Profesa Tibaijuka: Mikataba yote tunayoambiwa ni ya Siri ni mibovu. Ashangaa kwanini wananchi wapo kimya

Profesa Tibaijuka: Mikataba yote tunayoambiwa ni ya Siri ni mibovu. Ashangaa kwanini wananchi wapo kimya

ni jambo la kushangaza sana kwa Prof. wa kiTanzania kulalamikia wananchi🐒

muda ukikutupa mkono kwenye siasa na utawala unaweza kujikuta unalaumu wanyonge na wasiostahili kulaumiwa...


maisha hayana extra time Prof.
kila zama n kitabu chake 🐒
Uongozi wa nchi ni wa wananchi wenyewe ingawa wasomi wapo lkn sio siri kwamba kila mtu anapigania mkate wake kama sisi raia wa kawaida hatuta dai kwa nguvu maslahi yetu kama walicho fanya vijana wa Gen z pale Kenya Hadi kupelekea rais kuondoa muswadq bungeni uwezekano wa kuongozwa kwa manufaa ya raia utakuwa mdogo sana
 
Uongozi wa nchi ni wa wananchi wenyewe ingawa wasomi wapo lkn sio siri kwamba kila mtu anapigania mkate wake kama sisi raia wa kawaida hatuta dai kwa nguvu maslahi yetu kama walicho fanya vijana wa Gen z pale Kenya Hadi kupelekea rais kuondoa muswadq bungeni uwezekano wa kuongozwa kwa manufaa ya raia utakuwa mdogo sana
Nadhani isiwe kama Gen-z ya Kenya sisi tuna ustaarabu wetu ukishindikana mboko
 
Huyo mama anajitahidi kubaki relevant, ila hana sifa hizo.

Credibility yake ilishaisha, aache wenzie wafanya kazi.

Kama kula yeye ndo alikula mpaka akajua bilioni ni hela ya mboga, anapata wapi ujasiri wa kuwasema kuhusu utawala bora
 
Huyo mama anajitahidi kubaki relevant, ila hana sifa hizo.

Credibility yake ilishaisha, aache wenzie wafanya kazi.

Kama kula yeye ndo alikula mpaka akajua bilioni ni hela ya mboga, anapata wapi ujasiri wa kuwasema kuhusu utawala bora
Hata saa mbovu wakati mwingine huwa inasema ukweli.

Prof. Tibaijuka Ana Hoja yenye mashiko, asikilizwe.
 
Uongozi wa nchi ni wa wananchi wenyewe ingawa wasomi wapo lkn sio siri kwamba kila mtu anapigania mkate wake kama sisi raia wa kawaida hatuta dai kwa nguvu maslahi yetu kama walicho fanya vijana wa Gen z pale Kenya Hadi kupelekea rais kuondoa muswadq bungeni uwezekano wa kuongozwa kwa manufaa ya raia utakuwa mdogo sana
lakini gen z ni majambazi, waporaji na waharibifu wa mali zao wenyewe, iweje utamani kua kama watu waliokosa uelekeo, wenye kiburi na wasiotaka kulipa kodi, ushuru na tozo kwa maslahi yao na nchi yao?

yaani unatamani kua mtu mvivu, mwenye kiburi na jeuri anaedeka na kuharibu mali za wengine , eti ili anufaike yeye pekee kana kwamba hakuna wananchi wengine, kweli?

ni muhimu kujitolea kufanya kazi kwa bidii na maarifa zaidi kwa manufaa yetu na Taifa letu,

hadaa za maprof. kama huyu mumama zisituchochee au kutushawishi na kujitumbukiza kwenye shida ambazo hazina maana yoyote kwama huko Kenya, 🐒

Prof.alishakua mtumishi kwa muda mrefu sana kitaifa na kimataifa, jambo la kujituliza ni lini ameanza kuona na kugundua haya ambayo leo hii eti analaumu wananchi kwa kukaa kimya?🐒

sio chuki binafsi tu ndio eti anataka kuchonganisha wananchi na serikali yao sikivu ya CCM?🐒
 
Huyu Mama naye...!, mkataba ni wa siri, wanasheria wenyewe wanaojua sheria wako kimya, unategemea nini kwa mwananchi wa kawaida?.
Hebu atuache...!.
Tuko hapa ukumbini tunamsubiri Mama tusemezane.
P
Wewe ndio mwana sheria chawa kupata kutokea kwenya nchi hii 😀 😀 😀
 
Akihojiwa na watangazaji wa Clouds fm ni kwanini licha ya kuwa na wasomi wengi lakini bado nchi inaingia hasara kwenye mikataba mbalimbali amesema kuna shida kubwa sana kuamini kwamba eti wasomi watatusaidia kwani hata hao wasomi hupitiwa na shetani na kuingia mikataba mibovu.

