maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
Tujibu hoja aliyoweka mezani kwanzaUle mgao aliopewa Tibaijuka, ukamng'oa uwaziri, alikuwa na mkataba na Singa, Ruge au Tanesco?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tujibu hoja aliyoweka mezani kwanzaUle mgao aliopewa Tibaijuka, ukamng'oa uwaziri, alikuwa na mkataba na Singa, Ruge au Tanesco?
Hajaanza leo kweli kabisa ila tatizo lake ni Double standards zake !Lakini,afadhali huyo amethubutu kusema.Na hajaanza leo kutoa ya moyoni.
Kweli kabisa tena nofu hilo likiwa la moto !Huwezi kuzungumza ukiwa na pande la mnofu wa nyama mdomoni.
Kiapo kinakuwa moyoni.Hajaanza leo kweli kabisa ila tatizo lake ni Double standards zake !
Akiwa nje ya system anasema kweli lakini akiingizwa kwenye system anabadilika 🙄🙌👍🤦🏽♂️
Umeisahau mikataba ya Mkapa na Kikwete ni ipi iliyowekwa wazi. ??!Professor kasema ukweli kabisa.kwa nini Huwa wanaingia mikataba ya Siri wakati wenye Nchi ni wananchi?Mama Samia Kaingia mikataba mingi ya Siri Kwa Nini?
Watanzania ni already zombified through Mass Formation Psychosis and there is nothing they can do except sitting down and watching as hell drops loose on them.Ni wa kuhurumiwa tu frankly.Akihojiwa na watangazaji wa Clouds fm ni kwanini licha ya kuwa na wasomi wengi lakini bado nchi inaingia hasara kwenye mikataba mbalimbali amesema kuna shida kubwa sana kuamini kwamba eti wasomi watatusaidia kwani hata hao wasomi hupitiwa na shetani na kuingia mikataba mibovu.
Amesema kiashiria cha mikataba kuwa mibovu ni hiyo mikataba kuwa ya Siri. Ukisikia tu mkataba wa Siri jua huo ni mibovu. Kama sio mibovu ni kwa maslahi ya umma kwa nini uwe Siri?
Aidha Profesa Tibaijuka anashangazwa sana na ukimya wa wananchi hasa wanapobaini kuna mikataba ya ovyo namna hii inayoitwa ya Siri.
Sisi tunashangilia Ubaya Ubwela 😅Inawezekana hakuchukua hatua. Swali sisi tunachukua hatua gani? Ikiwezekana kuwachukulia hatua waliozembea kuchukua hatua.
Hawezi kusema hivyo hata dakika moja !Baada ya jua kuzama ndiyo anashituka? aseme ukweli kuwa katiba mbovu ndiyo inaleta matatizo yote haya
OK Bro, ukitoka humo mjengoni, basi rudi kwenye huu mjengo wa kidigital tusemezane. Hongers kwa kupenya humo.Huyu Mama naye...!, mkataba ni wa siri, wanasheria wenyewe wanaojua sheria wako kimya, unategemea nini kwa mwananchi wa kawaida?.
Hebu atuache...!.
Tuko hapa ukumbini tunamsubiri Mama tusemezane.
P
Umri umeenda na mali anazo lakini huwa hawana peace of mind !Huyu mama atulie ale utajiri wake aache kuwa enjoy watanzania
Wakati ukifika mabadiliko yataletwa na watanzania wananchi na siyo wanasiasa
Ova
Unaitwa siyo mzalendo Wanakushughulikia ipasavyo ikibidi na watu wasiojulikana, at all anglesExactly !
Ndio maana ukianza kuhoji maamuzi ya wakubwa unaonekana ni Adui msaliti
Akisogezwa tena mezani anakuwa mwenzao tena !ukistaafu busara na ujasiri huwa vinarudi
Nchi hii ina mijitu mimbulula sana ndio maana nchi inaendeshwa kisebgeh imekaa kimya.Akihojiwa na watangazaji wa Clouds fm ni kwanini licha ya kuwa na wasomi wengi lakini bado nchi inaingia hasara kwenye mikataba mbalimbali amesema kuna shida kubwa sana kuamini kwamba eti wasomi watatusaidia kwani hata hao wasomi hupitiwa na shetani na kuingia mikataba mibovu.
Amesema kiashiria cha mikataba kuwa mibovu ni hiyo mikataba kuwa ya Siri. Ukisikia tu mkataba wa Siri jua huo ni mibovu. Kama sio mibovu ni kwa maslahi ya umma kwa nini uwe Siri?
Aidha Profesa Tibaijuka anashangazwa sana na ukimya wa wananchi hasa wanapobaini kuna mikataba ya ovyo namna hii inayoitwa ya Siri.
Yuko sahihi tuna jamii iliyo nyamazishwa, jamii ya kupokea lolote hata kama litaiumiza jamii wengine walihoji waliaambiawa waende burundu na tumefika hapa tulipo kwasababu ya jamii kunyamza mfano asilimia 80 ya mafanikio kwenye biashara yanamtegemea mjasiriamali lakini aslimia 20 iliyobaki ambayo inahusu mjasiriamali na yanayo mzunguka ina nguvu hata kuua biashara ambayo inasababishwa na jamii kuto kuhojiAnaongea wakati yeye mwenyewe bado yupo kwenye pepo ya mabwege
Kama hatujawai kuonyeshwa,basi mkataba huo ni mbovu,kama alvyotuaminisha yeye Pro Tiba!!Hivi lile sakata lake la kumuuzia George Bushi wilaya nzima ya Kigamboni liliishaje? Ule mkataba hatujawahi kuuona
Kwa namna ninavyowafahamu CCM jinsi walivyo waovu, huyu mama siku siyo nyingi ataitwa kuwa ni msaliti, na Kisha atawekwa kwenye list yao ya 'most wanted people, whether dead or alive.'Akihojiwa na watangazaji wa Clouds fm ni kwanini licha ya kuwa na wasomi wengi lakini bado nchi inaingia hasara kwenye mikataba mbalimbali amesema kuna shida kubwa sana kuamini kwamba eti wasomi watatusaidia kwani hata hao wasomi hupitiwa na shetani na kuingia mikataba mibovu.
Amesema kiashiria cha mikataba kuwa mibovu ni hiyo mikataba kuwa ya Siri. Ukisikia tu mkataba wa Siri jua huo ni mibovu. Kama sio mibovu ni kwa maslahi ya umma kwa nini uwe Siri?
Aidha Profesa Tibaijuka anashangazwa sana na ukimya wa wananchi hasa wanapobaini kuna mikataba ya ovyo namna hii inayoitwa ya Siri.