Profesa Shivji: Wasomi wanaogopa kukosoa Serikali ili wapate teuzi. Hawana msaada tena kwa jamii ya Watanzania

Profesa Shivji: Wasomi wanaogopa kukosoa Serikali ili wapate teuzi. Hawana msaada tena kwa jamii ya Watanzania

Wasomi wapo kwa ajili ya matumbo yao tu. Hawana msaada wa kitaaluma kwa taifa letu tena. Hawakosoi kwa manufaa ya umma
--
Mwanazuoni mkongwe nchini, Profesa Issa Shivji amesema sehemu kubwa ya wasomi nchini wameshindwa kulisaidia Taifa kwa kutoa ushauri unaofaa huku wakisubiri kuteuliwa kwenye nyadhifa mbalimbali.

Profesa Shivji, gwiji la sheria kitaifa na kimataifa alitoa kauli hiyo juzi, katika mahojiano ya kipindi cha dakika 45 kinachorushwa na ITV ambapo pia alizungumzia miaka 100 ya kuzaliwa kwa Mwalimu Julius Nyerere.

“Mimi ni msomi, nakiri sitaki kusema nipo tofauti na wengine, zamani wasomi walikuwa wanakosoa na kushauri, tuliandika, tulikuwa na midahalo, tunazungumza, lakini sasa hivi hatusikii. Kulikuwa na wakati wasomi walikuwa wanajipanga katika foleni ya kusubiri kuteuliwa, sasa kama una matumaini ya kuteuliwa hutakosoa wala kuzungumza mambo.

“Ingawa kulikuwa na hofu pia na hilo linaeleweka pia, lakini kwa kiasi gani wasomi tumetekeleza jukumu letu. Hivi sasa wamepumua kidogo na wanaweza kuanza upya kutekeleza majukumu yao,” alisema Profesa Shivji.

Profesa Shivji alisema kunahitajika kazi ya ziada kukosoa wazo tawala na kutoa mbadala wake ili kuleta mabadiliko katika jamii ambapo alisema kazi mojawapo ya wasomi au wanazuoni ni kukosoa na kutoa wazo mbadala.

“Hatua hii itasaidia wananchi kuona kwamba kuna njia nyingine za kufanya mambo, kuelewa ukweli na kuangalia hali halisi, sio tunayoambiwa siku zote. Lazima nikiri ni jukumu letu, lakini wasomi tumefeli sana katika jukumu hili hasa katika miongo miwili iliyopita.

“Wananchi wakitulaumu tunastahili kulaumiwa kwa kweli, lakini lazima tujikumbushe haikuwa hivyo Tanzania. Wasomi au wanazuoni wa nje hadi leo wanakumbuka wasomi wa Tanzania, walichoandika, walichojadili na walichopendekeza hadi leo wanatukumbuka,” alisema.

Profesa Shivji alisema bado wasomi wa nje wanashangaa na kuhoji nini kilichotokea kwa wasomi wa Tanzania.

Hata hivyo, msomi huyo alisema wananchi wana uwezo wa kukosoa wazo tawala, akisema mara nyingine ukizungumza nao unajifunza masuala mengi kutoka kwao, ingawa wanavyozungumza sio kama wasomi.

Kwa mujibu wa Profesa Shivji, wasomi walikuwa wanafanya hivyo miaka ya 70 hadi 80 wasomi wa Chuo Kikuu Dar es Salaam na pale ilipohitaji walikuwa wanaikosoa Serikali.

“Baadhi ya wasomi wetu katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, hatukukubaliana moja kwa moja na Mwalimu (Nyerere) kuhusu sera za kilimo. Hata wakati wa Nyerere hatukuweza kuleta mapinduzi ya kilimo, tulifuata nyayo za kikoloni,” alisema.

Kauli ya Profesa Shivji imeungwa mkono na Mwenyekiti Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa), Dk Aviti Mushi aliyesema miaka kadhaa wasomi walikuwa na hofu ya kukosoa masuala mbalimbali.

