Professor Jeffrey Sachs: Marekani inapigana vita vya Netanyahu

Professor Jeffrey Sachs: Marekani inapigana vita vya Netanyahu

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Professor Jeffrey Sachs ni mtu anaeheshimika Sana Marekani..

Serikali ya Marekani imejaa wanafunzi wake...juzi amesema Washington imejaa wanafunzi wangu waliofeli 😃..
The most interesting part ni kuwa interview yake aliyomponda sana Netanyahu akihojiwa na Republican favourite Carlson Tucker..imekuwa gumzo zaidi baada ya Rais mtarajiwa wa Marekani Donald Trump kushare pictures ya hiyo Interview kwenye social media.. inasemaekana kitendo hiko kimemkasirisha Sana Netanyahu kiasi ame cancel kuhudhuria sherehe za kumuapisha Donald Trump..

Hata hivyo Donald Trump anatazamiwa kushindwa kabisa kupambana na '"The powers Israel Lobby" maarufu kama AIPAC na huenda akaendeleza Sera zile zile za "Israel has the right to defend itself" hata kama wanafanya offensive operations na sio defence......

Coming few months zinasubiriwa Kwa hamu kuona Trump ataenda vipi...kuhusu Ukraine na Gaza ambako kote kuna vita ambayo inaleta "biashara kubwa Sana Kwa mabepari na wawekezaji" wakubwa ambao wana fund karibu bunge lote...huku wananchi Wengi wakianza kuuliza maswali..

Very famous film director Oliver' Stone aliwaita wabunge wa Marekani..wote kuwa ni kama "mbwa ' Kwa kitendo Chao cha kushangilia hotuba ya Netanyahu..

Watu very influential wanaanza uliza maswali magumu...ukiacha professa Sachs...Kuna Myahudi maarufu sana anaitwa Norman Finkelstein nae anapinga Sera za Netanyahu na yuko vocal sana...

Mwingine ni Professor John Mearsherimer...huyu ni msomi maarufu sana alieandika vitabu vya kuheshimika mwenye wanafunzi wengi serikali ya Marekani.....halafu kuna Scott Ritter aliekuwa anaongoza kukagua silaha za maangamizi Iraq huyu amefikia kusema Marekani ni kama mwanamke Malaya Kwa Israel.. 😃....

Asilimia kubwa sasa hivi ya Wamarekani wanaamini wanatoa hela nyingi Sana Kwa Israel na Ukraine bila sababu za maana...

Hata janga la Moto huko California utaona comments nyingi zina kejeli serikali..."send more bilions to Ukraine '. Au "Ask Israel if they are ok or they need another billions...'"..

Inaaminika kuwa hata Trump moyoni hataki vita popote iwe Gaza au Ukraine na hataki pesa za Wamarekani zipelekwe huko but "Hana ubavu wa kuzuia "Powerful Israel Lobby"..

Rais alie wahi kuwaambia wayahudi wa Marekani wajiandikishe kama raia wa kigeni na kujaribu kukataa "maelekezo ya CIA" kuhusu "false flag" za kuua raia wa Marekani...John Kennedy aliishiwa kuuwawa na hadi Leo hakuna Rais aliewakatalia "powerful Zionists" what they want...tusubiri tuone
 
Professor Jeffrey Sachs ni mtu anaeheshimika Sana Marekani..
Serikali ya Marekani imejaa wanafunzi wake...juzi amesema Washington imejaa wanafunzi wangu waliofeli 😃..
The most interesting part ni kuwa interview yake aliyomponda sana Netanyahu akihojiwa na Republican favourite Carlson Tucker..imekuwa gumzo zaidi baada ya Rais mtarajiwa wa Marekani Donald Trump kushare pictures ya hiyo Interview kwenye social media.. inasemaekana kitendo hiko kimemkasirisha Sana Netanyahu kiasi ame cancel kuhudhuria sherehe za kumuapisha Donald Trump...

