and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Sera nzima ya mambo ya nje ya Marekani inatawaliwa na maslahi yake ya kijiografia na kiuchumi. Huo ndio ukweli.Marekani ina wanasayansi Wayahudi na si waisirael nyinyi mtu akisha kuwa myahudi basi ni muisrael?
Marekani ana isaport Israel kwa kila namna kwa sababu ya kuitumia kuivuruga na kudhibiti mashariki ya kati basi hakuna zaidi ya hilo.
Hizo hoja za wanasayansi hazina mashiko kwa sababu Marekani ina wanasayansi kutoka karibia kila asili hapa duniani .
Vipi na Ukrain nayo ina wanasayansi wangapi ndani ya Marekani mbona ndo inateketeza pesa za walipa kodi wa Marekani mara 5 ya Israel?
Au Misri na Pakistan wana wanasayansi wangapi nchini Marekani mbona kila mwaka anatoa mabilion ya dora kila mwaka kwa nchi hizo?
Mbona wasomi na wanasayansi wa kiajemi walio jazana Marekani hamuwaiti wairan?
Kwa nini Iran, Syria na Yemen zimetengwa na Marekani na washirika wake? Kwa nini Gaddafi na Saddam waliondolewa madarakani na nchi za Magharibi? Kwanza hawakuwa na uhusiano wowote na ukiukwaji wao wa haki za binadamu kama US ilivyosema ,sasa kwanini US ikawatoa kwa nguvu madarakani Libya , Iraq na sasa Syria?
Biden anajibu....
"Kama hakungekuwa na Israeli, Ameerika ingelazimika kubuni Israeli kulinda masilahi yake katika eneo hilo."
- Joe Biden
source: Biden says the U.S. would have to invent an Israel if it didn’t exist. Why?