inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Alisema yeye shaba kajitoa Mara kibao kwenye mwili wa marehemuIvi alisema kifo cha marehumu ni ajali au mvua ya risasi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisema yeye shaba kajitoa Mara kibao kwenye mwili wa marehemuIvi alisema kifo cha marehumu ni ajali au mvua ya risasi?
shaba ranksAlisema yeye shaba kajitoa Mara kibao kwenye mwili wa marehemu
Sawa mtoaa taarifa kwenye Hilo bichwa lako umejaza ujuaji mwingi by the way pita ivi na Mimi nipite vile.....Hivi umenisoma vizuri au umekurupuka tu. Ndiyo maana mnafeli mitihani kiboya.
Kiherehere chako tu. Ndiyo maana una makalio makubwaaaa na ndiyo unayotumia kufikiri bwege wewe.Sawa mtoaa taarifa kwenye Hilo bichwa lako umejaza ujuaji mwingi by the way pita ivi na Mimi nipite vile.....
NB:
Mods nikijibishana na Huyu mjamaa nipigwe BAN ya LIFE hapa Jukwaani
Kalagabao
[emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577]
10 years kwa tabia hiyo ya ugonjwa ya mtu kuhara na kitapika Hadi kufa,watu pwani wangeisha wote...nasikia maji ya dafu yaliokoa jahaziDr Kasambala ni mjomba wangu toka kijijini.
1975 tumefanya kazi wote zahanati moja kati kati ya Jiji, Dr Kasambala akitokea Muhimbili.
Alikiwa mtu wa whiskey kwa sana.
Miaka hiyo uliingia ugonjwa wa Alto Cholera, ndugu yake na Cholera. Ugonjwa ulikuwa haujawahi kutokea Tanzania, na ulikuwa unatisha.
Mtu anaharisha na kutapika mfululizo hadi anakufa kwa kukosa maji mwilini.
Tukiwa tea break tukamuuliza, ugonjwa huu utaisha lini?
Dr Kasambala alijibu simply, "it is here to stay".
Ugonjwa huu ulileta tafaruki nchini hadi bungeni.
Kuna mbunge toka mikoa ya mwambao aliuliza kwa waziri wa Afya, wakati huo akiwa ni Dr Leader Stirling, mzungu toka Uingereza, "ugonjwa huu mbona uko mikoa ya pwani kwa wingi, na serikali haifanyi kitu"
Dr Stirling alimjibu, "ugonjwa huu unatokana na binadamu kula vyakula vilivyo changanyika na kinyesi chake mwenyewe"
Ikatokea valangati, watu wa pwani wakaona wametukanwa na mzungu, ati wanakula kinyesi.
Joto lilikuwa kubwa hadi Dr Stirling alijiuzulu.
Lakini kiukweli Dr Stirling alikuwa sahihi.
Watu wengi wa pwani walikuwa wanawaosha maiti wao waliokufa kwa cholera kwa mikono mitupu.
Vidudu vya echoli vikaingia kwenye kucha na mikono hivyo wakati wa kula mlipuko wa ugonjwa uliendelea.
Na walikufa watu wengi hadi elimu ya kutumia madawa kuwaosha wahanga ilipoanza kuenea, na ugonjwa kupungua.
That was in the 70s to 80s.
By that time mimi nilikuwa Standard Four. Nilikuwa bado mvulana mbichi. Sasa nimekuwa babu nashinda na wajukuu zangu hapa nyumbani.By that time, tulikuwa na pathologist wawili tuu!. Sisi tuliosoma Tambaza tulikuwa tunamuona sana mitaa ya around Muhimbili, alikuwa ni kichwa sana!,
Taarifa ya Familia
Wanajumuia,
Familia ya Professa James Shaba inasikitika kuwatangazia kuwa Mzee wetu Professa James Shaba amemaliza safari yake hapa duniani. Mzee wetu ametutoka jioni ya leo siku ya Jumanne tarehe 5 December 2023, muda wa saa 2:30 usiku saa za Marekani (Central Eastern Time) Chicago. Habari zaidi za maandalizi ya mazishi zitatumwa baadaye. Mzee alikuwa akiuguzwa na watoto wake Stella na Anale Shaba kwa muda mrefu. Mungu aipumzishe roho ya mzee wetu mahali pema peponi.
Kwa mtakawatoweza kuawasiliana au kwenda kuwaona Stella na Anale Shaba (Watoto wa Marehemu) na Wana Chicago wenzetu mnaweza kusailiana nao kwa kupitia namba ya simu hapo chini au kwenda kuwaona nyumbani kwao:
Anale Shaba: (847) 525-9224
4151 N. Richmond
Chicago, IL 60618
“Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.”
NB: Uongozi wa TCA tutaendelea kutoa updates.
ila pia...
RIP Prof. James Shaba.
