Profesa Shivji na wafanyabiashara kwenye siasa nadhani hajavuta kumbukumbu zake vizuri

Profesa Shivji na wafanyabiashara kwenye siasa nadhani hajavuta kumbukumbu zake vizuri

Mkuu Gaucho naona ujuaji umekujaa.
Andika unachojua kama response na wewe si unajua thats why unaandika. Komaa kiongozi provocations pia ni akili na lazima uwe tayari kuziface front. Makamba kwisha habari na maturity hamna. Hongereni sasa hivi hana njaa ya ukigogo twitter, wamemleta ndani ili akae kati vizuri.
 
Andika unachojua kama response na wewe si unajua thats why unaandika. Komaa kiongozi provocations pia ni akili na lazima uwe tayari kuziface front. Makamba kwisha habari na maturity hamna. Hongereni sasa hivi hana njaa ya ukigogo twitter, wamemleta ndani ili akae kati vizuri.
Mama kutangaza nia mapema ni ujumbe kuwa Makamba aidha autafute urais akiwa na miaka 60 au atulie akubaliane na hali halisi. Simuoni kama akimsumbua Mama miaka yake madarakani. Na mpaka Mama anaonyesha nia ya kuutaka urais ni kwamba ameshawapigia mahesabu wote wanaomzunguka kundini, vinginevyo labda uibuke usaliti mkubwa 2024 kuelekea 2025.
 
Mama kutangaza nia mapema ni ujumbe kuwa Makamba aidha autafute urais akiwa na miaka 60 au atulie akubaliane na hali halisi. Simuoni kama akimsumbua Mama miaka yake madarakani. Na mpaka Mama anaonyesha nia ya kuutaka urais ni kwamba ameshawapigia mahesabu wote wanaomzunguka kundini, vinginevyo labda uibuke usaliti mkubwa 2024 kuelekea 2025.
Samia kapotoshwa kabisa na apende asipende hatokuwa mgombea wa ccm 2025, nchi hii ina mambo mengi hatuna muda wa mkakae mkajipange, tutaona namna ya kufanya, nitatoa maelekezo.
 
Yaan ndio maana Lowassa alisema,watanzania wanahitaji elimu!Elimu!!Elimu!!!Kimsingi Prof kaongelea conflict of interest. Kaongea kwa ufupi na kila MTU kaelewa kwa nn huyu mama hasitahiki kuwemo kwenye hiyo bodi.Lakin ndugu,inaonekana hukumwelewa kabisa Prof.Au hauelewi kabisa hiyo concept. Unahibuka na gazeti kubwa ,ambalo halieleweki unachoongea.
Mkuuu elimu is everything, nchi hii itaburuzwa sanaa kwa sababu majority wana elimu duni na uwezo mdogo wa akili. Hao wote anaowatolea mifano wamepigania kuingia bungeni ili kulinda maslahi yao ya kibiashara full stop.
 
ninachokiona mimi mission ni nyingi na huenda haviingiliani na vision hivyo tutegemee hasara inaweza kuwepo
 
Samia kapotoshwa kabisa na apende asipende hatokuwa mgombea wa ccm 2025, nchi hii ina mambo mengi hatuna muda wa mkakae mkajipange, tutaona namna ya kufanya, nitatoa maelekezo.
Samia kashika mpini hao wengine wameshika makali. Kama umegundua Samia keshaanza kampeni za chini kwa chini ukichanganya na uwezo wake wa kuwa msikilizaji na mtekelezaji wa anayoyasikiliza.

Samia hana mikakati ya kukomoa wapiga kura na hiyo inamsaidia kuifungua nchi akijijengea kukubaliwa na wote.
 
Mkuuu elimu is everything, nchi hii itaburuzwa sanaa kwa sababu majority wana elimu duni na uwezo mdogo wa akili. Hao wote anaowatolea mifano wamepigania kuingia bungeni ili kulinda maslahi yao ya kibiashara full stop.
Zamani ukiitwa ofisini kwa RSO unakwenda mwenyewe na unavyotoka sivyo kama ulivyoingia.

Mama hana hizo tabia za kuwanyanyasa watu kiakili. Hakuna tena kuwindana kama chui na simba nyikani.
 
Tatizo hao wanaotembea nchi nzima kuomba kura wanashindwa kuwa na kundi jingine jipya kabisa la watu wanaowaamini walio kinyume na hao wenye conflict of Interest.

Na siku zote mtu anapopewa cheo kipya akapata connections humu humo ofisini kidogo kidogo hutengeneza mazingira ya conflict of interest. Hua haizaliwi kutoka kusikojulikana.

Ni sawa na wale madaktari wanaokua kwanza kikazi kwa mishahara kuongezeka na kukutana na watu mbalimbali ndio wanaoanzisha hizo conflict of interests.

