mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Nchi na wananchi wako bize wanacheza na kukatika komasavaHuyu Mama naye...!, mkataba ni wa siri, wanasheria wenyewe wanaojua sheria wako kimya, unategemea nini kwa mwananchi wa kawaida?.
Hebu atuache...!.
Tuko hapa ukumbini tunamsubiri Mama tusemezane.
P
Ova