Hata hivyo Donald Trump anatazamiwa kushindwa kabisa kupambana na '"The powers Israel Lobby" maarufu kama AIPAC na huenda akaendeleza Sera zile zile za "Israel has the right to defend itself" hata kama wanafanya offensive operations na sio defence......

Coming few months zinasubiriwa Kwa hamu kuona Trump ataenda vipi...kuhusu Ukraine na Gaza ambako kote kuna vita ambayo inaleta "biashara kubwa Sana Kwa mabepari na wawekezaji" wakubwa ambao wana fund karibu bunge lote...huku wananchi Wengi wakianza kuuliza maswali..
Very famous film director Oliver' Stone aliwaita wabunge wa Marekani..wote kuwa ni kama "mbwa ' Kwa kitendo Chao cha kushangilia hotuba ya Netanyahu..
Watu very influential wanaanza uliza maswali magumu...ukiacha professa Sachs...Kuna Myahudi maarufu sana anaitwa Norman Finkelstein nae anapinga Sera za Netanyahu na yuko vocal sana...
Mwingine ni Professor John Mearsherimer...huyu ni msomi maarufu sana alieandika vitabu vya kuheshimika mwenye wanafunzi wengi serikali ya Marekani.....halafu kuna Scott Ritter aliekuwa anaongoza kukagua silaha za maangamizi Iraq huyu amefikia kusema Marekani ni kama mwanamke Malaya Kwa Israel.. 😃....
.. asilimia kubwa sasa hivi ya Wamarekani wanaamini wanatoa hela nyingi Sana Kwa Israel na Ukraine bila sababu za maana...
Hata janga la Moto huko California utaona comments nyingi zina kejeli serikali..."send more bilions to Ukraine '. Au "Ask Israel if they are ok or they need another billions...'"..

Inaaminika kuwa hata Trump moyoni hataki vita popote iwe Gaza au Ukraine na hataki pesa za Wamarekani zipelekwe huko but "Hana ubavu wa kuzuia "Powerful Israel Lobby"..
Rais alie wahi kuwaambia wayahudi wa Marekani wajiandikishe kama raia wa kigeni na kujaribu kukataa "maelekezo ya CIA" kuhusu "false flag" za kuua raia wa Marekani...John Kennedy aliishiwa kuuwawa na hadi Leo hakuna Rais aliewakatalia "powerful Zionists" what they want...tusubiri tuone
Kwa kifupi sana Utawala wa Trump unaenda kuiparalyse Iran vibaya sana.
Trump anaenda kuhuisha agano kati ya Israel na US ambalo limelegalega sana kipindi cha Biden. US na Israel wanaenda kushikamana kuliko kipindi cha Biden. Migaidi ya M.E itapokea kipigo kibaya sana toka US ya Trump.
Kwa kifupi ile heshima ya US kijeshi itarudi vizuri sana chini ya utawala wa Trump.
Kuhusu Ukraine sijui.
 
Kwa kifupi sana Utawala wa Trump unaenda kuiparalyse Iran vibaya sana.
Trump anaenda kuhuisha agano kati ya Israel na US ambalo limelegalega sana kipindi cha Biden. US na Israel wanaenda kushikamana kuliko kipindi cha Biden. Migaidi ya M.E itapokea kipigo kibaya sana toka US ya Trump.
Kwa kifupi ile heshima ya US kijeshi itarudi vizuri sana chini ya utawala wa Trump.
Kuhusu Ukraine sijui.
Badala ya kuchangia kiushabiki kwanza pitia hizo link..usikilize uelewe..
 
Kwa kifupi sana Utawala wa Trump unaenda kuiparalyse Iran vibaya sana.
Trump anaenda kuhuisha agano kati ya Israel na US ambalo limelegalega sana kipindi cha Biden. US na Israel wanaenda kushikamana kuliko kipindi cha Biden. Migaidi ya M.E itapokea kipigo kibaya sana toka US ya Trump.
Kwa kifupi ile heshima ya US kijeshi itarudi vizuri sana chini ya utawala wa Trump.
Kuhusu Ukraine sijui.
Badala ya kuchangia kiushabiki kwanza pitia hizo link..usikilize uelewe
 
Professor Jeffrey Sachs ni mtu anaeheshimika Sana Marekani..

