TANZIA Professor James Shaba afariki dunia. Alifanyia postmortem mwili wa Hayati Sokoine

TANZIA Professor James Shaba afariki dunia. Alifanyia postmortem mwili wa Hayati Sokoine

Yes both brothers walikuwa na volvo, by then top car ni Benz, ikifuatiwa na Volvo, mawaziri walikuwa wanatumia Peugeot 504 number STC na STD. Mwanza RSO alikuwa anatumia Volvo ya blue.
Dar tulikuwa na 504. Pale Drive In kulikuwa na Benzi kadhaa, Volvo 1, na 504 moja.

P
RIP Mazula alikuwa member wa miaka mingi wa gymkhana club, siku moja moja akicheza golf na marafiki zake.

Miaka michache kabla hajafariki alikuwa akishinda pale Peugeot mbele ya bushtrekker nadhani alikuwa na ofisi katika mojawapo ya yale majengo.
 
RIP Mazula alikuwa member wa miaka mingi wa gymkhana club, siku moja moja akicheza golf na marafiki zake.

Miaka michache kabla hajafariki alikuwa akishinda pale Peugeot mbele ya bushtrekker nadhani alikuwa na ofisi katika mojawapo ya yale majengo.
Club kongwe hiyo wazee ,watu maarufu wote hukutana hapo

Ova
 
Mazingira ya kufanya Kazi ni magumi jamani hacheni kuwasema madakitari kuwa ni walevi,

Kama wakiamua kuyasema yanayo wasibu kazin, basi watu wangekata tamaa kusoma mambo ya AFYA
Muhimbili yenyewe wale surgeon wote nnaowajuwa ni watu wa kilevi
Hiyo kawaida kwao

Ova
 
Yes they are brothers, na wana Dada yao kifaa kweli kweli!, Mzee Mayalla akiwa RSO wa Mtwara, (Wazee wa Kisukuma hawazeekagi), si macho ya Dingi yakaispot, kufunga kufungua kabinti kakajiriwa Idara, mara paap!, kidume hicho!, kikapewa jina la ..., Dingi akahamishiwa Mwanza, huko ikamkuta ile soo ya 1976!, baada ya soo kuisha 1980 si dingi akatia timu kumdai mwanae!, ndipo akaambiwa hao ni wa Makua, ni matrilinier, watoto ni mali ya Mama na wanatumia jina ubini wa kikeni!. Hata che Nkapa ni ubini wa kikeni!. Katika vitu vingumu Msukuma kuelewa ni damu yake kuibiwa na Mwanamke!. Hivyo mimi tuna undugu na kina Shaba, huyo dogo wetu tutamsaka kumkomboa tumrudishe Usukumani!.
P
oooh kumbe!!
 
Ila Dingi alikuwa mtu wa kilaji sana na kwenye taaluma yake alikuwa vizuri mno.
Mkuu kwani kilaji ni vibaya kama alikua anakunywa baada ya kazi na kama haikuathili utendaji wake wa kazi...

Maana pombe huleta uzembe na uvivu Kwa watu wengi ambao wana over drink

Huwa napendaga sana wanataaluma walio someaga marekani Huwa wanakuaga very unique na special sana ki utendaji...

RIP
Prof.
 
Yes they are brothers, na wana Dada yao kifaa kweli kweli!, Mzee Mayalla akiwa RSO wa Mtwara, (Wazee wa Kisukuma hawazeekagi), si macho ya Dingi yakaispot, kufunga kufungua kabinti kakajiriwa Idara, mara paap!, kidume hicho!, kikapewa jina la ..., Dingi akahamishiwa Mwanza, huko ikamkuta ile soo ya 1976!, baada ya soo kuisha 1980 si dingi akatia timu kumdai mwanae!, ndipo akaambiwa hao ni wa Makua, ni matrilinier, watoto ni mali ya Mama na wanatumia jina ubini wa kikeni!. Hata che Nkapa ni ubini wa kikeni!. Katika vitu vingumu Msukuma kuelewa ni damu yake kuibiwa na Mwanamke!. Hivyo mimi tuna undugu na kina Shaba, huyo dogo wetu tutamsaka kumkomboa tumrudishe Usukumani!.
P
Duh! Hapo unaweza kukuta Mtoto Mtu anasoma historia ya Mama yake
 
Mkuu kwani kilaji ni vibaya kama alikua anakunywa baada ya kazi na kama haikuathili utendaji wake wa kazi...

Maana pombe huleta uzembe na uvivu Kwa watu wengi ambao wana over drink

Huwa napendaga sana wanataaluma walio someaga marekani Huwa wanakuaga very unique na special sana ki utendaji...

RIP
Prof.
Hivi umenisoma vizuri au umekurupuka tu. Ndiyo maana mnafeli mitihani kiboya.
 
By that time, tulikuwa na pathologist wawili tuu!. Sisi tuliosoma Tambaza tulikuwa tunamuona sana mitaa ya around Muhimbili, alikuwa ni kichwa sana!,
Taarifa ya Familia
Wanajumuia,

Familia ya Professa James Shaba inasikitika kuwatangazia kuwa Mzee wetu Professa James Shaba amemaliza safari yake hapa duniani. Mzee wetu ametutoka jioni ya leo siku ya Jumanne tarehe 5 December 2023, muda wa saa 2:30 usiku saa za Marekani (Central Eastern Time) Chicago. Habari zaidi za maandalizi ya mazishi zitatumwa baadaye. Mzee alikuwa akiuguzwa na watoto wake Stella na Anale Shaba kwa muda mrefu. Mungu aipumzishe roho ya mzee wetu mahali pema peponi.

Kwa mtakawatoweza kuawasiliana au kwenda kuwaona Stella na Anale Shaba (Watoto wa Marehemu) na Wana Chicago wenzetu mnaweza kusailiana nao kwa kupitia namba ya simu hapo chini au kwenda kuwaona nyumbani kwao:

Anale Shaba: (847) 525-9224
4151 N. Richmond
Chicago, IL 60618

“Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.”

NB: Uongozi wa TCA tutaendelea kutoa updates.

ila pia...

RIP Prof. James Shaba.
P
Nasikia alikua akisema 'wanasema ni ajali ya gari!!..nimejitoa Mara tatu kwenye mwili wake'
 
Back
Top Bottom