Wachawi walianza hivo hivo mkuu ๐๐๐๐๐๐
Ninauza unga wa uji wenye virutubisho vyote, baadaye ukianza kunyweshwa uji kwa kijiko usisite kunitafuta mkuu wangu.
Juliana nimeishuhudia miaka ya mwisho mwisho, kwa watu wangu wa karibu.
Kila la kheri.
๐ค๐ค
๐๐๐นWachawi walianza hivo hivo mkuu ๐๐๐๐
Hapana mama wawili.Vipi mbona umechachamaa na umama wawili wangu ulitaka nijiite tasa ama nini?
Kuna jukwaa kule wanakutafuta mkuu...๐๐๐น
Mie huwa ni mchawi wa maneno tu, sio kwa vitendo.
Jukwaa la dini hata sijawahi kuwepo mkuu.Kuna jukwaa kule wanakutafuta mkuu...
Sijui ni jukwaa la dini
Mkuu acha basi mambo ya kike mbona unaonekana dume kabisa au namna gani?hakuna kokote nilikoanzisha mtafaruku kwanza hii acc sijawahi kuanzsha nayo Uzi unaweza kunitag huko kwenye mtafaruku maana napenda sana vitaHapana mama wawili.
Ila kuna jukwaa kule wanasema umeanzisha mtafaruku alafu umekuja huku.
Umeacha watu wamepigwa na butwaa
Mbona nimekuta unabishana Ile mada sijui Mungu aliumba maji sijui niniJukwaa la dini hata sijawahi kuwepo mkuu.
Sawa mama wawili nimekuelewaMkuu acha basi mambo ya kike mbona unaonekana dume kabisa au namna gani?hakuna kokote nilikoanzisha mtafaruku kwanza hii acc sijawahi kuanzsha nayo Uzi unaweza kunitag huko kwenye mtafaruku maana napenda sana vita
Bdo hujasemaKwahiyo pis kali tutaziangalia tu kama mbwa anaicheki jero chini
๐๐๐๐๐Sawa mama wawili nimekuelewa
๐๐๐๐๐
Namna gani ndo nini mama wawili mbona kama unajaribu kunitukana wazi wazi mama wawili..
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Mmmh!Mbona nimekuta unabishana Ile mada sijui Mungu aliumba maji sijui nini
Sawa mkuu sio mdaMmmh!
Naomba unitag tafadhali.
Xi Jinping atawapa misaada na kulipa WHO. Kasema China ndo superpower rn.
๐๐ฝ๐๐ฝ๐๐ฝSawa mkuu sio mda
Piga kavu at your own risk, mimi huwa nazurura na mipira yanguNi mwendo wa ndom tu
upatikanaji wa ARVs utakuwa mgumu na kununua ARVs kibiashara ni jambo litakalohitaji bajeti kubwa na uwezo wa taifa kwa ujumla ni mdogo na jambo limekuwa la ghafla, Waathirika wengi hawana uwezo kununua madawa hayo wenyewe maisha yao yoteโ
Mbona nilisikia Uganda wanazalisha ARV'S??Mbunge wa zamani wa Muleba, Prof Tibaijuka amesema kitendo cha Rais Trump wa US kusimamisha msaada ya kimataifa kitaleta Kiama Tanzania na Afrika
Pia soma > Trump asimamisha misaada kwa nchi nyingine kwa siku 90 ili kupitiwa upya. Tanzania nayo kuathirika
Trump amezuia misaada ya sekta za afya nk Ili Kufanya ukaguzi kama misasda hiyo inatumika kwa usahihi au fedha zinaishia mifukoni mwa eahuni wachache
Ahsanteni sana
---
Kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter), Prof. Tibaijuka amesema โUpatikanaji wa madawa ya kuongeza kinga za mwili ARVs utaathirika, ninashauri Wizara ya Afya kuufahamisha umma wa Watanzania je ni hatua gani za haraka zinachukuliwa kutathmini jambo hili na kuchukua hatua stahiki?, ikibidi African Union waitishe kikao maalum kuangalia suala hili na kuweka mkakati wa pamoja, Waathirika wa gonjwa hili la UKIMWI ni Waafrika na ugonjwa haujulikani ulitoka wapi?, tujiteteeโ
โAidha juhudi za kuthibiti maambukizi ya virusi vya UKIMWI ziwekewe nguvu mpya, upatikanaji wa ARVs utakuwa mgumu na kununua ARVs kibiashara ni jambo litakalohitaji bajeti kubwa na uwezo wa taifa kwa ujumla ni mdogo na jambo limekuwa la ghafla, Waathirika wengi hawana uwezo kununua madawa hayo wenyewe maisha yao yoteโ
โAfya zao zikidhoofika itatumika gharama kubwa kuwauguza hivo kusababisha umaskini na vifo, pia bila ARVs maambukizi yatashika kasi mpya, tuwe machoโ