Professor Jeffrey Sachs: Marekani inapigana vita vya Netanyahu

Professor Jeffrey Sachs: Marekani inapigana vita vya Netanyahu

Msipende kurahisisha mambo magumu kirahisi hivyo, starlink zina miaka mitano tu, watu wamekuwa wanapigana vita kwa maelfu ya miaka kwa namna nyingi tu za mawasiliano.
Mkuu usipende ubishi usio kuwa na maana mkuu.
Mwanzoni mwa vita Urusi iliweza kuingilia mawasiliano ya jeshi la Ukrain ndo Eron musk akawaruhusu kutumia sataraiti zake kwa sababu hazidukuliwi kirahisi.
 
Huwezi helewa ila biblia kwa asilimia kubwa imeelezea historia ya wayahudi na Mungu wao (Yahweh) kile alichoongea kupitia kinywa cha yeremia ndo kimeshatimia kwamba wataenda ulaya kama watumwa na kurejea imetimia mwaka 1948
Mkuu wakristo wanao iamini hiyo Bible ni sehemu ndogo sana wa watu walioko duniani , wakristo ni robo tu ya watu wote walioko duniani.
Hapa duniani kila mtu akitaka aendeshe mambo kwa mujibu wa iman yao basi hii dunia haitakalika.
 
Mkuu wakristo wanao iamini hiyo Bible ni sehemu ndogo sana wa watu walioko duniani , wakristo ni robo tu ya watu wote walioko duniani.
Hapa duniani kila mtu akitaka aendeshe mambo kwa mujibu wa iman yao basi hii dunia haitakalika.
Hata usipoamini unahaki hiyo kwan umelazimishwa
Ila kilichoandikwa zaidi ya miaka 3000+ iliyopita kwenye biblia kimetimia
 
Hata usipoamini unahaki hiyo kwan umelazimishwa
Ila kilichoandikwa zaidi ya miaka 3000+ iliyopita kwenye biblia kimetimia
Acha ujinga dunia ina ongozwa na sheria za kimataifa haiongozwi kwa Sheria na maandiko ya kitabu chochote cha dini.
Kila mtu akitaka yaliyo kwenye kitabu chake cha dini yatimie hii dunia itakalika?
 
Kwa kifupi sana Utawala wa Trump unaenda kuiparalyse Iran vibaya sana.
Trump anaenda kuhuisha agano kati ya Israel na US ambalo limelegalega sana kipindi cha Biden. US na Israel wanaenda kushikamana kuliko kipindi cha Biden. Migaidi ya M.E itapokea kipigo kibaya sana toka US ya Trump.
Kwa kifupi ile heshima ya US kijeshi itarudi vizuri sana chini ya utawala wa Trump.
Kuhusu Ukraine sijui.
Shida ya US ni moja,kupenda sifa na kujua waliokua wanafanya karne ya 18 bado ni Yale Yale,ukiangalia China anapigana vita kimya kimya yeye anachoangalia atawezaje imarisha uchumi wake ndio maana US anatumia ubabe wa tariffs ilikumzuia.
US anawaza vita,Russia+China wanawaza uchumi.
US kuna shida nyingi sana ndio maana hadi Trump ameshinda sbb watu wanauana km kuku kule,hali yao ni mbaya sana
 
Acha ujinga dunia ina ongozwa na sheria za kimataifa haiongozwi kwa Sheria na maandiko ya kitabu chochote cha dini.
Kila mtu akitaka yaliyo kwenye kitabu chake cha dini yatimie hii dunia itakalika?
Hizo sheria wanatunga wanadamu walelwale walioandika biblia
Waislamu wanalazimisha jerusalem ni mji muhimu kwenye mafunuo yao ila unashaanga wakristo kuamini kwenye maandiko yao
 
Hizo sheria wanatunga wanadamu walelwale walioandika biblia
Waislamu wanalazimisha jerusalem ni mji muhimu kwenye mafunuo yao ila unashaanga wakristo kuamini kwenye maandiko yao
Israel ya sasa ipo na ilianzishwa kwa misingi ya kidunia na sio ya kidini ukisha litambua hilo hutoendelea na hizo ngonjera zako.
Ww kuamini hizo hadhithi kuhusu Israel ni haki yako kwa sababu hiyo ni haki yako ila ni makosa kuwalazimisha wengine waamini hizo hadhithi.
 