“Wale waliojitokeza kukosoa waliitwa majina mabaya mara sio wazalendo au vibaraka, hali hii ilisababisha wasomi kutotoa maoni, huku wengine wakifunga mdomo na kutafuta ugali wao. Walioonekana kimya ndio walikuwa bora na kupata nafasi za uteuzi katika maeneo mbalimbali,” alisema Dk Mushi alipozungumza na Mwananchi kwa simu jana.

Aliendelea kusema kuwa, kauli ya Profesa Shivji ina uhalisia kutokana na hali iliyopo na kwamba ilifika wakati wasomi walikuwa wana hofu kuzungumza na vyombo vya habari ili kutoa maoni yao wakihofia kuitwa majina mabaya. “Wasomi tulijikuta hatuwezi kuzungumza na vyombo vya habari, hasa kutoa maoni yanayokinzana na Serikali. Ingawa sasa hivi kuna mabadiliko yametokea,” alisema.

Chanzo: ITV
Wakati wa mjadala wa katiba ya Warioba yeye mwenyewe alitupiga.
 
Wasomi wapo kwa ajili ya matumbo yao tu. Hawana msaada wa kitaaluma kwa taifa letu tena. Hawakosoi kwa manufaa ya umma
--
Mwanazuoni mkongwe nchini, Profesa Issa Shivji amesema sehemu kubwa ya wasomi nchini wameshindwa kulisaidia Taifa kwa kutoa ushauri unaofaa huku wakisubiri kuteuliwa kwenye nyadhifa mbalimbali.

Profesa Shivji, gwiji la sheria kitaifa na kimataifa alitoa kauli hiyo juzi, katika mahojiano ya kipindi cha dakika 45 kinachorushwa na ITV ambapo pia alizungumzia miaka 100 ya kuzaliwa kwa Mwalimu Julius Nyerere.

“Mimi ni msomi, nakiri sitaki kusema nipo tofauti na wengine, zamani wasomi walikuwa wanakosoa na kushauri, tuliandika, tulikuwa na midahalo, tunazungumza, lakini sasa hivi hatusikii. Kulikuwa na wakati wasomi walikuwa wanajipanga katika foleni ya kusubiri kuteuliwa, sasa kama una matumaini ya kuteuliwa hutakosoa wala kuzungumza mambo.

“Ingawa kulikuwa na hofu pia na hilo linaeleweka pia, lakini kwa kiasi gani wasomi tumetekeleza jukumu letu. Hivi sasa wamepumua kidogo na wanaweza kuanza upya kutekeleza majukumu yao,” alisema Profesa Shivji.

Profesa Shivji alisema kunahitajika kazi ya ziada kukosoa wazo tawala na kutoa mbadala wake ili kuleta mabadiliko katika jamii ambapo alisema kazi mojawapo ya wasomi au wanazuoni ni kukosoa na kutoa wazo mbadala.

“Hatua hii itasaidia wananchi kuona kwamba kuna njia nyingine za kufanya mambo, kuelewa ukweli na kuangalia hali halisi, sio tunayoambiwa siku zote. Lazima nikiri ni jukumu letu, lakini wasomi tumefeli sana katika jukumu hili hasa katika miongo miwili iliyopita.

“Wananchi wakitulaumu tunastahili kulaumiwa kwa kweli, lakini lazima tujikumbushe haikuwa hivyo Tanzania. Wasomi au wanazuoni wa nje hadi leo wanakumbuka wasomi wa Tanzania, walichoandika, walichojadili na walichopendekeza hadi leo wanatukumbuka,” alisema.

Profesa Shivji alisema bado wasomi wa nje wanashangaa na kuhoji nini kilichotokea kwa wasomi wa Tanzania.

Hata hivyo, msomi huyo alisema wananchi wana uwezo wa kukosoa wazo tawala, akisema mara nyingine ukizungumza nao unajifunza masuala mengi kutoka kwao, ingawa wanavyozungumza sio kama wasomi.