Amesema kiashiria cha mikataba kuwa mibovu ni hiyo mikataba kuwa ya Siri. Ukisikia tu mkataba wa Siri jua huo ni mibovu. Kama sio mibovu ni kwa maslahi ya umma kwa nini uwe Siri?

Aidha Profesa Tibaijuka anashangazwa sana na ukimya wa wananchi hasa wanapobaini kuna mikataba ya ovyo namna hii inayoitwa ya Siri.

Katika Quran, umuhimu wa kuwa na mashahidi wakati wa kufunga mikataba na kufanya ahadi unasisitizwa sana. Hii ni kwa sababu mashahidi wanasaidia kuthibitisha ukweli wa makubaliano na kuhakikisha kuwa pande zote zinaheshimu ahadi zao. Hapa kuna baadhi ya aya zinazozungumzia umuhimu wa mashahidi:

  1. Surat Al-Baqarah (2:282):"Enyi mlioamini! Mnapokopeshana deni kwa muda maalumu, iandikeni. Na aandike kati yenu mwandishi kwa uadilifu. Wala mwandishi asikatae kuandika kama alivyo fundishwa na Mwenyezi Mungu; basi na aandike. Na yule mwenye deni na dikte, naye amche Mwenyezi Mungu, Mola wake, wala asipunguze chochote humo. Lakini kama mwenye deni ni mjinga au dhaifu au hawezi kudikte mwenyewe, basi na mdhamini wake adikte kwa uadilifu. Na mshuhudishe mashahidi wawili katika wanaume wenu. Ikiwa hakuna wanaume wawili, basi mwanaume mmoja na wanawake wawili miongoni mwa mnaowakubali kuwa mashahidi; ili mmoja wao akipotea mwengine amkumbushe..."
Aya hii inasisitiza umuhimu wa kuwa na mashahidi wawili wakati wa kufanya makubaliano, hasa katika mikataba ya kifedha, ili kuhakikisha uwazi na uadilifu.

  1. Surat An-Nisa (4:135):"Enyi mlioamini! Kuweni wasimamizi wa uadilifu, mashahidi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, ijapokuwa ni dhidi ya nafsi zenu wenyewe au wazazi wawili na jamaa zenu. Akiwa tajiri au maskini, basi Mwenyezi Mungu anawastahiki zaidi. Basi msifuate matamanio, ili muweze kufanya uadilifu. Na mkiupotosha ukweli au mkajitenga nao, basi Mwenyezi Mungu anazo khabari za mnayoyatenda."
Aya hii inasisitiza umuhimu wa kuwa mashahidi wa haki na uadilifu, hata kama ni dhidi ya nafsi zetu au jamaa zetu, na kutoacha upendeleo kuathiri ushahidi wetu.

  1. Surat Al-Maida (5:106):"Enyi mlioamini! Ushahidi wa wasia unaoshukiza mmoja wenu unapofika kifo, ni watu wawili waadilifu miongoni mwenu, au wengine wawili walio nje ya mnaowakubali, mkiwa safarini na msiba wa kifo ukakufikieni. Ikiwa mnayo shaka juu ya ushahidi wao, wazuieni baada ya Sala, nao waape kwa jina la Mwenyezi Mungu: Hatutauza ushahidi wetu kwa thamani yoyote, hata kama ni kwa jamaa yetu..."
Aya hii inaonyesha umuhimu wa kuwa na mashahidi waadilifu wakati wa kufanya wasia na kuhakikisha kwamba ushahidi wao ni wa kweli na haki.

Kwa hivyo, Quran inasisitiza umuhimu wa kuwa na mashahidi wakati wa kufunga mikataba ili kuhakikisha kwamba kuna uwazi, uadilifu, na ukweli katika makubaliano hayo. Mashahidi wanasaidia kuthibitisha makubaliano na kulinda haki za pande zote zinazohusika.
 
Huyu fidodido ni hatari sana kwa usalama wa inchi, serikali mchukulienu kwa tahadhari sana huyu, hapo anahamasisha watu wafanye fujo?

Yeye alipokuwa ndani ya serikali alikuwa kimyaaaaaa anakula tu,
sasa mirija imekatwa anataka watu wafanye fujo, kamata huyu rudisha kwao kwanza sio raia huyu
 
Akihojiwa na watangazaji wa Clouds fm ni kwanini licha ya kuwa na wasomi wengi lakini bado nchi inaingia hasara kwenye mikataba mbalimbali amesema kuna shida kubwa sana kuamini kwamba eti wasomi watatusaidia kwani hata hao wasomi hupitiwa na shetani na kuingia mikataba mibovu.

