Endelea kuota na Support yako IRAN inalidwa na technology sio Mahaba ya Tramp au Netanyahu Wairan walishajikomboa akuna Wakuwazuiya!!Huo ndo ukweli mchungu sana kwa Palestine na Supporter wao hasa Iran wanaenda pata hasara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kuota na Support yako IRAN inalidwa na technology sio Mahaba ya Tramp au Netanyahu Wairan walishajikomboa akuna Wakuwazuiya!!Huo ndo ukweli mchungu sana kwa Palestine na Supporter wao hasa Iran wanaenda pata hasara.
Pole kobaaaz muda ukifika utaelewa vizuri tuIRAN Umejichanganya uyo Tramp ataigusa iyo Nchi Toka kuumua yule kamanda wa IRAN misukosuko aliopitia na Bado anajua Wairan Wanamuinda tena Awachokoze !!!!!
Chengine IRAN ana technology kubwa ya kisasa kwenye Makombora yao ambayo Marekani awana inawatatiza!! Ukiacha mahaba yako kwa Israel!!!!
unajua Telaviv ilikuwa Ikipigwa na technology ya IRAN wameshindwa kuizuiya!! Alafu tena Wakamchokoze kama ndio Ndoto yako ata Netanyahu na Tramp wanaiyo ndoto akilini mwao!!!
lkn IRAN awezekani kwasasa Adi Wawajue Technology yao na watest wanaweza kweli mzibiti!!
ndio Wamchokoze kwasasa Chini ya Tramp kunauwezekano mkubwa kuundwa Taifa la Palestina tofauti na kile Tramp anakiongea kwenye MEDIA Wasomi wengi kwasasa Marekani wanaunga mkono Palestina iwe Taifa!!
kuendelea kuwauwa Wapalestina kwasasa kutaatalisha Usalama wa Marekani!!!! Washafanya Tasmini ali ni tete ndani yao Wenyewe!
Sasa kuimiliki Marekani ndio kumiliki na Iran !!!! Ndio MJUE kumbe Israel ndio Marekani ile mambo ya Vita siku 6 eti nani nanani haaa!!!! Warabu na Israel kuwashinda siku6!!!!!!Kwa maana hiyo wote tunakubaliana kuwa Israel ndio baba lao si ndio?
Sasa mbona kila siku mnamkosea heshima na kumfananisha na vinyago vya Iran
Muda uwo utafika lini miaka 40 sasa Jewish wanajifia apa Israel na akuna wa kuigusa Iran!!!!!Pole kobaaaz muda ukifika utaelewa vizuri tu