Kwa mujibu wa Profesa Shivji, wasomi walikuwa wanafanya hivyo miaka ya 70 hadi 80 wasomi wa Chuo Kikuu Dar es Salaam na pale ilipohitaji walikuwa wanaikosoa Serikali.

“Baadhi ya wasomi wetu katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, hatukukubaliana moja kwa moja na Mwalimu (Nyerere) kuhusu sera za kilimo. Hata wakati wa Nyerere hatukuweza kuleta mapinduzi ya kilimo, tulifuata nyayo za kikoloni,” alisema.

Kauli ya Profesa Shivji imeungwa mkono na Mwenyekiti Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa), Dk Aviti Mushi aliyesema miaka kadhaa wasomi walikuwa na hofu ya kukosoa masuala mbalimbali.

“Wale waliojitokeza kukosoa waliitwa majina mabaya mara sio wazalendo au vibaraka, hali hii ilisababisha wasomi kutotoa maoni, huku wengine wakifunga mdomo na kutafuta ugali wao. Walioonekana kimya ndio walikuwa bora na kupata nafasi za uteuzi katika maeneo mbalimbali,” alisema Dk Mushi alipozungumza na Mwananchi kwa simu jana.

Aliendelea kusema kuwa, kauli ya Profesa Shivji ina uhalisia kutokana na hali iliyopo na kwamba ilifika wakati wasomi walikuwa wana hofu kuzungumza na vyombo vya habari ili kutoa maoni yao wakihofia kuitwa majina mabaya. “Wasomi tulijikuta hatuwezi kuzungumza na vyombo vya habari, hasa kutoa maoni yanayokinzana na Serikali. Ingawa sasa hivi kuna mabadiliko yametokea,” alisema.

Chanzo: ITV
Alichosema ni sahii. Njaa imezidi kwa wasomi wetu.
 
Tanzania sisi bado sana, unakuta unakosoa kwa takwimu. Lakini majina ya ovyo ovyo ndiyo yanatawala. Tumeishia kufaatilia udaku na umbeya wa kufikirika. Tulipandikizwa chuki mbaya sana!
 
Wasomi wapo kwa ajili ya matumbo yao tu. Hawana msaada wa kitaaluma kwa taifa letu tena. Hawakosoi kwa manufaa ya umma
--
Mwanazuoni mkongwe nchini, Profesa Issa Shivji amesema sehemu kubwa ya wasomi nchini wameshindwa kulisaidia Taifa kwa kutoa ushauri unaofaa huku wakisubiri kuteuliwa kwenye nyadhifa mbalimbali.

Profesa Shivji, gwiji la sheria kitaifa na kimataifa alitoa kauli hiyo juzi, katika mahojiano ya kipindi cha dakika 45 kinachorushwa na ITV ambapo pia alizungumzia miaka 100 ya kuzaliwa kwa Mwalimu Julius Nyerere.

“Mimi ni msomi, nakiri sitaki kusema nipo tofauti na wengine, zamani wasomi walikuwa wanakosoa na kushauri, tuliandika, tulikuwa na midahalo, tunazungumza, lakini sasa hivi hatusikii. Kulikuwa na wakati wasomi walikuwa wanajipanga katika foleni ya kusubiri kuteuliwa, sasa kama una matumaini ya kuteuliwa hutakosoa wala kuzungumza mambo.

“Ingawa kulikuwa na hofu pia na hilo linaeleweka pia, lakini kwa kiasi gani wasomi tumetekeleza jukumu letu. Hivi sasa wamepumua kidogo na wanaweza kuanza upya kutekeleza majukumu yao,” alisema Profesa Shivji.

Profesa Shivji alisema kunahitajika kazi ya ziada kukosoa wazo tawala na kutoa mbadala wake ili kuleta mabadiliko katika jamii ambapo alisema kazi mojawapo ya wasomi au wanazuoni ni kukosoa na kutoa wazo mbadala.