Amesema kiashiria cha mikataba kuwa mibovu ni hiyo mikataba kuwa ya Siri. Ukisikia tu mkataba wa Siri jua huo ni mibovu. Kama sio mibovu ni kwa maslahi ya umma kwa nini uwe Siri?

Aidha Profesa Tibaijuka anashangazwa sana na ukimya wa wananchi hasa wanapobaini kuna mikataba ya ovyo namna hii inayoitwa ya Siri.
 
lakini gen z ni majambazi, waporaji na waharibifu wa mali zao wenyewe, iweje utamani kua kama watu waliokosa uelekeo, wenye kiburi na wasiotaka kulipa kodi, ushuru na tozo kwa maslahi yao na nchi yao?

yaani unatamani kua mtu mvivu, mwenye kiburi na jeuri anaedeka na kuharibu mali za wengine , eti ili anufaike yeye pekee kana kwamba hakuna wananchi wengine, kweli?

ni muhimu kujitolea kufanya kazi kwa bidii na maarifa zaidi kwa manufaa yetu na Taifa letu,

hadaa za maprof. kama huyu mumama zisituchochee au kutushawishi na kujitumbukiza kwenye shida ambazo hazina maana yoyote kwama huko Kenya, 🐒

Prof.alishakua mtumishi kwa muda mrefu sana kitaifa na kimataifa, jambo la kujituliza ni lini ameanza kuona na kugundua haya ambayo leo hii eti analaumu wananchi kwa kukaa kimya?🐒

sio chuki binafsi tu ndio eti anataka kuchonganisha wananchi na serikali yao sikivu ya CCM?🐒
Pengine hujaelewa vizuri hoja za Gen z ukiacha matukio ya kihuni yaliyofanywa na wahuni waliovamia hiyo movement ni kwamba walikuwa hawkubaliani na ongezeko kubwa la kodi ambalo serikali ilikuwa iongeze bila kuzingatia uhalisia wa maisha ya wananchi.

Jambo la muhimu kuzingatia ni kwamba hawa wanaoitwa wasomi kuna wakati hufanya maamuzi yanayokandamiza raia kwa maslahi binafsi.
Anachosema prof ni kwamba hii mikataba inayotugharimu sasa hivi kama taifa ilifanywa na wasomi lakini waliongozwa na maslahi binafsi na walikuwa comfortable kwa sababu hakuna pressure yoyote toka kwa raia wa kawaida ambao wanaowaongoza.
 
Nadhani isiwe kama Gen-z ya Kenya sisi tuna ustaarabu wetu ukishindikana mboko
Ni ustarabu gani ambao kila mwaka yanafunguliwa makesi ya mikataba chechefu na tunapigwa mabilioni wakati waliosaini kwa niaba yetu wapo tu. Kwa hiyo kama ustarabu wetu ni kupigwa mabilioni hivi basi ni ustarabu wa kipuuzi sana.
 
Akihojiwa na watangazaji wa Clouds fm ni kwanini licha ya kuwa na wasomi wengi lakini bado nchi inaingia hasara kwenye mikataba mbalimbali amesema kuna shida kubwa sana kuamini kwamba eti wasomi watatusaidia kwani hata hao wasomi hupitiwa na shetani na kuingia mikataba mibovu.

Amesema kiashiria cha mikataba kuwa mibovu ni hiyo mikataba kuwa ya Siri. Ukisikia tu mkataba wa Siri jua huo ni mibovu. Kama sio mibovu ni kwa maslahi ya umma kwa nini uwe Siri?

Aidha Profesa Tibaijuka anashangazwa sana na ukimya wa wananchi hasa wanapobaini kuna mikataba ya ovyo namna hii inayoitwa ya Siri.

Upuuzi!
 
Yeye kama yeye alichukua hatua gani?
Wakitolewaga nje ya system wanajifanya wapo na wananchi. Alikuwa ndani ya system, alitaka kuiuza KIGAMBONI YOOOOOTEEEEE! Kosa Ndungalile (mbunge) watu wote kule wangehamishwa kama magunia. Any way, kwa maelezo yake ina maanisha alikuwa na shetani.
 
Wakitolewaga nje ya system wanajifanya wapo na wananchi. Alikuwa ndani ya system, alitaka kuiuza KIGAMBONI YOOOOOTEEEEE! Kosa Ndungalile (mbunge) watu wote kule wangehamishwa kama magunia. Any way, kwa maelezo yake ina maanisha alikuwa na shetani.
Mimi nadhani tumpongeze kwa kuongea kuliko kunyamaza
 
Back
Top Bottom