bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Sidhani kama imekusudiwa kuwa anatambua siku ya kufa mtu. Ni daktari aliyekuwa anashughulika na maiti ili kutambua sababu za kifo chake. Kwa hivyo yeye ni mpaka mtu afe ndiyo afanye uchunguzi.Profesa mtambuzi wa vifo llkn kashindwa kujua yeye lini atakufa.
Allah akbar.
Mtume Muhammad watu walimuuliza kuhusu kifo. AKAWAAMBIA ANAOJUA KIFO NI ALLAH PEKEE YAKE
Wewe jamaa...., ulisha andika kitabu watu wakusome?Proffessor akameza fundo la Konyagi akawajibu wale vijana,
Hata mimi nilidhani alishakufa. Alikuwa anapenda kupiga maji yake pale new Africa hotel patio bar ripKumbe huyu mwamba alikuwa hai mimi nilijua alishavuta kitambo
Mkuu nilisha andika kitabu toka 2005, ila sijakitangaza sana kwa vile kinagusa maisha ya watu ambao bado wako hai.Wewe jamaa...., ulisha andika kitabu watu wakusome?
Umri umekwenda, lakini wakati ndio mzuri huu wa kutumia kipaji chako kumalizia zilizobaki.
Mimi napendekeza kitabu kinachofaa ukiandike: Jinsi mlivyoyaua mashirika ya wananchi (mashirika ya Umma).
Naahidi kukununua nakala ya kwanza ya hicho kitabu niisome kwa makini.
Ulivyo mwelezea hapo Profesa Shaba, hasa kuhusu hayo maneno aliyowapa hao vijana akina George Mazula; huyo ndiye aliyekuwa Profesa Shaba mwenyewe, katika mazingira ya aina hiyo ulivyo yaelezea wewe.
Hakuwa na baya na mtu, yeye ni taaluma yaka na kawiski kale basi.Tofauti kidogo na wewe, katika "kujuwa", taarifa hii imenifanya nami nidhani kuwa alisha ondoka, kumbe alikuwa yungali hai!
Jambo linalosikitisha na taarifa za namna hii ni kwamba, mtaalam kama huyu, 'pioneer' wa eneo lake la kitaaluma, taarifa ya kifo chake inahusishwa na umaarufu wake katika kumhudumia kiongozi tu, tena kwa kiongozi aliyeaga dunia!
Kuna njia nyingi za kumuelezea Profesa Shaba zikihusisha umaarufu wake kikazi na kulitumikia taifa lake kiujumla.
Hii inaonyesha tabia ya siku hizi inayowapa viongozi wa kisiasa kipaumbele katika kila jambo, na kusahau michango ya waTanzania mbalimbali katika kazi zao maeneo mbalimbali.
Sasa sijui kama hii nimeiweka sawa, kama nilivyotaka kuiwasilisha.
Nilimfahamu Profesa Shaba Muhimbili. Hakuwa na nenobaya na mtu yeyote.
Mungu Amweke Mahali Pema.
Huyo mpuuzi ametoa negative opinion kwa vile Profesa alikuwa siyo Muislam mwenzake malaria sugu ana upuuzi mwingi sanaSidhani kama imekusudiwa kuwa anatambua siku ya kufa mtu. Ni daktari aliyekuwa anashughulika na maiti ili kutambua sababu za kifo chake. Kwa hivyo yeye ni mpaka mtu afe ndiyo afanye uchunguzi.
Alikabidhiwa mwl. J. K. NPostmortem report inasemaje?
Hivi nyerere hakuwahi kuwa waziri mkuu?
Katika enzi za uhai wake, alilisaidia Taifa la Tanzania kwa mambo yapi?
Profesa mtambuzi wa vifo llkn kashindwa kujua yeye lini atakufa.
Allah akbar.
Mtume Muhammad watu walimuuliza kuhusu kifo. AKAWAAMBIA ANAOJUA KIFO NI ALLAH PEKEE YAKE
Pumzika Prof Shaba. Nakumbuka siku moja ulitukuta pale mtaani Shaaban Robert na Ghana Avenue ukiwa umelewa ukatuomba tukupeleke nyumbani kwako kule Ocean Road usiku kama wa saa tatu, nilikuwa mimi na marafiki wawili wa mtaani.MAREKANI: DAKTARI Bingwa wa utambuzi wa magonjwa na sababu za vifo, Profesa James Shaba amefariki dunia jana jumanne Desemba 5, 2023.