Nimewahi kusikia conspiracies nyingi sana za holocaust ya Wayahudi ila hii ya kwamba walitolewa kwenye nyumba zao kuwekwa kwenye concentrations camp ili kutafutiwa nchi yao inaweza kuwa ya kijinga zaidi kuwahi kuisikia.
Inawezekana mleta uzi anawachukia sana wayahudi, najaribu kusoma comments zake labda nitagundua sababu.
 
Professor Jeffrey Sachs ni mtu anaeheshimika Sana Marekani..

Serikali ya Marekani imejaa wanafunzi wake...juzi amesema Washington imejaa wanafunzi wangu waliofeli 😃..
The most interesting part ni kuwa interview yake aliyomponda sana Netanyahu akihojiwa na Republican favourite Carlson Tucker..imekuwa gumzo zaidi baada ya Rais mtarajiwa wa Marekani Donald Trump kushare pictures ya hiyo Interview kwenye social media.. inasemaekana kitendo hiko kimemkasirisha Sana Netanyahu kiasi ame cancel kuhudhuria sherehe za kumuapisha Donald Trump..

Hata hivyo Donald Trump anatazamiwa kushindwa kabisa kupambana na '"The powers Israel Lobby" maarufu kama AIPAC na huenda akaendeleza Sera zile zile za "Israel has the right to defend itself" hata kama wanafanya offensive operations na sio defence......

Coming few months zinasubiriwa Kwa hamu kuona Trump ataenda vipi...kuhusu Ukraine na Gaza ambako kote kuna vita ambayo inaleta "biashara kubwa Sana Kwa mabepari na wawekezaji" wakubwa ambao wana fund karibu bunge lote...huku wananchi Wengi wakianza kuuliza maswali..

Very famous film director Oliver' Stone aliwaita wabunge wa Marekani..wote kuwa ni kama "mbwa ' Kwa kitendo Chao cha kushangilia hotuba ya Netanyahu..

Watu very influential wanaanza uliza maswali magumu...ukiacha professa Sachs...Kuna Myahudi maarufu sana anaitwa Norman Finkelstein nae anapinga Sera za Netanyahu na yuko vocal sana...

Mwingine ni Professor John Mearsherimer...huyu ni msomi maarufu sana alieandika vitabu vya kuheshimika mwenye wanafunzi wengi serikali ya Marekani.....halafu kuna Scott Ritter aliekuwa anaongoza kukagua silaha za maangamizi Iraq huyu amefikia kusema Marekani ni kama mwanamke Malaya Kwa Israel.. 😃....

Asilimia kubwa sasa hivi ya Wamarekani wanaamini wanatoa hela nyingi Sana Kwa Israel na Ukraine bila sababu za maana...

Hata janga la Moto huko California utaona comments nyingi zina kejeli serikali..."send more bilions to Ukraine '. Au "Ask Israel if they are ok or they need another billions...'"..

Inaaminika kuwa hata Trump moyoni hataki vita popote iwe Gaza au Ukraine na hataki pesa za Wamarekani zipelekwe huko but "Hana ubavu wa kuzuia "Powerful Israel Lobby"..

Rais alie wahi kuwaambia wayahudi wa Marekani wajiandikishe kama raia wa kigeni na kujaribu kukataa "maelekezo ya CIA" kuhusu "false flag" za kuua raia wa Marekani...John Kennedy aliishiwa kuuwawa na hadi Leo hakuna Rais aliewakatalia "powerful Zionists" what they want...tusubiri tuone
Chuki zako tu
 
1. Si Kweli kwamba Israel na Palestina wana ugomvi miaka mingi bali Palestina ndio Waisrael wa Zamani (Israelites) na hawa wanaojiita leo wayahudi (Sio wote bali Ashkenaz) ni wavamizi wa hilo eneo. So hao wazungu walivyo kuja karne iliopita ndio walioanzisha Ugomvi wa sasa. Wayahudi ambao sio Wazungu kama sepharidic na Mizrahi pamoja na wapalestina, Lebanon, Syria, Jordan Dna zao ni sawa kwa kiasi kikubwa mno na makundi yote haya yanafanana Dna zao na Wayahudi walioishi kipindi cha Yesu wakati Ashkenazi Dna zao zinafanana na Wazungu wengine.