Serikali ya Marekani imejaa wanafunzi wake...juzi amesema Washington imejaa wanafunzi wangu waliofeli 😃..
The most interesting part ni kuwa interview yake aliyomponda sana Netanyahu akihojiwa na Republican favourite Carlson Tucker..imekuwa gumzo zaidi baada ya Rais mtarajiwa wa Marekani Donald Trump kushare pictures ya hiyo Interview kwenye social media.. inasemaekana kitendo hiko kimemkasirisha Sana Netanyahu kiasi ame cancel kuhudhuria sherehe za kumuapisha Donald Trump..

Hata hivyo Donald Trump anatazamiwa kushindwa kabisa kupambana na '"The powers Israel Lobby" maarufu kama AIPAC na huenda akaendeleza Sera zile zile za "Israel has the right to defend itself" hata kama wanafanya offensive operations na sio defence......

Coming few months zinasubiriwa Kwa hamu kuona Trump ataenda vipi...kuhusu Ukraine na Gaza ambako kote kuna vita ambayo inaleta "biashara kubwa Sana Kwa mabepari na wawekezaji" wakubwa ambao wana fund karibu bunge lote...huku wananchi Wengi wakianza kuuliza maswali..

Very famous film director Oliver' Stone aliwaita wabunge wa Marekani..wote kuwa ni kama "mbwa ' Kwa kitendo Chao cha kushangilia hotuba ya Netanyahu..

Watu very influential wanaanza uliza maswali magumu...ukiacha professa Sachs...Kuna Myahudi maarufu sana anaitwa Norman Finkelstein nae anapinga Sera za Netanyahu na yuko vocal sana...

Mwingine ni Professor John Mearsherimer...huyu ni msomi maarufu sana alieandika vitabu vya kuheshimika mwenye wanafunzi wengi serikali ya Marekani.....halafu kuna Scott Ritter aliekuwa anaongoza kukagua silaha za maangamizi Iraq huyu amefikia kusema Marekani ni kama mwanamke Malaya Kwa Israel.. 😃....

Asilimia kubwa sasa hivi ya Wamarekani wanaamini wanatoa hela nyingi Sana Kwa Israel na Ukraine bila sababu za maana...

Hata janga la Moto huko California utaona comments nyingi zina kejeli serikali..."send more bilions to Ukraine '. Au "Ask Israel if they are ok or they need another billions...'"..

Inaaminika kuwa hata Trump moyoni hataki vita popote iwe Gaza au Ukraine na hataki pesa za Wamarekani zipelekwe huko but "Hana ubavu wa kuzuia "Powerful Israel Lobby"..

Rais alie wahi kuwaambia wayahudi wa Marekani wajiandikishe kama raia wa kigeni na kujaribu kukataa "maelekezo ya CIA" kuhusu "false flag" za kuua raia wa Marekani...John Kennedy aliishiwa kuuwawa na hadi Leo hakuna Rais aliewakatalia "powerful Zionists" what they want...tusubiri tuone
Ina maana hao Israel wanaiendesha Marekani wanavyotaka ?....basi tuiite Israel superpower na sio Marekani.
 
Ina maana hao Israel wanaiendesha Marekani wanavyotaka ?....basi tuiite Israel superpower na sio Marekani.
Kwa jinsi taifa la US lilivyoanzishwa na lilivyoendelea na kwa kuzingatia kazi ya taifa hilo duniani si ajabu hata kidogo kuwa very strong supporter wa Israel.
Japo kuna wakati Israel haitoungwa mkono tena na US ila wakati huo bado.
 
Ina maana hao Israel wanaiendesha Marekani wanavyotaka ?....basi tuiite Israel superpower na sio Marekani.
Nimeweka link zipitie..kitu kimoja kuhusu USA naweza sema ndo most corrupt kuliko nchi zote dunian
Tena rushwa Yao ni kama imehalalalishwa...wenyewe wanaita Lobbies and political donors...