Profesa Shaba ndie aliyefanya uchunguzi wa mwili wa Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania ‘postmortem’ Hayati Edward Sokoine, kwenye hospitali ya Muhimbili.
Sokoine alifariki Aprili 12, 1984 akiwa na umri wa miaka 45 kutokana na ajali ya gari iliyotokea Dakawa mkoani Morogoro.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na familia ya Profesa Shaba inasema kuwa alifariki majira ya saa mbili usiku, Chicago nchini Marekani alipokuwa akiishi.
Mtoto wa marehemu, Anale Shaba amesema taratibu za maandalizi ya mazishi zitatolewa baadaye na kwamba marehemu Shaba ameugua kwa muda mrefu.
Wakati anaitumikia nchi hii wewe pengine ulikuwa unatembea kwenye viuno vya Baba yako mzazi, huna mamlaka ya kimaadili ya kumhukumu.Alikuwa kichwa my foot!
Hakuchangia kukuza medani ya afya ndio maana wanapozeeka wanakimbia kutibiwa na kufia nje.
Angekuwa kichwa angefanya indelible good for his profession, for his country.
Always drunk like a skunk and smelling like a liqour still.
Waziri mkuu wa kwanza wa Tanganyika alikuwa ni Mwalimu Nyerere mwenyewe kabla hajajiuzulu na kuachia nafasi watu wengine.Sokoine alikuwa ndiye Waziri mkuu wa kwanza wa Tanzania, Nyerere alikuwa Waziri mkuu wa Tanganyika
Hapana. Ni Rashid Mfaume Kawawa.NYERERE.
Rashid Mfaume Kawawa alikuwa waziri mkuu wa mwisho wa Tanganyika January 1962 mpk 9 December 1962.Kwani wewe ulidhani nani?
Mwalimu Nyerere, ni wa Tanganyika.
Kawawa ni wa Tanzania? Hebu cheki hiyo! Mi nadhani naye ni wa Tanganyika.
wapi kamhukumu? nyinyi vichwa panzi ndio mnasababisha unafiki na uchawa utamalaki hamtaki kusikia negative views za mnaohisi mnawapenda.Wakati anaitumikia nchi hii wewe pengine ulikuwa unatembea kwenye viuno vya Baba yako mzazi, huna mamlaka ya kimaadili ya kumhukumu.
Kaka Mayala hv huyu the late Proffessor alikuwa na undugu na yule former minister na colleague wa Mwalimu Nyerere kwenye serikali yake Mzee Austin Shaba?By that time, tulikuwa na pathologist wawili tuu!. Sisi tuliosoma Tambaza tulikuwa tunamuona sana mitaa ya around Muhimbili, alikuwa ni kichwa sana!,
Taarifa ya Familia
Wanajumuia,
Familia ya Professa James Shaba inasikitika kuwatangazia kuwa Mzee wetu Professa James Shaba amemaliza safari yake hapa duniani. Mzee wetu ametutoka jioni ya leo siku ya Jumanne tarehe 5 December 2023, muda wa saa 2:30 usiku saa za Marekani (Central Eastern Time) Chicago. Habari zaidi za maandalizi ya mazishi zitatumwa baadaye. Mzee alikuwa akiuguzwa na watoto wake Stella na Anale Shaba kwa muda mrefu. Mungu aipumzishe roho ya mzee wetu mahali pema peponi.
Kwa mtakawatoweza kuawasiliana au kwenda kuwaona Stella na Anale Shaba (Watoto wa Marehemu) na Wana Chicago wenzetu mnaweza kusailiana nao kwa kupitia namba ya simu hapo chini au kwenda kuwaona nyumbani kwao:
Anale Shaba: (847) 525-9224
4151 N. Richmond
Chicago, IL 60618
“Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.”
NB: Uongozi wa TCA tutaendelea kutoa updates.
ila pia...
RIP Prof. James Shaba.
P
Profesa Shaba alikuwa ni mtu mwenye heshima kubwa sana hapa nchini na alisomesha watoto wake, akawa akila matunda mpaka siku anaaga dunia.wapi kamhukumu? nyinyi vichwa panzi ndio mnasababisha unafiki na uchawa utamalaki hamtaki kusikia negative views za mnaohisi mnawapenda.
u have to be open minded if u want to progress in all aspects.
Ha ha ha,wako alikuwa anabeba mafaili masijala ya wapi hivi!!Wakati huo Mwenyekiti wako anakagua wageni bot