“Hatua hii itasaidia wananchi kuona kwamba kuna njia nyingine za kufanya mambo, kuelewa ukweli na kuangalia hali halisi, sio tunayoambiwa siku zote. Lazima nikiri ni jukumu letu, lakini wasomi tumefeli sana katika jukumu hili hasa katika miongo miwili iliyopita.

“Wananchi wakitulaumu tunastahili kulaumiwa kwa kweli, lakini lazima tujikumbushe haikuwa hivyo Tanzania. Wasomi au wanazuoni wa nje hadi leo wanakumbuka wasomi wa Tanzania, walichoandika, walichojadili na walichopendekeza hadi leo wanatukumbuka,” alisema.

Profesa Shivji alisema bado wasomi wa nje wanashangaa na kuhoji nini kilichotokea kwa wasomi wa Tanzania.

Hata hivyo, msomi huyo alisema wananchi wana uwezo wa kukosoa wazo tawala, akisema mara nyingine ukizungumza nao unajifunza masuala mengi kutoka kwao, ingawa wanavyozungumza sio kama wasomi.

Kwa mujibu wa Profesa Shivji, wasomi walikuwa wanafanya hivyo miaka ya 70 hadi 80 wasomi wa Chuo Kikuu Dar es Salaam na pale ilipohitaji walikuwa wanaikosoa Serikali.

“Baadhi ya wasomi wetu katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, hatukukubaliana moja kwa moja na Mwalimu (Nyerere) kuhusu sera za kilimo. Hata wakati wa Nyerere hatukuweza kuleta mapinduzi ya kilimo, tulifuata nyayo za kikoloni,” alisema.

Kauli ya Profesa Shivji imeungwa mkono na Mwenyekiti Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa), Dk Aviti Mushi aliyesema miaka kadhaa wasomi walikuwa na hofu ya kukosoa masuala mbalimbali.

“Wale waliojitokeza kukosoa waliitwa majina mabaya mara sio wazalendo au vibaraka, hali hii ilisababisha wasomi kutotoa maoni, huku wengine wakifunga mdomo na kutafuta ugali wao. Walioonekana kimya ndio walikuwa bora na kupata nafasi za uteuzi katika maeneo mbalimbali,” alisema Dk Mushi alipozungumza na Mwananchi kwa simu jana.

Aliendelea kusema kuwa, kauli ya Profesa Shivji ina uhalisia kutokana na hali iliyopo na kwamba ilifika wakati wasomi walikuwa wana hofu kuzungumza na vyombo vya habari ili kutoa maoni yao wakihofia kuitwa majina mabaya. “Wasomi tulijikuta hatuwezi kuzungumza na vyombo vya habari, hasa kutoa maoni yanayokinzana na Serikali. Ingawa sasa hivi kuna mabadiliko yametokea,” alisema.

Chanzo: ITV
Rais aongoze na kubadilisha mitizamo mindset kwa kuteua wasomi wanaotoa mawazo mapya na wanaokosoa serikali kwa mawazo mbadala ili wasomi wajifunze na kuona umuhimu wa kukosoa bila woga. Kinyume cha kuteua wenye kusifia na kutosema au kokosoa
 
Wasomi wapo kwa ajili ya matumbo yao tu. Hawana msaada wa kitaaluma kwa taifa letu tena. Hawakosoi kwa manufaa ya umma
--
Mwanazuoni mkongwe nchini, Profesa Issa Shivji amesema sehemu kubwa ya wasomi nchini wameshindwa kulisaidia Taifa kwa kutoa ushauri unaofaa huku wakisubiri kuteuliwa kwenye nyadhifa mbalimbali.

Profesa Shivji, gwiji la sheria kitaifa na kimataifa alitoa kauli hiyo juzi, katika mahojiano ya kipindi cha dakika 45 kinachorushwa na ITV ambapo pia alizungumzia miaka 100 ya kuzaliwa kwa Mwalimu Julius Nyerere.