2. Hezbollah sio wapalestina wala hawana Mahusiano na Palestine, Hezbollah, Houth haya ni makundi ya Kishia yapo Supported na Iran, kuna Wapalestina wengi Lebanon ila hawa ni wakristo na Sunni waisilamu sio Shia.

3. Lebanon hawajuti kuwapokea wapalestina, Chama Cha Lebanon ambacho kipo against Palestine na kinasuport Israel kina wabunge wanne tu NI kama unamuongelea John cheyo Tanzania halafu useme anachorepresent ndio kikubwa zaidi Tanzania. Lebanon vyama vikubwa ni Hezbollah na wakristo wa Maronite na hawa wawili ni Allies wote wana support Palestine na wapo Against Israel.

4. Wayahudi waliondoka Palestina wengi walibaki middle East, Nchi zote hizo za Middle East kama Yemen, Iran, Iraq etc Kuna population za kiyahudi hawa kwa Ujumla wanaitwa Mizrahi jews, ama Jews Waarabu.

Then una sepharidic jews, ambao walienda Ulaya wakawa spain baadae fujo za spain wakaenda North Africa Nchi kama Morocco, Algeria, Tunisia etc.

Makundi yote hayo unayatrace toka makabila 12 YA Israel.

Then kuna Ashkenazi ambao ni wazungu pure, hawana trace toka kabila lolote la Israel kuna Tafiti nyingi mno Ashkenazi ni jews by conversion na sio jews wa kiasili hivyo hawana claim yoyote hapo Palestine. Kuanzia Dna zao kisayansi, culture yao mpaka in compability ya miwili yao haiwezi kuhimili hali ya hewa ya Middle East,

Nisaidie kitu; wale waliouliwa na Hitler ni Wayahudi au Wazungu?
 
Nisaidie kitu; wale waliouliwa na Hitler ni Wayahudi au Wazungu?
Ni wote wayahudi na wazungu, uyahudi kama Dini mtu yoyote anaweza kuwa myahudi, mwarabu, mchina, mzungu, mweusi etc ila Israelite ni yake makabila 12 YA kiyahudi ya mwanzo kabisa. Na Israelite anaweza akawa myahudi, Mkristo, Musilamu, Atheist etc.

So wayahudi wazungu asili yao ni Ulaya, wayahudi walioteswa na Hitler wengi ni Ashkenaz wanaweza wasiwe necessarily wajerumani ila ni wa Ukraine, Poland, Georgia, Russia etc.
 
Kila nchi ina sababu zake mahususi na muktadha wake wa kusaidiwa na Marekani, msaada wa Marekani kwa Tanzania hauwezi kufanana na msaada wa Marekani kwa Haiti, hili halipaswi kuwa jambo gumu sana kuelewa.

Pia hakuna pesa za walipa kodi wa Marekani zinazoteketea Ukraine. Msaada mkubwa unaoenda Ukraine ni silaha ambazo zinazalishwa na makampuni ya silaha ya Marekani. Serikali ya Marekani inayalipa pesa makampuni ya silaha ya Marekani yaliyoajiri Wamarekani na yanayolipa kodi Marekani.
Assume ni Tanzania, ROSTAM ana kiwanda cha Gesi, halafu Tanzania kila sehemu ina peleka misaada ya Gesi na kuweka hela kwenye mfuko wa ROSTAM usingepiga kelele? Issue ya silaha Marekani Majority hawataki, ni minority ndio zinawafaidisha, na hao ni wamarekani wenyewe ambao kodi zao zinatumika.
 
Assume ni Tanzania, ROSTAM ana kiwanda cha Gesi, halafu Tanzania kila sehemu ina peleka misaada ya Gesi na kuweka hela kwenye mfuko wa ROSTAM usingepiga kelele? Issue ya silaha Marekani Majority hawataki, ni minority ndio zinawafaidisha, na hao ni wamarekani wenyewe ambao kodi zao zinatumika.
Hili suala ni pana sana,
1.Makampuni ya silaha ya Marekani ni PLC, yanauza hisa katika masoko ya hisa ya Marekani, watu wengi wananunua hisa.
2.Msaada wa gesi ya kupikia, sio sawa na msaada wa silaha zinazohitajika katika vita , ni mambo mawili tofauti kabisa. Jifunze kitu kinaitwa security investment.
3.Tanzania ni masikini, Marekani ni nchi tajiri. Pesa ilizopeleka Ukraine au Israel ni peanuts kwa serikali ya Marekani.
4.Kura zote za maoni zinaonyesha Wamarekani wengi zaidi wanakubaliana na msaada wa Marekani kwa Ukraine.
 
