Professor Jeffrey Sachs: Marekani inapigana vita vya Netanyahu

Professor Jeffrey Sachs: Marekani inapigana vita vya Netanyahu

Kwani hio Nchi kaipataje?

Jews walikuwepo Palestina hata kabla ya Ashkenazi kufika hapo Palestina na walikua na maeneo yao na wakristo na waisilamu wana maeneo yao wana exist kwa amani, wao ndio walioanzisha vita na kupora Ardhi za watu.

Lebanon hapo kuna Civil war muda mrefu su sababu ya Intervention ya Israel, mpaka Hezbollah wamekuwa founded sababu ni kuwa toa Israel kwenye Ardhi ya Lebanon.
WaIsrael mwaka 1948 walikubali Palestina igawanywe mataifa mawili nusu kwa nusu lakini Wapalesina wakihamasishwa na waarabu wengine wakakataa wakidai Palestina YOTE ni yao na hakuna kuigawa, Israel ikachukua nusu yake ikaweka kibindoni halafu ikaanza kujiimarisha na ma-settlers wakaanza kuchukua kidogo kidogo na hiyo nusu nyingine Wapalestina waliyogomea ambayo ilibaki kama haina mwenywe. Miaka ya 1960 Israel wakakubali tena kuwarudishia Wapalestina sehemu kubwa tu ya ardhi yao iliyochukuliwa tangu walipogomea kwa mara ya kwanza nusu yao lakini wapalestina tena bado wakakata wakasema wanataka nchi yote! Kilichotokea tangu hapo imebaki ni historia ya kusikitisha sana kwa vizazi vilivyofuata vya Palestina vilivyoponzwa na babu zao wenye akili ndogo walioshindwa kusoma alama za nyakati, na kinachogombaniwa zaidi eti ni hiyo Jerusalem!
 
Why ni Apple na Muwa?

Mzaramo (mweusi)
Ashkenazi (mzungu)

Wote sio native wa hilo eneo, wote wana dini ambayo native wake ni Middle East ni Apple to Apple Comparison.

Na sio ngano bali ni ukweli ambao
1. Intellectual wote wa KI Ashkenazi wanakubali kule sio kwao kina Chomsky na wengineo

2. Tafiti za Sayansi zote kuanzia Havard na vyuo mbalimbali Duniani.

Wanaoclaim Ashkenazi pale ni kwao ndio hawana ushahidi wowote.
We bakia na ngano zako uzuri historia ya wayahudi/Israel ipo vizuri sana na haina konakona hata kidogo kwa anayetaka kuijua na kuithibitisha katika vipimo vyovyote vile. Ila kwa anayetaka kulishwa matango pori kama wewe, matango pori yamejaa kibao na ndiyo hayo unayoandika humu jukwaani mara kwa mara.
 
KWANINI WASOMI WAZITO HAWAGUNDUI KWAMBA ISRAEL NDIO AMERICA YENYEWE.MIMI NAONA ISRAEL NI TAIFA UNDWA LA KIZUNGU KUITAWALA MASHARIKI YA KATI.
 
WaIsrael mwaka 1948 walikubali Palestina igawanywe mataifa mawili nusu kwa nusu lakini Wapalesina wakihamasishwa na waarabu wengine wakakataa wakidai Palestina YOTE ni yao na hakuna kuigawa, Israel ikachukua nusu yake ikaweka kibindoni halafu ikaanza kujiimarisha na ma-settlers wakaanza kuchukua kidogo kidogo na hiyo nusu nyingine Wapalestina waliyogomea ambayo ilibaki kama haina mwenywe. Miaka ya 1960 Israel wakakubali tena kuwarudishia Wapalestina sehemu kubwa tu ya ardhi yao iliyochukuliwa tangu walipogomea kwa mara ya kwanza nusu yao lakini wapalestina tena bado wakakata wakasema wanataka nchi yote! Kilichotokea tangu hapo imebaki ni historia ya kusikitisha sana kwa vizazi vilivyofuata vya Palestina vilivyoponzwa na babu zao wenye akili ndogo walioshindwa kusoma alama za nyakati, na kinachogombaniwa zaidi eti ni hiyo Jerusalem!
Why wagawane? Leo wakija watu tugawane Tanzania utakubali?
 
Professor Jeffrey Sachs ni mtu anaeheshimika Sana Marekani..

