Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RIP Mazula alikuwa member wa miaka mingi wa gymkhana club, siku moja moja akicheza golf na marafiki zake.Yes both brothers walikuwa na volvo, by then top car ni Benz, ikifuatiwa na Volvo, mawaziri walikuwa wanatumia Peugeot 504 number STC na STD. Mwanza RSO alikuwa anatumia Volvo ya blue.
Dar tulikuwa na 504. Pale Drive In kulikuwa na Benzi kadhaa, Volvo 1, na 504 moja.
P
Club kongwe hiyo wazee ,watu maarufu wote hukutana hapoRIP Mazula alikuwa member wa miaka mingi wa gymkhana club, siku moja moja akicheza golf na marafiki zake.
Miaka michache kabla hajafariki alikuwa akishinda pale Peugeot mbele ya bushtrekker nadhani alikuwa na ofisi katika mojawapo ya yale majengo.
Hata waziri mmoja mkuu na jajiTena wanasema alikua anapenda sana kunywa kilevi aina ya Gongo !!
Muhimbili yenyewe wale surgeon wote nnaowajuwa ni watu wa kileviMazingira ya kufanya Kazi ni magumi jamani hacheni kuwasema madakitari kuwa ni walevi,
Kama wakiamua kuyasema yanayo wasibu kazin, basi watu wangekata tamaa kusoma mambo ya AFYA
Majiniazi wengi huwa wanapenda kilaji.Ila Dingi alikuwa mtu wa kilaji sana na kwenye taaluma yake alikuwa vizuri mno.
Alikua Waziri mkuu wa kwanza wa Tanganyika baadae alijiuzulu akaja kuwa Rais wa kwanza wa Tanganyika na baadae Tanzania.Alikua ila sio wa Tanzania it was Tanganyika by that time
Na zamani alikuwa anapenda pale seaview hotel Upanga !Hata mimi nilidhani alishakufa. Alikuwa anapenda kupiga maji yake pale new Africa hotel patio bar rip
Ni ajabu na kweli !!Majiniazi wengi huwa wanapenda kilaji.
Pole kwa wafiwa.
Plus Sea View Hotel Upanga !IFM, Georges Grill, Sky way, Chinese, New Africa kote huko alijulikana.
Usipende kuita watu walevi tumia neno wanywaji angekuwa mlevi angemfanyia postmortem waziri mkuu baada yakifo chakeLakini alikuwa mlevi sana enzi hizo. Bado namkumbuka. RIP.
oooh kumbe!!Yes they are brothers, na wana Dada yao kifaa kweli kweli!, Mzee Mayalla akiwa RSO wa Mtwara, (Wazee wa Kisukuma hawazeekagi), si macho ya Dingi yakaispot, kufunga kufungua kabinti kakajiriwa Idara, mara paap!, kidume hicho!, kikapewa jina la ..., Dingi akahamishiwa Mwanza, huko ikamkuta ile soo ya 1976!, baada ya soo kuisha 1980 si dingi akatia timu kumdai mwanae!, ndipo akaambiwa hao ni wa Makua, ni matrilinier, watoto ni mali ya Mama na wanatumia jina ubini wa kikeni!. Hata che Nkapa ni ubini wa kikeni!. Katika vitu vingumu Msukuma kuelewa ni damu yake kuibiwa na Mwanamke!. Hivyo mimi tuna undugu na kina Shaba, huyo dogo wetu tutamsaka kumkomboa tumrudishe Usukumani!.
P
Marehemu enzi zake hakuwa tu mnywaji bali alikuwa mlevi (hata saa za kazi) kwa tuliomjua😎😎Usipende kuita watu walevi tumia neno wanywaji angekuwa mlevi angemfanyia postmortem waziri mkuu baada yakifo chake
Mambo si yalikuwa yanaenda lakiniMarehemu enzi zake hakuwa tu mnywaji bali alikuwa mlevi (hata saa za kazi) kwa tuliomjua[emoji41][emoji41]
Labda😎😁Mambo si yalikuwa yanaenda lakini
Hakuna kilichoharibika au!
Ova
Mkuu kwani kilaji ni vibaya kama alikua anakunywa baada ya kazi na kama haikuathili utendaji wake wa kazi...Ila Dingi alikuwa mtu wa kilaji sana na kwenye taaluma yake alikuwa vizuri mno.
Duh! Hapo unaweza kukuta Mtoto Mtu anasoma historia ya Mama yakeYes they are brothers, na wana Dada yao kifaa kweli kweli!, Mzee Mayalla akiwa RSO wa Mtwara, (Wazee wa Kisukuma hawazeekagi), si macho ya Dingi yakaispot, kufunga kufungua kabinti kakajiriwa Idara, mara paap!, kidume hicho!, kikapewa jina la ..., Dingi akahamishiwa Mwanza, huko ikamkuta ile soo ya 1976!, baada ya soo kuisha 1980 si dingi akatia timu kumdai mwanae!, ndipo akaambiwa hao ni wa Makua, ni matrilinier, watoto ni mali ya Mama na wanatumia jina ubini wa kikeni!. Hata che Nkapa ni ubini wa kikeni!. Katika vitu vingumu Msukuma kuelewa ni damu yake kuibiwa na Mwanamke!. Hivyo mimi tuna undugu na kina Shaba, huyo dogo wetu tutamsaka kumkomboa tumrudishe Usukumani!.
P
Hivi umenisoma vizuri au umekurupuka tu. Ndiyo maana mnafeli mitihani kiboya.Mkuu kwani kilaji ni vibaya kama alikua anakunywa baada ya kazi na kama haikuathili utendaji wake wa kazi...
Maana pombe huleta uzembe na uvivu Kwa watu wengi ambao wana over drink
Huwa napendaga sana wanataaluma walio someaga marekani Huwa wanakuaga very unique na special sana ki utendaji...
RIP
Prof.
Nasikia alikua akisema 'wanasema ni ajali ya gari!!..nimejitoa Mara tatu kwenye mwili wake'By that time, tulikuwa na pathologist wawili tuu!. Sisi tuliosoma Tambaza tulikuwa tunamuona sana mitaa ya around Muhimbili, alikuwa ni kichwa sana!,
Taarifa ya Familia
Wanajumuia,
Familia ya Professa James Shaba inasikitika kuwatangazia kuwa Mzee wetu Professa James Shaba amemaliza safari yake hapa duniani. Mzee wetu ametutoka jioni ya leo siku ya Jumanne tarehe 5 December 2023, muda wa saa 2:30 usiku saa za Marekani (Central Eastern Time) Chicago. Habari zaidi za maandalizi ya mazishi zitatumwa baadaye. Mzee alikuwa akiuguzwa na watoto wake Stella na Anale Shaba kwa muda mrefu. Mungu aipumzishe roho ya mzee wetu mahali pema peponi.
Kwa mtakawatoweza kuawasiliana au kwenda kuwaona Stella na Anale Shaba (Watoto wa Marehemu) na Wana Chicago wenzetu mnaweza kusailiana nao kwa kupitia namba ya simu hapo chini au kwenda kuwaona nyumbani kwao:
Anale Shaba: (847) 525-9224
4151 N. Richmond
Chicago, IL 60618
“Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.”
NB: Uongozi wa TCA tutaendelea kutoa updates.
ila pia...
RIP Prof. James Shaba.
P
Hili tatizo kwa sasa n miaka hii ni kama halipo. Watu wamesha elewa misisngi ya afya.Kile kitendo cha kuosha maiti zao na kukamua mavi kinawaletea changamoto hata waarabu
Sijui Mwamedi akifikiria nini