P
Na mimi nimejiuliza swali hili.Duh huyu mzee inaonekana alikuwa mlevi tokea miaka ya 70 huko tena wa pombe kali sana maana anasemwa waziwazi. Najiuliza ikawaje aishi hadi leo 2020s. Kwa jinsi anavyosifiwa humu kwa kilaji basi alikuwa analewa kila siku tena chakariiiii...Najiuliza bado aliwezaje kudumu hivyo???
Na alikuwa ni Best katika East Africa yote !Usipende kuita watu walevi tumia neno wanywaji angekuwa mlevi angemfanyia postmortem waziri mkuu baada yakifo chake
Asante mzee wangu , kuna kitu umenipa katika research yangu na ripoti yangu kuhusu jambo fulani huku Afya .Dr Kasambala ni mjomba wangu toka kijijini.
1975 tumefanya kazi wote zahanati moja kati kati ya Jiji, Dr Kasambala akitokea Muhimbili.
Alikiwa mtu wa whiskey kwa sana.
Miaka hiyo uliingia ugonjwa wa Alto Cholera, ndugu yake na Cholera. Ugonjwa ulikuwa haujawahi kutokea Tanzania, na ulikuwa unatisha.
Mtu anaharisha na kutapika mfululizo hadi anakufa kwa kukosa maji mwilini.
Tukiwa tea break tukamuuliza, ugonjwa huu utaisha lini?
Dr Kasambala alijibu simply, "it is here to stay".
Ugonjwa huu ulileta tafaruki nchini hadi bungeni.
Kuna mbunge toka mikoa ya mwambao aliuliza kwa waziri wa Afya, wakati huo akiwa ni Dr Leader Stirling, mzungu toka Uingereza, "ugonjwa huu mbona uko mikoa ya pwani kwa wingi, na serikali haifanyi kitu"
Dr Stirling alimjibu, "ugonjwa huu unatokana na binadamu kula vyakula vilivyo changanyika na kinyesi chake mwenyewe"
Ikatokea valangati, watu wa pwani wakaona wametukanwa na mzungu, ati wanakula kinyesi.
Joto lilikuwa kubwa hadi Dr Stirling alijiuzulu.
Lakini kiukweli Dr Stirling alikuwa sahihi.
Watu wengi wa pwani walikuwa wanawaosha maiti wao waliokufa kwa cholera kwa mikono mitupu.
Vidudu vya echoli vikaingia kwenye kucha na mikono hivyo wakati wa kula mlipuko wa ugonjwa uliendelea.
Na walikufa watu wengi hadi elimu ya kutumia madawa kuwaosha wahanga ilipoanza kuenea, na ugonjwa kupungua.
That was in the 70s to 80s.
Duh!Mkuu nilisha andika kitabu toka 2005, ila sijakitangaza sana kwa vile kinagusa maisha ya watu ambao bado wako hai.
Watu wanafikiri ufisadi umeanza sasa, ulikuwepo kitambo.
Asante.Rashid Mfaume Kawawa alikuwa waziri mkuu wa mwisho wa Tanganyika January 1962 mpk 9 December 1962.
Kuanzia 10 December 1962 mpk February 1972 nafasi ya waziri mkuu ilifutwa.
Mwaka 1972 February nafasi ya waziri mkuu ilirejeshwa na Rashid Mfaume Kawawa akawa waziri mkuu wa kwanza wa Tanzania mpk mwaka 1977.
Kawawa alifuatiwa na Sokoine
Alipokuwa akilewa alitaka kutoa siri ya kifo cha sokoine, risasi kwenye paji la uso, wanakitengo wakahamishia maisha yake USAIlitokea nini akaamua kuhamia USA?
Aisee!Alikuwa kichwa my foot!
Hakuchangia kukuza medani ya afya ndio maana wanapozeeka wanakimbia kutibiwa na kufia nje.
Angekuwa kichwa angefanya indelible good for his profession, for his country.
Always drunk like a skunk and smelling like a liqour still.
No, actually he wasn't. Hardly 50 years by the time!Sisi tuko wadogo miaka ya 1980s Professor Shaba alikuwa mzee tayari.
Waziri mkuu wa kwanza ni nani? tupate elimu mkuuSokoine siyo waziri mkuu wa kwanza wa Tanzania.
50 years by 1984 kwa life expectancy ya Tanzania ni mzee.No, actually he wasn't. Hardly 50 years by the time!
Atakuwa baadae alipunguza, la sivyo lile ini lisingehimiri muda wote huo. Kwenye ile picha inaonekana hata alikuwa kaongezeka uzito, tofauti na alivyokuwa Muhimbili.
Nasikia alikua akisema 'wanasema ni ajali ya gari!!..nimejitoa Mara tatu kwenye mwili wake'
Mi sijaelewa kitu.Hii code sikuwa nimeelewa mwanzoni[emoji16][emoji16]