Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
Hata Babu wa loliondo alipiga sana kibundaUmenikumbusha miaka ya 2001 kulikuwa na mganga mmoja hivi maeneo ya tegeta anaitwa babu jamaa alikuwa anasema ana dawa ya ukimwi kapiga sana hela miaka hiyo dawa zake alikuwa akiwapa watu wanakauka kama kuni aisee Cc ephen_