“Mimi ni msomi, nakiri sitaki kusema nipo tofauti na wengine, zamani wasomi walikuwa wanakosoa na kushauri, tuliandika, tulikuwa na midahalo, tunazungumza, lakini sasa hivi hatusikii. Kulikuwa na wakati wasomi walikuwa wanajipanga katika foleni ya kusubiri kuteuliwa, sasa kama una matumaini ya kuteuliwa hutakosoa wala kuzungumza mambo.

“Ingawa kulikuwa na hofu pia na hilo linaeleweka pia, lakini kwa kiasi gani wasomi tumetekeleza jukumu letu. Hivi sasa wamepumua kidogo na wanaweza kuanza upya kutekeleza majukumu yao,” alisema Profesa Shivji.

Profesa Shivji alisema kunahitajika kazi ya ziada kukosoa wazo tawala na kutoa mbadala wake ili kuleta mabadiliko katika jamii ambapo alisema kazi mojawapo ya wasomi au wanazuoni ni kukosoa na kutoa wazo mbadala.

“Hatua hii itasaidia wananchi kuona kwamba kuna njia nyingine za kufanya mambo, kuelewa ukweli na kuangalia hali halisi, sio tunayoambiwa siku zote. Lazima nikiri ni jukumu letu, lakini wasomi tumefeli sana katika jukumu hili hasa katika miongo miwili iliyopita.

“Wananchi wakitulaumu tunastahili kulaumiwa kwa kweli, lakini lazima tujikumbushe haikuwa hivyo Tanzania. Wasomi au wanazuoni wa nje hadi leo wanakumbuka wasomi wa Tanzania, walichoandika, walichojadili na walichopendekeza hadi leo wanatukumbuka,” alisema.

Profesa Shivji alisema bado wasomi wa nje wanashangaa na kuhoji nini kilichotokea kwa wasomi wa Tanzania.

Hata hivyo, msomi huyo alisema wananchi wana uwezo wa kukosoa wazo tawala, akisema mara nyingine ukizungumza nao unajifunza masuala mengi kutoka kwao, ingawa wanavyozungumza sio kama wasomi.

Kwa mujibu wa Profesa Shivji, wasomi walikuwa wanafanya hivyo miaka ya 70 hadi 80 wasomi wa Chuo Kikuu Dar es Salaam na pale ilipohitaji walikuwa wanaikosoa Serikali.

“Baadhi ya wasomi wetu katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, hatukukubaliana moja kwa moja na Mwalimu (Nyerere) kuhusu sera za kilimo. Hata wakati wa Nyerere hatukuweza kuleta mapinduzi ya kilimo, tulifuata nyayo za kikoloni,” alisema.

Kauli ya Profesa Shivji imeungwa mkono na Mwenyekiti Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa), Dk Aviti Mushi aliyesema miaka kadhaa wasomi walikuwa na hofu ya kukosoa masuala mbalimbali.

“Wale waliojitokeza kukosoa waliitwa majina mabaya mara sio wazalendo au vibaraka, hali hii ilisababisha wasomi kutotoa maoni, huku wengine wakifunga mdomo na kutafuta ugali wao. Walioonekana kimya ndio walikuwa bora na kupata nafasi za uteuzi katika maeneo mbalimbali,” alisema Dk Mushi alipozungumza na Mwananchi kwa simu jana.

Aliendelea kusema kuwa, kauli ya Profesa Shivji ina uhalisia kutokana na hali iliyopo na kwamba ilifika wakati wasomi walikuwa wana hofu kuzungumza na vyombo vya habari ili kutoa maoni yao wakihofia kuitwa majina mabaya. “Wasomi tulijikuta hatuwezi kuzungumza na vyombo vya habari, hasa kutoa maoni yanayokinzana na Serikali. Ingawa sasa hivi kuna mabadiliko yametokea,” alisema.