Hili suala ni pana sana,
1.Makampuni ya silaha ya Marekani ni PLC, yanauza hisa katika masoko ya hisa ya Marekani, watu wengi wananunua hisa.
Kina nani wanamiliki hizo hisa? Blackrock, Vanguard, Morgan Stanley etc watu hao hao wanaoitwa deep state hela zinaingia mifukoni mwao,

Urusi anaruhusiwa kununua hizo Hisa? Bakhresa? Dangote?
2.Msaada wa gesi ya kupikia, sio sawa na msaada wa silaha zinazohitajika katika vita , ni mambo mawili tofauti kabisa.
Unelewa maana ya mfano? At the end hela zinaingia mifukoni mwa individuals na sio serikali, kwanini hela za wa lipa kodi wafaidika wawe ni individual?
3.Tanzania ni masikini, Marekani ni nchi tajiri. Pesa ilizopeleka Ukraine au Israel ni peanuts kwa serikali ya Marekani.
Yes hio Nchi Tajiri haina hela za kulipa waliokuwa na majanga California, $770 wamepewa wa husika, zipo wapi hela?


Utajiri wa Marekani upo kwenye kufaidisha mabilionea wake tu, ila siku zote masikini wa Marekani hathaminiwi.
4.Kura zote za maoni zinaonyesha Wamarekani wengi zaidi wanakubaliana na msaada wa Marekani kwa Ukraine.
Data za lini? Data za karibuni zote hazioneshi hivyo na Moja ya sababu Trump kushinda ni hio, ahadi yake ya kampuni kusitisha hio misaada.



 
Tupe reference na wewe unayejua hayo mambo kiundani sio ngonjera tu. Nilishawahi kusoma hapa hapa jf ya kwamba wayahudi wameuwawa Sana katika nchi za ulaya na sio ujerumani pekee
 
Fikiria Israel kama Mbwa, deep state ya Marekani kama mwenye mbwa, na Raisi wa Usa kama mfanyakazi wa mwenye mbwa.

So mwenye Mbwa ndio anaemlinda mbwa wake, yupo tayari hata kudhuru wafanyakazi wake ili mradi kazi anazomtuma mbwa wake ziende sawa.

Israel wanatumika ku distabilize Middle East so wana role wana play na sababu hio role yao wanalindwa.
Nakazia
 
Kina nani wanamiliki hizo hisa? Blackrock, Vanguard, Morgan Stanley etc watu hao hao wanaoitwa deep state hela zinaingia mifukoni mwao,

Urusi anaruhusiwa kununua hizo Hisa? Bakhresa? Dangote?

Unelewa maana ya mfano? At the end hela zinaingia mifukoni mwa individuals na sio serikali, kwanini hela za wa lipa kodi wafaidika wawe ni individual?
Ulitaka serikali ya Marekani iwe inazipataje silaha?
Serikali iwe inatengeneza yenyewe na sio makampuni binafsi ili pesa ziwe zinarudi serikalini??
Serikali ya Tanzania inaponunua silaha kwenye makampuni ya huko nje pesa za walipa kodi zinaenda wapi?
 
Ulitaka serikali ya Marekani iwe inazipataje silaha?
Serikali iwe inatengeneza yenyewe na sio makampuni binafsi ili pesa ziwe zinarudi serikalini??
Serikali ya Tanzania inaponunua silaha kwenye makampuni ya huko nje pesa za walipa kodi zinaenda wapi?
Waambie wamarekani mkuu sio mimi, hasa hasa Trump maana yeye ndio haelewi.
 
Jipeni moyo, Trump ni kama kitenesi, mtu yoyote anaye sema anaweza ku mpredict anadanganya.