Serikali ya Marekani imejaa wanafunzi wake...juzi amesema Washington imejaa wanafunzi wangu waliofeli 😃..
The most interesting part ni kuwa interview yake aliyomponda sana Netanyahu akihojiwa na Republican favourite Carlson Tucker..imekuwa gumzo zaidi baada ya Rais mtarajiwa wa Marekani Donald Trump kushare pictures ya hiyo Interview kwenye social media.. inasemaekana kitendo hiko kimemkasirisha Sana Netanyahu kiasi ame cancel kuhudhuria sherehe za kumuapisha Donald Trump..

Hata hivyo Donald Trump anatazamiwa kushindwa kabisa kupambana na '"The powers Israel Lobby" maarufu kama AIPAC na huenda akaendeleza Sera zile zile za "Israel has the right to defend itself" hata kama wanafanya offensive operations na sio defence......

Coming few months zinasubiriwa Kwa hamu kuona Trump ataenda vipi...kuhusu Ukraine na Gaza ambako kote kuna vita ambayo inaleta "biashara kubwa Sana Kwa mabepari na wawekezaji" wakubwa ambao wana fund karibu bunge lote...huku wananchi Wengi wakianza kuuliza maswali..

Very famous film director Oliver' Stone aliwaita wabunge wa Marekani..wote kuwa ni kama "mbwa ' Kwa kitendo Chao cha kushangilia hotuba ya Netanyahu..

Watu very influential wanaanza uliza maswali magumu...ukiacha professa Sachs...Kuna Myahudi maarufu sana anaitwa Norman Finkelstein nae anapinga Sera za Netanyahu na yuko vocal sana...

Mwingine ni Professor John Mearsherimer...huyu ni msomi maarufu sana alieandika vitabu vya kuheshimika mwenye wanafunzi wengi serikali ya Marekani.....halafu kuna Scott Ritter aliekuwa anaongoza kukagua silaha za maangamizi Iraq huyu amefikia kusema Marekani ni kama mwanamke Malaya Kwa Israel.. 😃....

Asilimia kubwa sasa hivi ya Wamarekani wanaamini wanatoa hela nyingi Sana Kwa Israel na Ukraine bila sababu za maana...

Hata janga la Moto huko California utaona comments nyingi zina kejeli serikali..."send more bilions to Ukraine '. Au "Ask Israel if they are ok or they need another billions...'"..

Inaaminika kuwa hata Trump moyoni hataki vita popote iwe Gaza au Ukraine na hataki pesa za Wamarekani zipelekwe huko but "Hana ubavu wa kuzuia "Powerful Israel Lobby"..

Rais alie wahi kuwaambia wayahudi wa Marekani wajiandikishe kama raia wa kigeni na kujaribu kukataa "maelekezo ya CIA" kuhusu "false flag" za kuua raia wa Marekani...John Kennedy aliishiwa kuuwawa na hadi Leo hakuna Rais aliewakatalia "powerful Zionists" what they want...tusubiri tuone
Mkuu inawezekana Hao Israel ndio Wanaoweka Viongozi wa Marekani Madarakani!, ndio Maanw inakuwa ngumu kutowasikiliza! Fanya Tafiti juu ya Hili!
 
WaIsrael mwaka 1948 walikubali Palestina igawanywe mataifa mawili nusu kwa nusu lakini Wapalesina wakihamasishwa na waarabu wengine wakakataa wakidai Palestina YOTE ni yao na hakuna kuigawa, Israel ikachukua nusu yake ikaweka kibindoni halafu ikaanza kujiimarisha na ma-settlers wakaanza kuchukua kidogo kidogo na hiyo nusu nyingine Wapalestina waliyogomea ambayo ilibaki kama haina mwenywe. Miaka ya 1960 Israel wakakubali tena kuwarudishia Wapalestina sehemu kubwa tu ya ardhi yao iliyochukuliwa tangu walipogomea kwa mara ya kwanza nusu yao lakini wapalestina tena bado wakakata wakasema wanataka nchi yote! Kilichotokea tangu hapo imebaki ni historia ya kusikitisha sana kwa vizazi vilivyofuata vya Palestina vilivyoponzwa na babu zao wenye akili ndogo walioshindwa kusoma alama za nyakati, na kinachogombaniwa zaidi eti ni hiyo Jerusalem!
Sasa hivi wangoni wakirudi S.Africa na kusema tumerudi nyumbani kwenye ardhi ya mababu zao jamii inayo ishi A.kusini kwa sasa itawaelewa?

