Mr Makunduchi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 995
- 492
Mmekwisha kachukueni wachezaji jang'ombe Na mwanakwerekweBabu Okwi amekuja kuchukua mafao yake ya kustafu mpira.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
miaka 26????? napinga.Mganda Okwi mwenye umri wa miaka 26 amesani Simba SC kandarasi ya miaka miwili jana, taarifa zinadokeza hivyo.
Okwi ambaye yupo kwenye kikosi cha kwanza timu ya Taifa ya Uganda kama mshambuliaji, amemshukuru Mohamed Dewji kwa kusimama kidete kuhakikisha anafanikisha dili hilo.
Okwi amewaahidi mashabiki wa Simba kuwa wasubiri kazi nzito toka kwake, na amewashukuru kwa kumuamini
Wachezaji wa Afrika miaka huwa haiongezeki mkuu!miaka 26????? napinga.
Hata Samwel Etoo wakati akiwa na miaka 40 alidanganya kuwa ana miaka 34 hadi Mchumba wake ndio aliyekuja kumuumbua. kwa hiyo sio kila unachokiona kwenye mitandao ndio ukweli.
Kuna mtu kanipenyezea et toka mle rambirambi ya Mafisango professional za Msimbazi zinachacha kuanzia Pape Ndaw.kuna ukweli?Subirini awafunge ndio mtasema.umri wake wa kweli
Huo ubingwa wenu umewapeleka wap??Vibibi vizee vya Kariakoo...Miaka10 ..Yanga bingwa mara 7..anzisheni NGO (Mikia Foundation) inachosha kila siku sisi mabingwa...Canavaro kunyanyua kwapa amechoka
Hivi Kamusoko na Okwi nani babu? Je na huyu naye atakuja kwa mara ya pili kuchukua mafao yake?Babu Okwi amekuja kuchukua mafao yake ya kustafu mpira.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Hata Fhaki pia alitokea Jang'ombeMmekwisha kachukueni wachezaji jang'ombe Na mwanakwerekwe
Mmemshindwa msomi Ali Mayai sasa mmemgeukia Wambura
Kuna mtu kanipenyezea et toka mle rambirambi ya Mafisango professional za Msimbazi zinachacha kuanzia Pape Ndaw.kuna ukweli?
Teh teh! Sio mbaya lakini kama babu kamusoko ameweza basi okwi naye ataweza tu[emoji16][emoji16][emoji16] eti miaka 26 mleta uzi simamisha gari nishuke
Kama OKWI KAZALIWA 25 DEC 1992 MAANA YAKE ANA MIAKA 24.. NA KWAKUWA ALINZA KUCHEZA LIGI KUU UGANDA TENA SC VILLA 2009 INA MAANA ALIANZE KUCHEZA LIGI KUU AKIWA NA MIAKA 16... ss tujiulize kanuni ipi inaruhusu mchezaji kucheza ligi kuu akiwa under 17??? inafahamika waziiii...
Njooni na vielelezo vya umri halisi..
Tuwekee hapa mwaka huo wa lunyamila tulinganishe hapo.. kusoma hakufanyi uwe mtoto... sheria za mpira wa miguu hujui wewe...Miaka ya 80 kulikuwa na mtoto anaitwa Hilal Hemed na aliichezea Coastal Union akiwa na umri huohuo wa miaka 16. Hakuna jinai hapo.
Lunyamila aliichezea Biashara Shinyanga akiwa mwanafunzi Buhangija.
Subirini kufungwa tu.