Professor Assad Asimulia alipokuwa

Professor Assad Asimulia alipokuwa

Uzuri waandishi wa habari kwa sasa wamekuwa na akili, wanapuuziaga taarifa anazotoa zitto, vinginevyo saa hizi wangekuwa na hali mbaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika Zama hizi ni rahisi Sana mtu kulishwa information hewa,Wala sio suala la kumcheka mtu
Zito yupo sahihi kwa asilimia zote ni kweli huyo mzee Assad alitekwa ingawa walimuachia faster baada ya kusoma upepo unavyokwenda ni vilaza pekee watayaamini maneno ya Assad kwani ni maneno ya kuwakinda ili wasimteke tena,
 
Zito yupo sahihi kwa asilimia zote ni kweli huyo mzee Assad alitekwa ingawa walimuachia faster baada ya kusoma upepo unavyokwenda ni vilaza pekee watayaamini maneno ya Assad kwani ni maneno ya kuwakinda ili wasimteke tena,

Assad ni Mkweli sana sana

Kama angekuwa mpindisha maneno basi mpaka muda huu angekuwa bado ni CAG
 
Uzuri kipindi hiki watanzania wengi wapo makini wanajielewa na wanajua kupima kila kitu, ukimtiza na kusikiliza anachokiongea Assad unagundua anasema uongo ili kujilinda na dhahama zingine na pia kuwaokoa watekaji toka kwenye Dua za watanzania waliokuwa wameapa kuwaombea dua mbaya watekaji wake.
 
Kuna wakati kama siyo kuwa na sura ya kiume basi watu wangeficha sura zao mbali sana.
 
Back
Top Bottom