Chanzo: ITV
Hii habari haipo balanced imeungwaungwa. Ukimsikiliza vizuri na kumuelewa Prof. Shivji anachokiongelea ni wasomi kuacha jukumu lao la msingi la kitaaluma na kuigeukia siasa. Kwa maana ya siasa ndo inayolipa zaidi kuliko usomi. Hivyo wasomi wengi wameamua kuweka maslahi yao mbele kuliko maslahi ya umma. Huyu Aviti yeye kaongelea kitu kingine kabisa, kwamba wasomi walikua wanazibwa mdomo wasiongee tena kwa vitisho. Kwahiyo, kwa maoni yake wasomi walishindwa kutekeleza majukumu yao siyo kwa kupenda bali kwa kushinikizwa na wenye mamlaka. Ukimsikiliza vizuri, utagundua ndo hawa wasomi ambao shivji anawaongelea kwamba wameacha usomi wamegeukia siasa.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
Wasomi wapo kwa ajili ya matumbo yao tu. Hawana msaada wa kitaaluma kwa taifa letu tena. Hawakosoi kwa manufaa ya umma
--
Mwanazuoni mkongwe nchini, Profesa Issa Shivji amesema sehemu kubwa ya wasomi nchini wameshindwa kulisaidia Taifa kwa kutoa ushauri unaofaa huku wakisubiri kuteuliwa kwenye nyadhifa mbalimbali.

Profesa Shivji, gwiji la sheria kitaifa na kimataifa alitoa kauli hiyo juzi, katika mahojiano ya kipindi cha dakika 45 kinachorushwa na ITV ambapo pia alizungumzia miaka 100 ya kuzaliwa kwa Mwalimu Julius Nyerere.

“Mimi ni msomi, nakiri sitaki kusema nipo tofauti na wengine, zamani wasomi walikuwa wanakosoa na kushauri, tuliandika, tulikuwa na midahalo, tunazungumza, lakini sasa hivi hatusikii. Kulikuwa na wakati wasomi walikuwa wanajipanga katika foleni ya kusubiri kuteuliwa, sasa kama una matumaini ya kuteuliwa hutakosoa wala kuzungumza mambo.

“Ingawa kulikuwa na hofu pia na hilo linaeleweka pia, lakini kwa kiasi gani wasomi tumetekeleza jukumu letu. Hivi sasa wamepumua kidogo na wanaweza kuanza upya kutekeleza majukumu yao,” alisema Profesa Shivji.

Profesa Shivji alisema kunahitajika kazi ya ziada kukosoa wazo tawala na kutoa mbadala wake ili kuleta mabadiliko katika jamii ambapo alisema kazi mojawapo ya wasomi au wanazuoni ni kukosoa na kutoa wazo mbadala.

“Hatua hii itasaidia wananchi kuona kwamba kuna njia nyingine za kufanya mambo, kuelewa ukweli na kuangalia hali halisi, sio tunayoambiwa siku zote. Lazima nikiri ni jukumu letu, lakini wasomi tumefeli sana katika jukumu hili hasa katika miongo miwili iliyopita.

“Wananchi wakitulaumu tunastahili kulaumiwa kwa kweli, lakini lazima tujikumbushe haikuwa hivyo Tanzania. Wasomi au wanazuoni wa nje hadi leo wanakumbuka wasomi wa Tanzania, walichoandika, walichojadili na walichopendekeza hadi leo wanatukumbuka,” alisema.

Profesa Shivji alisema bado wasomi wa nje wanashangaa na kuhoji nini kilichotokea kwa wasomi wa Tanzania.

Hata hivyo, msomi huyo alisema wananchi wana uwezo wa kukosoa wazo tawala, akisema mara nyingine ukizungumza nao unajifunza masuala mengi kutoka kwao, ingawa wanavyozungumza sio kama wasomi.

Kwa mujibu wa Profesa Shivji, wasomi walikuwa wanafanya hivyo miaka ya 70 hadi 80 wasomi wa Chuo Kikuu Dar es Salaam na pale ilipohitaji walikuwa wanaikosoa Serikali.