1. Trump alikua na urafiki na Netanyahu ila Netanyahu akamsaliti, Biden alivyoshida cha kwanza alimpongeza Biden na kumchunia trump. Hii interview ya Trump mwaka 2021 wakati ana makesi yake

I liked Bibi. I still like Bibi. But I also like loyalty,” Trump told Axios in 2021, using a nickname for the Israeli PM. “The first person to congratulate Biden was Bibi. And not only did he congratulate him, he did it on tape,” Trump continued, adding: “I haven’t spoken to him since. F**k him.”



2. Trump
Ameshamwambia Netanyahu akiingia madarakani vita viwe vimeisha

Trump has publicly called on Israel to “finish up” the war. During a meeting with Netanyahu at the Republican’s Mar-a-Lago estate in October, then-candidate Trump reportedly told the Israeli premier that he wanted to see the conflict resolved by the time he takes office later this month.

Pia aliwaambia Hamas

The incoming president has also warned Hamas that there will be “all hell to pay in the Middle East” if the Palestinian militants do not free their remaining Israeli hostages before inauguration day.

Cha Ajabu watu wana translate haya kama Ana wasuport Israel kwenye Vita.

3. Nentanyahu hatashiriki kwenye Uapisho wa Trump, kwa maneno yake mwenyewe akikiambia chimbo cha habari cha Israel

Netanyahu will not attend Trump’s inauguration, an aide to the PM told the Times of Israel on Thursday, without commenting further.

4. Biden anaforce kusaini mikataba kibao kuisaidia Israel sasa hivi zaidi ya $8B zimesainiwa ingekua kweli Trump anakuja kuwasaidia kwa nguvu kuliko Biden why waharakishe sasa hivi?

5. Kauli ya Trump kwamba Los angels inaungua sababu Marekani inasaidia vita hali ya kuwa hawana hela za kukabiliana na majanga pia inaonesha akiingia madarakani anakata mirija.

Mkuu Hammaz The Boss hii video Trump ameishare mwenyewe kwenye social Media yake ya truth, na yeye anakubaliana na hichi, labda tu hio deep state yao ianze kuzingua.


Pole sana taraatibu utaanza kuelewa nini maana ya Trump kuimarisha agano lililolegalega kati ya US na Israel
Kama huna unazi kumpredict Trum ni rahisi tu misimamo yake inaeleweka ila ukishaweka unazi wa kiimani basi lazima kuwaza kwako kuwe tenge.
 
Kwa kifupi sana Utawala wa Trump unaenda kuiparalyse Iran vibaya sana.
Trump anaenda kuhuisha agano kati ya Israel na US ambalo limelegalega sana kipindi cha Biden. US na Israel wanaenda kushikamana kuliko kipindi cha Biden. Migaidi ya M.E itapokea kipigo kibaya sana toka US ya Trump.
Kwa kifupi ile heshima ya US kijeshi itarudi vizuri sana chini ya utawala wa Trump.
Kuhusu Ukraine sijui.
IRAN Umejichanganya uyo Tramp ataigusa iyo Nchi Toka kuumua yule kamanda wa IRAN misukosuko aliopitia na Bado anajua Wairan Wanamuinda tena Awachokoze !!!!!

Chengine IRAN ana technology kubwa ya kisasa kwenye Makombora yao ambayo Marekani awana inawatatiza!! Ukiacha mahaba yako kwa Israel!!!!

unajua Telaviv ilikuwa Ikipigwa na technology ya IRAN wameshindwa kuizuiya!! Alafu tena Wakamchokoze kama ndio Ndoto yako ata Netanyahu na Tramp wanaiyo ndoto akilini mwao!!!

lkn IRAN awezekani kwasasa Adi Wawajue Technology yao na watest wanaweza kweli mzibiti!!

ndio Wamchokoze kwasasa Chini ya Tramp kunauwezekano mkubwa kuundwa Taifa la Palestina tofauti na kile Tramp anakiongea kwenye MEDIA Wasomi wengi kwasasa Marekani wanaunga mkono Palestina iwe Taifa!!
kuendelea kuwauwa Wapalestina kwasasa kutaatalisha Usalama wa Marekani!!!! Washafanya Tasmini ali ni tete ndani yao Wenyewe!
 
Back
Top Bottom