Profesa Tibaijuka: Trump kusitisha misaada ARVs zitaadimika Afrika. African Union iitishe kikao maalum kuweka mkakati

Profesa Tibaijuka: Trump kusitisha misaada ARVs zitaadimika Afrika. African Union iitishe kikao maalum kuweka mkakati

Kweli kabisa kusimamisha misaada yote ni kuua watu masikini kwa makusudi wakati wao wakiendelea kutunyonya kwa mikataba ya ajabu waloingia na viongozi wetu
Hapa ndo napompendea m norge yeye baada ya kuona viongozi wanaleta janja janja kwenye fedha za miradi huwa anatafuta njia mbadala ya kuwafikia wanufaika na sio kukatisha miradi.
Kama ni dawa za tb na HIV alete dawa, kama ni msaada wa kitaalamu kuhusu tafiti za magonjwa hayo aangalie namna ambayo haitaumiza.
Halaf wanaoumia sio Africa pekee Bali kuna raia wake pia wameajiriwa kwenye huo mnyororo.
 
Hapa ndo napompendea m norge yeye baada ya kuona viongozi wanaleta janja janja kwenye fedha za miradi huwa anatafuta njia mbadala ya kuwafikia wanufaika na sio kukatisha miradi.
Kama ni dawa za tb na HIV alete dawa, kama ni msaada wa kitaalamu kuhusu tafiti za magonjwa hayo aangalie namna ambayo haitaumiza.
Halaf wanaoumia sio Africa pekee Bali kuna raia wake pia wameajiriwa kwenye huo mnyororo.
Bado hamjasema.
 
haya sasa wadau wa huu uzi mukuje uku sasa. mawazo yenu yanahitajika haraka sana hapa.

vp apa tunakunywa mkojo wa punda au wabinadam au tunaenda kusaka mitinyonyo?


Cc. Alone kwenye faili. FRANCIS DA DON
ARV haziongezi kinga, bali zinafubaza virusi.., kinga huongezwa kwa lishe bora. Profesa kateleza.
 
Mbunge wa zamani wa Muleba, Prof Tibaijuka amesema kitendo cha Rais Trump wa US kusimamisha msaada ya kimataifa kitaleta Kiama Tanzania na Afrika

Pia soma > Trump asimamisha misaada kwa nchi nyingine kwa siku 90 ili kupitiwa upya. Tanzania nayo kuathirika

Trump amezuia misaada ya sekta za afya nk Ili Kufanya ukaguzi kama misasda hiyo inatumika kwa usahihi au fedha zinaishia mifukoni mwa eahuni wachache

Ahsanteni sana

---
Kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter), Prof. Tibaijuka amesema “Upatikanaji wa madawa ya kuongeza kinga za mwili ARVs utaathirika, ninashauri Wizara ya Afya kuufahamisha umma wa Watanzania je ni hatua gani za haraka zinachukuliwa kutathmini jambo hili na kuchukua hatua stahiki?, ikibidi African Union waitishe kikao maalum kuangalia suala hili na kuweka mkakati wa pamoja, Waathirika wa gonjwa hili la UKIMWI ni Waafrika na ugonjwa haujulikani ulitoka wapi?, tujitetee”

“Aidha juhudi za kuthibiti maambukizi ya virusi vya UKIMWI ziwekewe nguvu mpya, upatikanaji wa ARVs utakuwa mgumu na kununua ARVs kibiashara ni jambo litakalohitaji bajeti kubwa na uwezo wa taifa kwa ujumla ni mdogo na jambo limekuwa la ghafla, Waathirika wengi hawana uwezo kununua madawa hayo wenyewe maisha yao yote”

“Afya zao zikidhoofika itatumika gharama kubwa kuwauguza hivo kusababisha umaskini na vifo, pia bila ARVs maambukizi yatashika kasi mpya, tuwe macho”
Ndio mrekebishe sheria za mafao na magari ya serikali na isafara tujitegemee.
Kumbe wanafiki makafiri wanajifanya wanatukana wazungu huku wao ndio wanaongoza kutumia ARV kutoka marekani wakati huo huo wanakataachanji toka marekani.
 
Back
Top Bottom