Nchi na wananchi wako bize wanacheza na kukatika komasavaHuyu Mama naye...!, mkataba ni wa siri, wanasheria wenyewe wanaojua sheria wako kimya, unategemea nini kwa mwananchi wa kawaida?.
Hebu atuache...!.
Tuko hapa ukumbini tunamsubiri Mama tusemezane.
P
Yeye ametoa mchango wa hili andiko. Kilichabaki ni mimi na wewe kuchukua hatua! 🙁Yeye kama yeye alichukua hatua gani?
Mwisho wa mchezo huo utakuwa mbaya sana.Nasisi tunashangaa kwanini wasomi wapo kimya, wasomi nao wanashangaa kwanini wananchi wapo kimya, wananchi nao wanashangaa kwanini wazee wapo kimyaa, wazee nao wanashangaa kwanini vijana wapo kimya kwa ufupi tunashangaana.
Baada ya jua kuzama ndiyo anashituka? aseme ukweli kuwa katiba mbovu ndiyo inaleta matatizo yote hayaAkihojiwa na watangazaji wa Clouds fm ni kwanini licha ya kuwa na wasomi wengi lakini bado nchi inaingia hasara kwenye mikataba mbalimbali amesema kuna shida kubwa sana kuamini kwamba eti wasomi watatusaidia kwani hata hao wasomi hupitiwa na shetani na kuingia mikataba mibovu.
Amesema kiashiria cha mikataba kuwa mibovu ni hiyo mikataba kuwa ya Siri. Ukisikia tu mkataba wa Siri jua huo ni mibovu. Kama sio mibovu ni kwa maslahi ya umma kwa nini uwe Siri?
Aidha Profesa Tibaijuka anashangazwa sana na ukimya wa wananchi hasa wanapobaini kuna mikataba ya ovyo namna hii inayoitwa ya Siri.
Bila kuwa na katiba nzuri hakuna lolote, maendeleo ni hisani ya Rais pekeeProfessor anna anatema sumu balaa as if na yeye ni mgeni na mfumo wa ccm.
Anakiri kwamba kwenye ngazi zote mawazo na maoni ya kitaalamu hayazingatiwi bali ni siasa inatawala kwenye maamuzi ya mambo mengi ndio maana tumefika tulipo. Tuachie wataalamu wanasiasa wawe watu wa decorations tuu majukwaani na sio kutoa maamuzi.
Tulihitajika tuweke bajeti kubwa kwenye tafiti bila tafiti mambo hayawezi kutendeka endelevu.
Kweli mkuu unaweza pata matatizo.Huwezi kuzungumza ukiwa na pande la mnofu wa nyama mdomoni.
Machawa hakuna wasomi.Akihojiwa na watangazaji wa Clouds fm ni kwanini licha ya kuwa na wasomi wengi lakini bado nchi inaingia hasara kwenye mikataba mbalimbali amesema kuna shida kubwa sana kuamini kwamba eti wasomi watatusaidia kwani hata hao wasomi hupitiwa na shetani na kuingia mikataba mibovu.
Amesema kiashiria cha mikataba kuwa mibovu ni hiyo mikataba kuwa ya Siri. Ukisikia tu mkataba wa Siri jua huo ni mibovu. Kama sio mibovu ni kwa maslahi ya umma kwa nini uwe Siri?
Aidha Profesa Tibaijuka anashangazwa sana na ukimya wa wananchi hasa wanapobaini kuna mikataba ya ovyo namna hii inayoitwa ya Siri.
Na ubaya ubwelaNchi na wananchi wako bize wanacheza na kukatika komasava
Ova
Kukwambia ubovu wa mikataba ili wewe mwananchi ujue na ukiona sawa basi sawa, ukiona haiko sawa, chukua hatua kima weweYeye kama yeye alichukua hatua gani?
Inawezekana hakuchukua hatua. Swali sisi tunachukua hatua gani? Ikiwezekana kuwachukulia hatua waliozembea kuchukua hatua.Yeye kama yeye alichukua hatua gani?
Mahakama ya Rufaa nchini Kenya imesema Sheria ya Fedha ya 2023 ni Batilihakuna cha shetani, ni makusudi mazima inabidi wanyongwe