Professional Okwi asaini 2yrs,amshukuru tajiri Mo Dewji

Professional Okwi asaini 2yrs,amshukuru tajiri Mo Dewji

Daah miaka 26?

Konda simamisha gari namimi nishuke aisee!
 
Mganda Okwi mwenye umri wa miaka 26 amesani Simba SC kandarasi ya miaka miwili jana, taarifa zinadokeza hivyo.

Okwi ambaye yupo kwenye kikosi cha kwanza timu ya Taifa ya Uganda kama mshambuliaji, amemshukuru Mohamed Dewji kwa kusimama kidete kuhakikisha anafanikisha dili hilo.

Okwi amewaahidi mashabiki wa Simba kuwa wasubiri kazi nzito toka kwake, na amewashukuru kwa kumuamini
miaka 26????? napinga.
 
Mnang'ang'ana umri wa Okw mnautaka wa nini,sisi tuliomuajiri hatuna shida na umri wake
 
Umri sahihi wa emmanuel okwi
666bd9615fc37efec7c62fe262cf2a6f.jpg
 
Kama OKWI KAZALIWA 25 DEC 1992 MAANA YAKE ANA MIAKA 24.. NA KWAKUWA ALINZA KUCHEZA LIGI KUU UGANDA TENA SC VILLA 2009 INA MAANA ALIANZE KUCHEZA LIGI KUU AKIWA NA MIAKA 16... ss tujiulize kanuni ipi inaruhusu mchezaji kucheza ligi kuu akiwa under 17??? inafahamika waziiii...
Njooni na vielelezo vya umri halisi..
9ecbffd7d0f4c47f2437766d707657ef.jpg
 
Kama OKWI KAZALIWA 25 DEC 1992 MAANA YAKE ANA MIAKA 24.. NA KWAKUWA ALINZA KUCHEZA LIGI KUU UGANDA TENA SC VILLA 2009 INA MAANA ALIANZE KUCHEZA LIGI KUU AKIWA NA MIAKA 16... ss tujiulize kanuni ipi inaruhusu mchezaji kucheza ligi kuu akiwa under 17??? inafahamika waziiii...
Njooni na vielelezo vya umri halisi..
9ecbffd7d0f4c47f2437766d707657ef.jpg


Miaka ya 80 kulikuwa na mtoto anaitwa Hilal Hemed na aliichezea Coastal Union akiwa na umri huohuo wa miaka 16. Hakuna jinai hapo.

Lunyamila aliichezea Biashara Shinyanga akiwa mwanafunzi Buhangija.

Subirini kufungwa tu.
 
Miaka ya 80 kulikuwa na mtoto anaitwa Hilal Hemed na aliichezea Coastal Union akiwa na umri huohuo wa miaka 16. Hakuna jinai hapo.

Lunyamila aliichezea Biashara Shinyanga akiwa mwanafunzi Buhangija.

Subirini kufungwa tu.
Tuwekee hapa mwaka huo wa lunyamila tulinganishe hapo.. kusoma hakufanyi uwe mtoto... sheria za mpira wa miguu hujui wewe...
 
Back
Top Bottom