Mfano mmoja tafuta mbunge mmoja anaitwa Jammal Burrows....alijaribu kuikosoa Israel ndani ya Bunge...wale AIPAC wakaweka record ya kuchngia kampeni ya mpinzani wake hadi akaondolewa...dollars milioni 28 wakazitumia kushughulikia mbunge mmoja tu...pata picha wakati bajeti yao official Kwa wabunge wote ilikuwa dollars 150 ..tu..hiyo ni Kwa pesa official sio za "behind the scene"...
Kuelewa nguvu ya Israel inabidi uchimbe kitu kinaitwa World Jewish Congress...na history yake zamani zaidi ya miaka 100 iliyopita..
 
Professor Jeffrey Sachs ni mtu anaeheshimika Sana Marekani..

Serikali ya Marekani imejaa wanafunzi wake...juzi amesema Washington imejaa wanafunzi wangu waliofeli 😃..
The most interesting part ni kuwa interview yake aliyomponda sana Netanyahu akihojiwa na Republican favourite Carlson Tucker..imekuwa gumzo zaidi baada ya Rais mtarajiwa wa Marekani Donald Trump kushare pictures ya hiyo Interview kwenye social media.. inasemaekana kitendo hiko kimemkasirisha Sana Netanyahu kiasi ame cancel kuhudhuria sherehe za kumuapisha Donald Trump..

Hata hivyo Donald Trump anatazamiwa kushindwa kabisa kupambana na '"The powers Israel Lobby" maarufu kama AIPAC na huenda akaendeleza Sera zile zile za "Israel has the right to defend itself" hata kama wanafanya offensive operations na sio defence......

Coming few months zinasubiriwa Kwa hamu kuona Trump ataenda vipi...kuhusu Ukraine na Gaza ambako kote kuna vita ambayo inaleta "biashara kubwa Sana Kwa mabepari na wawekezaji" wakubwa ambao wana fund karibu bunge lote...huku wananchi Wengi wakianza kuuliza maswali..

Very famous film director Oliver' Stone aliwaita wabunge wa Marekani..wote kuwa ni kama "mbwa ' Kwa kitendo Chao cha kushangilia hotuba ya Netanyahu..

Watu very influential wanaanza uliza maswali magumu...ukiacha professa Sachs...Kuna Myahudi maarufu sana anaitwa Norman Finkelstein nae anapinga Sera za Netanyahu na yuko vocal sana...

Mwingine ni Professor John Mearsherimer...huyu ni msomi maarufu sana alieandika vitabu vya kuheshimika mwenye wanafunzi wengi serikali ya Marekani.....halafu kuna Scott Ritter aliekuwa anaongoza kukagua silaha za maangamizi Iraq huyu amefikia kusema Marekani ni kama mwanamke Malaya Kwa Israel.. 😃....

Asilimia kubwa sasa hivi ya Wamarekani wanaamini wanatoa hela nyingi Sana Kwa Israel na Ukraine bila sababu za maana...

Hata janga la Moto huko California utaona comments nyingi zina kejeli serikali..."send more bilions to Ukraine '. Au "Ask Israel if they are ok or they need another billions...'"..

Inaaminika kuwa hata Trump moyoni hataki vita popote iwe Gaza au Ukraine na hataki pesa za Wamarekani zipelekwe huko but "Hana ubavu wa kuzuia "Powerful Israel Lobby"..

Rais alie wahi kuwaambia wayahudi wa Marekani wajiandikishe kama raia wa kigeni na kujaribu kukataa "maelekezo ya CIA" kuhusu "false flag" za kuua raia wa Marekani...John Kennedy aliishiwa kuuwawa na hadi Leo hakuna Rais aliewakatalia "powerful Zionists" what they want...tusubiri tuone
Israel haipambani tu na Islamists wakiongozwa na Muslim brotherhood ambao wamepenyeza antisemitic agenda yao kwenye vyuo vikuu vya Marekani na Whitehouse, bali pia Israel inapambana na mfumo wa Kikomunists/Kisoshalisti. Mfumo huu una mizizi yake Urusi na Uchina. Hata hivyo kwa bahati mbaya unatekelezwa pia na baadhi ya vyama vya nchi za magharibi. Mfano Labour- UK, Democrat- USA, Uhispania, viongozi mmoja mmoja kama Justine Trudeau
Hivyo, tegemea kauli kama hizo toka watu kama Professor Jeffrey Sachs.
 
