Professional Okwi asaini 2yrs,amshukuru tajiri Mo Dewji

Pooooovu! Kwani alisema Kamusoko ni mdogo?

Kamusoko kuwa mkubwa kwa Okwi hakujustify Okwi kuwa 26. Halafu tuliza akili zako wewe, kuoa sio kigezo cha umri. Mimi nilioa nikiwa na miaka 34.
 
[emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] 26[emoji15] [emoji16]
 
Acha undezi wewe...
 
Naona Yanga wanatoka povu, eti leo ndio wanaangalia kigezo cha umri katika usajili. Haya basi, naona mnamrudisha Salum Telela mwenye umri mdogo kuliko Okwi ili azibe pengo la mnyarwanda anayeenda APR
 
Pooooovu! Kwani alisema Kamusoko ni mdogo?

Kamusoko kuwa mkubwa kwa Okwi hakujustify Okwi kuwa 26. Halafu tuliza akili zako wewe, kuoa sio kigezo cha umri. Mimi nilioa nikiwa na miaka 34.
Wapenzi wa Simba sc hawajawahi kulalamika kuwa Yanga wamesajiri mchezaji mzee kama Kamusoko, na Zulu.
Ajabu ninyi wapenzi wa Yanga kinawawasha nini hadi mumlalamikie Okwi kuwa ni mzee ?
Simba inajua kuwa Okwi ni mzee na imemsajiri kama nyie mlivyomsajiri Kamusoko na Zulu Mkataumeme, wakati mlijua kuwa ni wazee.
Zulu alikuwa ni mzee sana mpaka ameshindwa kuongeza mkataba wa kuendelea kuichezea Yanga fc, kwani amekata pumzi kwa kipindi cha msimu mmoja tu.
Okwi ataonekana uwanjani kama ni mzee au kijana na sio kwa maneno yenu.
Poleni wana Jangwani.
 
Mpira Wa bongo ndo maana hatuendelei Okwi!?? for what hivi hata hatujiulizi huyo keshakuwa galasa maana angekuwa na kiwango asingerudi Tz wangemng'ang'ania hukohuko....
 
Punguza povu mtani, huu mchezo hauhitaji hasira kiasi USAJILI uite USAJIRI.

Okwi na Musa Mgosi ni sawa tu, tofauti mmoja ni Mganda mwingine Mdigo.
 
Mpira Wa bongo ndo maana hatuendelei Okwi!?? for what hivi hata hatujiulizi huyo keshakuwa galasa maana angekuwa na kiwango asingerudi Tz wangemng'ang'ania hukohuko....
Kamati za ufundi za Simba hizo, juzi juzi hapa walimsajili Musa Hassan Mgosi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…