Professional Okwi asaini 2yrs,amshukuru tajiri Mo Dewji

Professional Okwi asaini 2yrs,amshukuru tajiri Mo Dewji

Wewe unajua ana miaka mingapi ?

Ivi Okwi ni mkubwa kuliko Kamusoko?
au Yondani au Zulu Mkataumeme au Kanavaro au Bissou, au Tambwe ?

Okwi kaoa mwaka juzi tu na ndoa yake ilionekana kwa wapenda soka wote

Lete umri wao na wake tuone nani mkubwa zaidi.
Kwani kuoa juzi ndo ina maanisha mdogo kiumri? Hivi le mutuz naye akiamua kuoa sasa atakuwa mdogo kiumri?
 
Kwa umri jamaa angetafuta timu uropu maana bado kinda sana itakuwa "alivuma akiwa mtoto"
 
Wewe unajua ana miaka mingapi ?

Ivi Okwi ni mkubwa kuliko Kamusoko?
au Yondani au Zulu Mkataumeme au Kanavaro au Bissou, au Tambwe ?

Okwi kaoa mwaka juzi tu na ndoa yake ilionekana kwa wapenda soka wote

Lete umri wao na wake tuone nani mkubwa zaidi.
Kuoa sio ndo kigezo cha kuwa na
Umri mdogo
 
Wewe unajua ana miaka mingapi ?

Ivi Okwi ni mkubwa kuliko Kamusoko?
au Yondani au Zulu Mkataumeme au Kanavaro au Bissou, au Tambwe ?

Okwi kaoa mwaka juzi tu na ndoa yake ilionekana kwa wapenda soka wote

Lete umri wao na wake tuone nani mkubwa zaidi.
Mpumbavu eeh sasa kuoa mwaka jana ndio iwe sababu ya umri mdogo...??? Smalling kaoa lini??? Khaa.. KAMUSOKO MKUBWA NA INAJULIKANA HIVYO.. OKWI HAPUNGUI MIAKA 30....
 
Emmanuel Arnold Okwi (born 25 December 1992) is a Ugandan professional football player who plays as a striker for the Uganda national football team. He played football as a boy while at St. Henry's College Kitovu. In July 2015, he signed a five-year contract with the Danish Supaliga club, SønderjyskE Fodbold
Hata Samwel Etoo wakati akiwa na miaka 40 alidanganya kuwa ana miaka 34 hadi Mchumba wake ndio aliyekuja kumuumbua. kwa hiyo sio kila unachokiona kwenye mitandao ndio ukweli.
 
Alipouzwa Etoile Du Sahel alikuwa na umri gani?
Imepita miaka mingapi?
Umri wachezaji wa Africa hadi wapimwe na MRI!
 
Back
Top Bottom