Professor Jeffrey Sachs ni mtu anaeheshimika Sana Marekani..

Serikali ya Marekani imejaa wanafunzi wake...juzi amesema Washington imejaa wanafunzi wangu waliofeli 😃..
The most interesting part ni kuwa interview yake aliyomponda sana Netanyahu akihojiwa na Republican favourite Carlson Tucker..imekuwa gumzo zaidi baada ya Rais mtarajiwa wa Marekani Donald Trump kushare pictures ya hiyo Interview kwenye social media.. inasemaekana kitendo hiko kimemkasirisha Sana Netanyahu kiasi ame cancel kuhudhuria sherehe za kumuapisha Donald Trump..

Hata hivyo Donald Trump anatazamiwa kushindwa kabisa kupambana na '"The powers Israel Lobby" maarufu kama AIPAC na huenda akaendeleza Sera zile zile za "Israel has the right to defend itself" hata kama wanafanya offensive operations na sio defence......

Coming few months zinasubiriwa Kwa hamu kuona Trump ataenda vipi...kuhusu Ukraine na Gaza ambako kote kuna vita ambayo inaleta "biashara kubwa Sana Kwa mabepari na wawekezaji" wakubwa ambao wana fund karibu bunge lote...huku wananchi Wengi wakianza kuuliza maswali..

Very famous film director Oliver' Stone aliwaita wabunge wa Marekani..wote kuwa ni kama "mbwa ' Kwa kitendo Chao cha kushangilia hotuba ya Netanyahu..

Watu very influential wanaanza uliza maswali magumu...ukiacha professa Sachs...Kuna Myahudi maarufu sana anaitwa Norman Finkelstein nae anapinga Sera za Netanyahu na yuko vocal sana...

Mwingine ni Professor John Mearsherimer...huyu ni msomi maarufu sana alieandika vitabu vya kuheshimika mwenye wanafunzi wengi serikali ya Marekani.....halafu kuna Scott Ritter aliekuwa anaongoza kukagua silaha za maangamizi Iraq huyu amefikia kusema Marekani ni kama mwanamke Malaya Kwa Israel.. 😃....

Asilimia kubwa sasa hivi ya Wamarekani wanaamini wanatoa hela nyingi Sana Kwa Israel na Ukraine bila sababu za maana...

Hata janga la Moto huko California utaona comments nyingi zina kejeli serikali..."send more bilions to Ukraine '. Au "Ask Israel if they are ok or they need another billions...'"..

Inaaminika kuwa hata Trump moyoni hataki vita popote iwe Gaza au Ukraine na hataki pesa za Wamarekani zipelekwe huko but "Hana ubavu wa kuzuia "Powerful Israel Lobby"..

Rais alie wahi kuwaambia wayahudi wa Marekani wajiandikishe kama raia wa kigeni na kujaribu kukataa "maelekezo ya CIA" kuhusu "false flag" za kuua raia wa Marekani...John Kennedy aliishiwa kuuwawa na hadi Leo hakuna Rais aliewakatalia "powerful Zionists" what they want...tusubiri tuone
Anachokifanya Netanyahu lipo kwenye mfumo. Yeye sio mwanzilishi bali muendelezaji. Unayakumbuka mauaji ya Sabra na Shatira? Yaliongozwa na Mwamba Ariel Sharon. Waarabu walimlaani vizazi na vizazi. Je, unamkumbuka Golder Mier? Ana tofauti na Netanyahu? Kwa taarifa yako, Trump anaweza kujifanya jeuri dhidi ya Israel kwa miaka minne tu, lakini Israel inatarajiwa kuwepo miaka zaidi ya milioni ijayo! Ushanfahamu!?
 
Back
Top Bottom