“Baadhi ya wasomi wetu katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, hatukukubaliana moja kwa moja na Mwalimu (Nyerere) kuhusu sera za kilimo. Hata wakati wa Nyerere hatukuweza kuleta mapinduzi ya kilimo, tulifuata nyayo za kikoloni,” alisema.

Kauli ya Profesa Shivji imeungwa mkono na Mwenyekiti Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa), Dk Aviti Mushi aliyesema miaka kadhaa wasomi walikuwa na hofu ya kukosoa masuala mbalimbali.

“Wale waliojitokeza kukosoa waliitwa majina mabaya mara sio wazalendo au vibaraka, hali hii ilisababisha wasomi kutotoa maoni, huku wengine wakifunga mdomo na kutafuta ugali wao. Walioonekana kimya ndio walikuwa bora na kupata nafasi za uteuzi katika maeneo mbalimbali,” alisema Dk Mushi alipozungumza na Mwananchi kwa simu jana.

Aliendelea kusema kuwa, kauli ya Profesa Shivji ina uhalisia kutokana na hali iliyopo na kwamba ilifika wakati wasomi walikuwa wana hofu kuzungumza na vyombo vya habari ili kutoa maoni yao wakihofia kuitwa majina mabaya. “Wasomi tulijikuta hatuwezi kuzungumza na vyombo vya habari, hasa kutoa maoni yanayokinzana na Serikali. Ingawa sasa hivi kuna mabadiliko yametokea,” alisema.

Chanzo: ITV
Prof. Shivji apewe ulinzi
 
Rof. Shivji yupo sahihi sana. Japo hajaeleza ukweli kuwa kwa sasa, hawa wanaoitwa wasomi, wamegawanyika sehemu mbili:

1) Wapo wasomi, ambao ni wasomi, lakini wanagiki, waongo, wachumia tumbo. Mfano mzuri wa kundi hili ni Prof. Kabudi.

2) Wapo wasomi, lakini siyo wasomi, ni wasomi fake. Hawa ni wale walioununua usomi ili tu waitwe wasomi, wakiamini wakiitwa wasomi, watakuwa na nafasi nzuri zaidi ya kujaza matumbo, japo ukweli ni kuwa siyo wasomi. Hawa ni wevi wa taaluma, wanafiki, wazandiki, waongo ja watu wenye hila. Mfano mzuri wa kundi hili ni Mwigulu, Biteko, Musukuma.
 
wasomi walikuwa zamani.Siku hizi profesa anazidiwa kila kitu na mtu wa darasa la saba si wamazo wala uchumi.
 
... kaongea ukweli tena ukweli tupu! Bila Katiba Mpya itakayohakikisha haki ya kila mwenye sifa kupata kazi sio upendeleo au hisani ya wenye mamlaka taifa halitakaa lipige hatua. Wasomi wa ukweli wasiopenda kujipendekeza wamebaki watazamaji tu.
Prof kastuka kumekucha au? Hakuwepi 2016-mwanzoni mwa 2021?
 
Hv kwann unalazimisha ulivyoelewa ww na wengine waelewe hvyohvyo????
Hii habari haipo balanced imeungwaungwa. Ukimsikiliza vizuri na kumuelewa Prof. Shivji anachokiongelea ni wasomi kuacha jukumu lao la msingi la kitaaluma na kuigeukia siasa. Kwa maana ya siasa ndo inayolipa zaidi kuliko usomi. Hivyo wasomi wengi wameamua kuweka maslahi yao mbele kuliko maslahi ya umma. Huyu Aviti yeye kaongelea kitu kingine kabisa, kwamba wasomi walikua wanazibwa mdomo wasiongee tena kwa vitisho. Kwahiyo, kwa maoni yake wasomi walishindwa kutekeleza majukumu yao siyo kwa kupenda bali kwa kushinikizwa na wenye mamlaka. Ukimsikiliza vizuri, utagundua ndo hawa wasomi ambao shivji anawaongelea kwamba wameacha usomi wamegeukia siasa.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom