TANZIA Professor James Shaba afariki dunia. Alifanyia postmortem mwili wa Hayati Sokoine

Profesa Shaba alikuwa ni mtu mwenye heshima kubwa sana hapa nchini na alisomesha watoto wake, akawa akila matunda mpaka siku anaaga dunia.
wapi kasema alikuwa hasomeshi familia yake? yeye kazungumzia positive contribution to his country.

he meant to lay down the legacy for his fame apart from that being postmortem to the late PM sokoine
 
wapi kasema alikuwa hasomeshi familia yake? yeye kazungumzia positive contribution to his country
Mchango wake ni kupokea miili ya marehemu na kugundua vyanzo vya vifo vyao, miaka ile kuwa Pathologist sio mchezo haswa kwa nchi zetu za afrika.

Huyo muungwana niliyemjibu kaja na akili zile zile za kuchukulia poa kila mtu akidhani ni fisadi au wakati wa uhai wake alikuwa hajielewi. Very wrong perception.
 
Duh huyu mzee inaonekana alikuwa mlevi tokea miaka ya 70 huko tena wa pombe kali sana maana anasemwa waziwazi. Najiuliza ikawaje aishi hadi leo 2020s. Kwa jinsi anavyosifiwa humu kwa kilaji basi alikuwa analewa kila siku tena chakariiiii...Najiuliza bado aliwezaje kudumu hivyo???
 
Kile kitendo cha kuosha maiti zao na kukamua mavi kinawaletea changamoto hata waarabu

Sijui Mwamedi akifikiria nini
 
Hongera sana mabinti kwa kuntunza na kumuguza baba yenu.Ingependeza kama serkali kupitia wizara ya Afya kutoa pole kwa msiba wa mtu aliyehudumia viongozi na watu wa kawaida kwa weledi mikubwa.
 
Waziri Mkuu Edward Sokoine alipofariki Aprili 1984, mwili ulilazwa Bungeni ili watu waende kutoa heshima za mwisho. Matarajio yalikuwa kwamba shughuli hiyo itafanyika kwa masaa kadhaa tu, nadhani kuanzia saa 11 jioni hadi saa 4 usiku. Baada ya hapo mwili ungepelekwa mortuary. Idadi ya watu ilikuwa kubwa sana, na ikabidi kutoa heshima kuendelee mpaka asubuhi.
Kama mkuu wa kitengo kinachohusika, Prof. Shaba ilibidi kupita kuukagua mwili kila baaada ya muda fulani, usiku kucha. Wajuzi wa habari wakawa wakiteta kwamba leo Profesa hakukitendea haki kinywaji kwa kuachana nacho kila baada ya muda fulani.
 
Alikuwa anamiliki gari ya aina ya Volvo miaka ile.
Yes both brothers walikuwa na volvo, by then top car ni Benz, ikifuatiwa na Volvo, mawaziri walikuwa wanatumia Peugeot 504 number STC na STD. Mwanza RSO alikuwa anatumia Volvo ya blue.
Dar tulikuwa na 504. Pale Drive In kulikuwa na Benzi kadhaa, Volvo 1, na 504 moja.

P
 
Kaka Mayala hv huyu the late Proffessor alikuwa na undugu na yule former minister na colleague wa Mwalimu Nyerere kwenye serikali yake Mzee Austin Shaba?
Yes they are brothers, na wana Dada yao kifaa kweli kweli!, Mzee Mayalla akiwa RSO wa Mtwara, (Wazee wa Kisukuma hawazeekagi), si macho ya Dingi yakaispot, kufunga kufungua kabinti kakajiriwa Idara, mara paap!, kidume hicho!, kikapewa jina la ..., Dingi akahamishiwa Mwanza, huko ikamkuta ile soo ya 1976!, baada ya soo kuisha 1980 si dingi akatia timu kumdai mwanae!, ndipo akaambiwa hao ni wa Makua, ni matrilinier, watoto ni mali ya Mama na wanatumia jina ubini wa kikeni!. Hata che Nkapa ni ubini wa kikeni!. Katika vitu vingumu Msukuma kuelewa ni damu yake kuibiwa na Mwanamke!. Hivyo mimi tuna undugu na kina Shaba, huyo dogo wetu tutamsaka kumkomboa tumrudishe Usukumani!.
P
 
African respect for the dead, speak only the good deeds of the dead!. Kumsema vibaya marehemu is equal to the consecration of the dead!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…