and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Prof alifanikiwa Kujenga hapa Tanzania? Au ndo tusubiri fainali atakapozikwa?Mdogo George.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prof alifanikiwa Kujenga hapa Tanzania? Au ndo tusubiri fainali atakapozikwa?Mdogo George.
P
Mkuu wewe kama mimi, hususan kwa kile kilaji alichokuwa anapiga miaka ile.Kumbe huyu mwamba alikuwa hai mimi nilijua alishavuta kitambo
Tuliosoma Cuba tumeshaunganisha dots: ila pia, alikuwa anapiga kulauli ile mbaya!Hebu endeleza story hapa
tulikuwa tunamuona sana mitaa ya around Muhimbili, alikuwa ni kichwa sana!,
Nyumba ya kupanga ukiishi?Mkuu Lole, Lole Gwakisa, thanks for this, umenikumbusha mbali, Capt. Mazula tulikuwa tunaishi jirani yetu pale Drive In flats, Mafletini!.
P
Alikuwa anaishi Ocean Road na alipigwa risasi na askari hukohuko wakati anarudi nyumbani kwakwe.Tulikuwa tunapata naye kinywaji pale IFM canteen, alipapenda sana
RIP Shaba
Hakutaka tu kusema; kwani maeneo ya Tambaza karibu zaidi ni Muhimbili, au Palm Beach?Ila pia nini ?
NYERERE.Sokoine siyo waziri mkuu wa kwanza wa Tanzania.
Kabisa !RIP Prof James Shaba. Alikuwa mzalendo wa kweli na mwanataaluma makini.
Prof wa Kwanza wa Pathology katika East and Central Africa.
Dr Kasambala ni mjomba wangu toka kijijini.Alikuwepo pia dr sijui Prof yule kssambala naye alikuwa vzr na alikuwa mtu wa kinywaji pia
Alikuwa anaishi upanga pia
Ova
atakuja mtu atasema aligoma kutoka ktk nyumba ya SerikaliProf alifanikiwa Kujenga hapa Tanzania? Au ndo tusubiri fainali atakapozikwa?
Tofauti kidogo na wewe, katika "kujuwa", taarifa hii imenifanya nami nidhani kuwa alisha ondoka, kumbe alikuwa yungali hai!Kumbe huyu mwamba alikuwa hai mimi nilijua alishavuta kitambo
Alisema ukweli, lakini ujinga ukatawala na ikalazimu ajiuzuru kwa kusema ukweli!Ikatokea valangati, watu wa pwani wakaona wametukanwa ati wanakula kinyesi.
Joto lilikuwa kubwa hadi Dr Stirling alijiuzulu.
Thank old person, a very interesting story that shows where we came fromDr Kasambala ni mjomba wangu toka kijijini.
1975 tumefanya kazi wote zahanati moja kati kati ya Jiji, Dr Kasambala akitokea Muhimbili.
Alikiwa mtu wa whiskey kwa sana.
Miaja hiyo uliingia ugonjwa wa Alto Cholera, ndugu yake na Cholera. Ugonjwa ulikuwa haujawahi kutokea Tanzania.
Tukiwa tea break tukamuuliza, ugonjwa huu utaisha lini?
Dr Kasambala alijibu simply, "it is here to stay".
Ugonjwa huu ulileta tafaruki nchini hadi bungeni.
Kuna mbunge toka mikoa ya mwambso aliuliza kwa waziri wa Afya, wakati huo ni Dr Leader Stirling, "ugonjwa huu mbona uko mikoa ya pwani kwa wingi, na serikali haifanyi kitu"
Dr Stirling alimjibu, "ugonjwa huu unatokana na binadamu kula vyakula vilivyo changanyika na kinyesi chake mwenyewe"
Ikatokea valangati, watu wa pwani wakaona wametukanwa ati wanakula kinyesi.
Joto lilikuwa kubwa hadi Dr Stirling alijiuzulu.
Lakini kiukweli Dr Stirling alikuwa sahihi.Watu wengi wa pwani walikuwa wanawaosha maiti wao waliokufa kwa cholera kwa mikono mitupu.
Vidudu vya echoli vikaingia kwenye kucha na mikono hivyo wakati wa kula mlipuko wa ugonjwa uliendelea.
Na walikufa watu wengi hadi elimu ya kutumia madawa kuwaosha wahanga ilipoanza kuenea, na ugonjwa kupungua.
That was in 1975.
Jishangae mwenyewe kwanza.Habari leo ni wapumbavu wa kiwango cha lami
Kwani wewe ulidhani nani?Sokoine siyo waziri mkuu wa kwanza wa Tanzania.