Kwa hiyo hilo suala ipo tu, iwe kwa mwajiriwa kuja mgeni kabisa ofisini na kuzijenga taratibu iwe kwa mwajiriwa mzoefu, watu humu wanalalamikia mazoea ya hawa waajiriwa wapya wakisahau kuwa hizi conflict of interests ni matokeo ya watu kulindana na nidhamu ya uoga yenye kutengeneza makundi maofisini.
Naona unaandika "utoto" sasa sijui sababu ya kutokujua concept au ndio issue ya elimu elimu elimu
 
Naona unaandika "utoto" sasa sijui sababu ya kutokujua concept au ndio issue ya elimu elimu elimu
Hizo elimu tatu ni mbwembwe za mtanzania siku zote anajiona anajua kuliko mwingine. Huo utoto ni concept iliyozaliwa kutokana na ujuaji ule ule.
 
Labda tumkumbushe Shivji juu ya hayati Andy Chande
Huyu bwana alikuwa mfanya biashara tajiri na kiongozi wa Freemasons Africa Mashariki lakini alikuwa Mwenyekiti wa bodi mbali mbali kwenye enzi ya ujamaa wa Nyerere hadi enzi ya ukweli na uwazi wa Mkapa
Aliaminiwa na kufanya kazi kwa uaminifu mkubwa
Kama hawa wa Sasa wataharibu ni ubinafsi wao tuu.
 
Amesikika Profesa maarufu wa Chuo Kikuu cha Dar Issa Shivji akiongelea namna wafanyabiashara wakishakuwa wametajirika wanavyovyamia masuala ya kisiasa na kitaalam. Labda ni baada ya kusoma majina ya wale wajumbe wa bodi ya TANESCO ndio akajenga hoja alizozijenga. Kwamba wafanyabiashara wenye akili za kibiashara ni ngumu kuwa na ufanisi wenye kujikita katika kutatua matatizo ya walio wengi pasipo kutanguliza nia zake za kisiasa.

Anaweza kuwa na hoja lakini naziona zimejikita katika kutaka kumpaisha yeye Shivji kama yeye lakini sizioni zikiwa zikitazama mbali. Ni hoja nyepesi kama tukiamua kuiangalia historia ya wabunge ambao ni wafanyabiashara na hata kuingia kwao bungeni hakukuondoa ule ukweli kwamba wao ni watu wa sekta binafsi.

Ipo mifano mingi ya wafanyabiashara na namna walivyokuwa ni sehemu ya utungaji wa sera na sehemu ya utatuzi wa matatizo sugu ya wananchi. Mifano ni mingi, miaka ile ya 1990 alikuwepo hayati Abbas Gulamali, aliyeanzia Yanga kama mdhamini halafu akaingia bungeni akiwa mbunge wa jimbo moja la Morogoro.

Hayati Gulamali aliweza kuchanganya siasa na maslahi yake mapana ya biashara pasipo kuharibu upande wowote kati ya hizo mbili. RIP Gulamali alikuwa ni mmoja wa matajiri wa kwanza kabisa kusimama na kutetea wakazi wa Morogoro akiwa Bungeni, wala usingeweza kuutambua ule ufanyabiashara wake wa kiwango cha juu aliokuwa nao kipindi kile.

Mzee Mzindakaya ni mfano mwingine ya namna ujasiriamali unavyoweza kuchanganywa na masuala ya kisiasa, huyu amekuwa mbunge kwa miongo kama minne na zaidi kidogo. Ni mkulima mkubwa na wakati huo huo ni mtunga seramahiri, mwenye kuchanganya vyema masuala hayo mawili.

Mohamed Dewji ni mfano mwingin wa tajiri anavyoweza kuwa mwanasiasa hapa Tanzania. Alianzia michezoni akaenda siasani na baadae amerudi michezoni. Na akiwa siasani aliweza kuchagiza maendeleo makubwa ya jimbo lake la Singida. Mohamed ni mmoja wa wajasiriamali wenye uchungu na maisha ya kawaida ya mtanzania. Misaada yote aliyoitoa jimboni kwake haina nia za kulikuza jina lake mwenyewe zaidi ya kuukuza ubinadamu wa wapiga kura wake.

Mwingine ni Shabiby wa Morogoro. Tajiri huyu akisimama bungeni anachokiongelea kina uhusiano na utetezi wa moja kwa moja wa shida za wakazi wa Morogoro. Ni mpaka uambiwe kuwa huyu mzungumzaji wa sasa ni mmiliki wa mabasi mengi na ni mjasiriamali mkubwa wa mkoa wa Morogoro.

