Profesa Tibaijuka: Mikataba yote tunayoambiwa ni ya Siri ni mibovu. Ashangaa kwanini wananchi wapo kimya

Ameshamaliza bilioni 1 yake ya mboga, sasa anaaza kuwashwa washwa.
 
Muogope sana mtu ambaye anaongea vitu ambayo tunachukulia poa ila baada ya miaka kadhaa mbele, tunarejea kusikiliza tena na tena kile alichomaanisha....muogope sana huyo mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…