa cha kufanya, watakosa wa kuwachezea na kuwakebehi, yatanyooshwa na kujifungia ndani kwa kukosa cha kufanya. hivi kweli wanafikiri watanzania tu wajinga kiasi cha kutuletea unafiki na kebehi kama wanazoleta, kwenye issue inayohusu maslahi ya taifa? na huko uarabuni walikoenda wakirudi wafanyiwe vipimo kama vya yule afande wa zanzibar
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila JF Haiboi, wala haichoshi.
 
Wale kenge waliokuwa hawasikii mpaka masikio yao yatoke damu naamini sasa watasikia, mjomba wao amesema.Samia ni msaliti.
 
Poteleambali kama wewe huwez tuache ss tuandamane Kwa ajir ya vizazi vijavyo sio vya Sasa maana ss tushajichanganya Tyr
Ungekua na akili ya kufanya mambo kwa ajili ya vizazi vijavyo basi ungeenda kupanda miti hizo hela unazopewa baada ya kupumuliwa choko wewe, iwe mwanzo na mwisho kuni-quote
 
Duuh
 
Ungekua na akili ya kufanya mambo kwa ajili ya vizazi vijavyo basi ungeenda kupanda miti hizo hela unazopewa baada ya kupumuliwa choko wewe, iwe mwanzo na mwisho kuni-quote
 
Mlisema bandari zote kapewa DP World, mbona tunaona na wengine wanapewa bandqr7 zingine wazijenge kisasa na kuziendesha?

Kulikoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…