Kuamini kwamba mfanyabiashara ni mtu wa kumhisi vibaya haswa pale anapokuwa na maslahi kwenye taasisi za kisiasa ni imani potofu.Ni mtazamo wa Baba wa Taifa Hayati Julius Nyerere kwamba ubepari ni unyama. Profes Shivji akiwa ni mfuasi kindakindaki wa Mwalimu Nyerere anaweza kueleweka akiwa na mitazamo ya kutowaamini wafanyabiashara.

Lakini dunia ya sasa ambayo kuna wale wasemaji wenye kuwapa moyo wananchi (Motivational Speakers) huwezi kuukwepa ushawishi wa tajiri kwenye siasa. Dunia hii ya mtu kuanza maisha kama muuzaji wa bidhaa za kutembeza karibu na taa za magari mijini na mpaka kufika hatua ya kusimama kama mjasiriamali mkubwa, huwezi kuukwepa ushawishi wake wala simulizi nzito zenye kutia moyo.

Tujaribu kutazama kile chanya kinachoweza kuwa ni mchango wa tajiri anapopewa nafasi ndani ya taasisi nyeti za kiserikali kuliko kutanguliza kwanza ile hofu ya yeye kuweza kuitumia vibaya taasisi hiyo kwa masuala ya kibinafsi. Tajiri siku zote tunamuona kama ni mwizi kwanza kabla ya kuwa tajiri, tunamuona ni mtu siye wa kumuamini kwanza kwa ubinadamu wake na uzoefu wake wa kibiashara. Hizi dhana za kijamaa zinatunyima mengi na zinaendelea kutokosesha ule uhuru wa kiushindani wenye kuanzia kichwani kwanza kabla ya kushuka kwenye matendo yetu.

Marekani ni utajiri wao wote walishindwa kuukwepa ushawishi wa Ross Perot miaka ile ya 1980, akiwa ni mfanyabiashara mkubwa aliyeutafuta na kuupata utajiri kwa nguvu zake mwenyewe. Na ni huko Marekani nchi ya dunia ya kwanza ambapo hatuwezi kuwa na Tanzania pasipo uwepo wa mahusiano hai ya kisiasa na kiuchumi.

Kwa kweli Profesa Shivji amekosea kutokuwa na imani na sekta binafsi mpaka akaiwekea wasiwasi kichwani mwake. Waendeshaji wa bandari kubwa kubwa kama zile za Afrika ya kusini ni wafanyabiashara wa zamani waliofanikiwa, ndio wenye kuwekeza uzoefu wao wenye kuleta tija. Mfano wa karibu ni Erick Hamisi, Bosi wa TPA wa sasa ambaye msingi wake ni sekta ya benki namna anavyofanya mapinduzi pale bandarini tofauti na Kaka Kakoko aliyekosa uzoefu wa kibiashara na kiuchumi.

Profesa Shivji naamini kujifunza ni daima kwani elimu haina mwisho. Jaribu kusoma kwa kina ushawishi walionao wafanyabiashara kwenye sekta za umma na utajifunza mengi yenye umuhimu.
Kwenye Serikali isiyo imara, kuwa na compradors kwenye Serikali ni jambo la hatari sana. Prof. Shivji knows better!
 
Umeandika mambo mengi ila yote upuuzi tu
 
Kwani yeye Profesa wakati anatoa hoja yake, alikuwa anatumia kichwa chake tu au alikuwa anaangalia kanuni ambayo ipo siku zote kama guide ya kuwaongoza watumishi wa umma ili kuepusha mgongano wa maslahi kwenye kazi zao?

Mimi naona Profesa yuko sahihi ukizingatia kuwa mara zote ni muumini wa sera za Mwalimu Nyerere, Ujamaa na Kujitegemea. Hata hivyo, kwa sababu tulishaingia kwenye ubepari kimya kimya, wewe pia nawe uko sahihi.

Kwa hiyo nachelea kusema kuwa wote mko sahihi, Profesa yuko sahihi na wewe pia uko sahihi.
Sijui kama hoja yangu nimeitoa kwa-usahihi kwa sababu mimi ni layman perce kwenye haya mambo ya Political science
Asilimia 80% ya mafanikio kwenye biashara yanategemea mfanyabiashara hii nipamoja na jinsi anavyoenda kwenye biashara yake(personal qualities) cha ajabu asilimia 20 iliyobaki ina nguvu ya kuua biashara,somo ni refu kidogo, 'practically the remaining 20% has more driving forces for business failure' nimeandika kwenye kitabu changu cha ujasiamali. Hiyo asilimia 20 inatokana na yanayomzunguka mfanyabiashara ikiwemo siasa,mabadiliko ya tabia nchi,majanga,magonjwa ya milipuko mfano uviko-19,(the entrepreneur and his environment)
 
Back
Top Bottom