Profesa Shivji na wafanyabiashara kwenye siasa nadhani hajavuta kumbukumbu zake vizuri

..lakini kwa upande mwingine performance mbaya ya waliokabidhiwa kuendesha Tanesco ndio inayowapa kauli wanaotaka kuibinafsisha.
Tatizo ni ubinafsishaji kama ule wa NBC ambao hautakuwa na manufaa yoyote kwa taifa.
 
Issue hapa ni neno dogo lakini linahitaji uelewaaaaaa

Sio paragraph baada ya paragraph za kutokuelewaaa unacho andika ni nini.
Sikujua kama huyo philipo ni bwege kiasi hicho. Wanasiasa anaotuhadithia si ndio hao waliotulisha mchele mbovu na kuuondoa uhai wa mkemia mkuu?!
 
Je, Prof Shivji anaweza kutupatia option ya kuendeleza Tanesco?
Objective criticism or views need options??

Prof Shivji ni mwanasheria labda wamtumie kwenye kesi za Tanesco. Ninavyo jua Tanesco wako na wanasheria wazuri mfano Mh Mkono enzi hizo na hii timu ya bodi imelishughulikia hilo. Sio rahisi kuishinda Tanesco kwenye kesi watakuwa wanashinda mashauri yao na kulipwa fidia nyingi zitakazo mnufaisha mlengwa ambaye ni mwananchi.
 
Unapotosha. Profesa shivji hajakosa imani na sekta binafsi ila na wafanya biashara wakubwa kwenye nafasi za juu za uongozi kama vile executive yaani uwaziri na uongozi wa mashirika makubwa ya umma.
Kwenye uwakilishi tu wabunge wafanyabiashara wakubwa wamekua hawaaminiki kwa shida ya conlict of interest.
Ukweli mama anachukua njia isiyo na maslahi ya umma. Hii sio njia ya magufuli.
 
Siku zote maskini muonyeshe kuwa nia yako ni njema, ukishafanya hivyo umemaliza kazi. Huo ni ujanja wa Nyerere, Mwinyi na wengi wa afrika hii. Kwamba ulikuwa na nia fulani nzuri tu lakini utimizaji wako ni tatizo na wao watakusamehe tu kwani nia yako ilikuwa ni njema tangu mwanzo.

Kibaya zaidi Mama hana uwezo wa mawasiliano yanayompa ukaribu na mwananchi, hana zile sarakasi wala sanaa za kila siku zinazomuweka karibu na moyo wa mnyonge. Anaweza kufanya mengi na makubwa lakini akawa sio maarufu kama mtu maalum wa wanyonge.
 
Sikujua kama huyo philipo ni bwege kiasi hicho. Wanasiasa anaotuhadithia si ndio hao waliotulisha mchele mbovu na kuuondoa uhai wa mkemia mkuu?!
Nimekusoma kiumbe mwenye akili nyingi. Unakuja na siasa za kulishana mchele mbovu za miaka karibu 25 iliyopita. Wewe umekariri maisha.
 
+Njia nzima imejaa conflict of interest. Ndio maana tunazalisha kashfa nyingi za rushwa kwa sababu tunadharau hii issue ya conflict of interest
 
Nimekusoma kiumbe mwenye akili nyingi. Unakuja na siasa za kulishana mchele mbovu za miaka karibu 25 iliyopita. Wewe umekariri maisha.
A conflict of interest in business normally refers to a situation in which an individual's personal interests conflict with the professional interests owed to their employer or the company in which they are invested.

Conflict of Interest. A conflict of interest exists when a volunteer leader has a direct or indirect business, professional, or personal interest or relationship that might influence, or might be perceived to influence, the judgment or actions of the leader when serving the Association.
 
Unamzungumzia Mzindakaya aliyepora ardhi ya wananchi na kuohodhi pasipo kuiendeleza huku walala hoi wakikosa sehemu za kulima? Mleta uzi aliyekutuma kazi hii, ungemwomba akupe data za ukweli.
 
Umebugi mleta maada wewe na Makamba kichwani bado vidampa sana, kwenye infant states kama TZ maswala ya conflict of interests yanapuuzwa sana. Na hii ni taa ya wazi kwa makamba urais asahau kbsa hata uwaziri mkuu ni never never. Ndio basi tena kalivaa tego la usinga. Chilo chiswano watu wa January
 
Dah...dugu yangu..naona haukumuelewa Prof..... Kwa kifupi uliingia chaka 🤭
 
Wafanyabiashara watapoozesha kasi ya ujenzi wa bwawa la Nyerere ili waweze kuikodisha majenereta serikali na wao kulipwa capacity charges.
Dah....yaleyale ya Nesi wa Kijiji kuolewa na muuza majeneza 🤣🤣🤣🤣🤣🤭
 
WEWE HUNA AU UNAONGEA TU?
 
Tatizo hao wanaotembea nchi nzima kuomba kura wanashindwa kuwa na kundi jingine jipya kabisa la watu wanaowaamini walio kinyume na hao wenye conflict of Interest.

Na siku zote mtu anapopewa cheo kipya akapata connections humu humo ofisini kidogo kidogo hutengeneza mazingira ya conflict of interest. Hua haizaliwi kutoka kusikojulikana.

Ni sawa na wale madaktari wanaokua kwanza kikazi kwa mishahara kuongezeka na kukutana na watu mbalimbali ndio wanaoanzisha hizo conflict of interests.

Kwa hiyo hilo suala ipo tu, iwe kwa mwajiriwa kuja mgeni kabisa ofisini na kuzijenga taratibu iwe kwa mwajiriwa mzoefu, watu humu wanalalamikia mazoea ya hawa waajiriwa wapya wakisahau kuwa hizi conflict of interests ni matokeo ya watu kulindana na nidhamu ya uoga yenye kutengeneza makundi maofisini.
 
Mkuu Gaucho naona ujuaji umekujaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…