Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
mzee kama watu wanazingua kwa nini asiwapige vibao,aliweka marufuku kuvuta bangi studio,na studio ndipo anapokaa na mama ake,afande sele anaambiwa zaidi ya mara mbili hasikii,kwa nini asimpige vibao,mtu akija kuvuta bangi sebuleni kwako unamkataza hasikii utafanyaje?Hahaaa ..
That dude, feels like he is straight outta Compton.
Anajikuza na kujisikia sana. Kuna stori tunazisikia redioni kwenye interview za wasanii alikuwa anapiga vibao wasanii enzi hizo kuna uhaba wa music producers.