M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Professor kweli kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anachokiongea ana uhakika nacho 💯.Usiri kwenye mikataba umeanza hata yy akiwa madarakani, Asilete ujinga hapa yeye na wasomi wengine wote wabovu kama mikataba ilivyo!
Mwambieni anasome kuhusu ostracism atanishikuru, hivi tarehe 4 mwezi ujao kutakuwa na niniProfessor kweli kweli
Ameshamaliza bilioni 1 yake ya mboga, sasa anaaza kuwashwa washwa.Akihojiwa na watangazaji wa Clouds fm ni kwanini licha ya kuwa na wasomi wengi lakini bado nchi inaingia hasara kwenye mikataba mbalimbali amesema kuna shida kubwa sana kuamini kwamba eti wasomi watatusaidia kwani hata hao wasomi hupitiwa na shetani na kuingia mikataba mibovu.
Amesema kiashiria cha mikataba kuwa mibovu ni hiyo mikataba kuwa ya Siri. Ukisikia tu mkataba wa Siri jua huo ni mibovu. Kama sio mibovu ni kwa maslahi ya umma kwa nini uwe Siri?
Aidha Profesa Tibaijuka anashangazwa sana na ukimya wa wananchi hasa wanapobaini kuna mikataba ya ovyo namna hii inayoitwa ya Siri.