Hoja mnazo tumia kuhalalisha yanayo fanywa na Israel ikigeuka kuwa kanuni ya dunia nzima sasa hivi wenda hata unapoishi ww sasa hivi huna haki napo.
Alafu usikalili mambo huwa yanabadilika, mtu aliye ishi miaka 100 iliyo pita na akashuhudia wayahudi walivyo kuwa wanaishi kama mbwa na nguruwe ungemuambia kuwa siku moja wayahudi wata kuja kuwa lulu kwa Marekani na mataifa ya Magharibi angekuona kichaa kabisa.

Au mtoto aliye zaliwa sasa hivi ukimuambia kuwa Iran ndo taifa la kwanza kuitambua Israel kama taifa hapo mashariki ya kati atakushangaa.
Au mtoto aliye zaliwa sasa hivi ukimuambia kuwa Iran na Marekani walisha wahi kuwa washirika na marafiki wakubwa wenda akakuona kichaa na hataamini mpaka atakapo soma history.
Kwa hiyo usishangae miaka 30 ijayo mambo yakawa yako tofauti kabisa na yalivyo sasa duniani.
 
Kama haishi basi kulingana na hoja Wamarekani ni kama wanawake malaya wa Israel.
Ndiyo maana umeambiwa usiweke ushabiki sana zungumzia muktada wa hii mada.
Kwa kuwa wewe umezoea ushabiki hivyo unafikiri kila mtu huwa anaweka ushabiki kwenye anachoandika.
 
Israel sio Tanzania, pia Wapalestina wengi ni waarabu wahamiaji kutoka Jordan.
Kwani kuwa wahamiaji ni tatizo au kuwa wahamiaji kutoka Jordan kunaondoa haki yao ya umiliki wa ardhi yao?
Kwa hiyo na wamarekani na wakanada hawana haki na ardhi ya nchi hizo kwa sababu na wao ni wahamiaji kutoka Ulaya?
 
Inawezekana tuna tofautiana namna ya kuijua historia ya middle east; nitaeleza ninacho kijua and then you will correct me if I'm wrong; nisingependa kugusia masuala ya dini though sometimes kwa mazingira ya hapo italazimika kama ulivofanya hapo ju. As far as I know, Israel na Wapalestina wamekua na ugomvi karne nyingi zilizopita, wamekua wanagombania ardhi hiyo miaka na miaka, utawala wa Rumi ndio uliwatawanya hawa tunao waita Wayahudi, miaka hiyooo nadhani 100 AD, wachache walibaki lakini wengi walihamia uhamishoni hasa Ulaya na Asia, baadhi walikwenda Ethiopia. Vita ya pili ya dunia na hasa baada ya mauaji makubwa alioyafanya Hitler ndio yalisababisha Wayahudi kurudi nyumbani, nadhani hapa ndio wengi tunajengea hoja kwamba hawa watu ni Wavamizi kwa Palestinians; issue ya Lebanoni is somehow complicated, Hezbollah ni Wapalestina waliojamia huko kama Wakimbizi, hawa walikataliwa na mataifa mengine majirani zao, Lebanon (kama ilivo kawaida ya Wakristo wengi na huruma zao ) waliwapokea, sasa hivi Lebanonies wanajuta sana. Wakati Wayahudi wanarudi nyumbani hawakuingia kwa vita, walikaribishwa na kuuziana viwanja kawaida kabisa, wahafidhina ndio walianza uchokozi na jamaa wakajipanga; yanayo endelea sasa hvi ni matokeo ya kupigana pigana mara kwa mara
1. Si Kweli kwamba Israel na Palestina wana ugomvi miaka mingi bali Palestina ndio Waisrael wa Zamani (Israelites) na hawa wanaojiita leo wayahudi (Sio wote bali Ashkenaz) ni wavamizi wa hilo eneo. So hao wazungu walivyo kuja karne iliopita ndio walioanzisha Ugomvi wa sasa. Wayahudi ambao sio Wazungu kama sepharidic na Mizrahi pamoja na wapalestina, Lebanon, Syria, Jordan Dna zao ni sawa kwa kiasi kikubwa mno na makundi yote haya yanafanana Dna zao na Wayahudi walioishi kipindi cha Yesu wakati Ashkenazi Dna zao zinafanana na Wazungu wengine.

2. Hezbollah sio wapalestina wala hawana Mahusiano na Palestine, Hezbollah, Houth haya ni makundi ya Kishia yapo Supported na Iran, kuna Wapalestina wengi Lebanon ila hawa ni wakristo na Sunni waisilamu sio Shia.

3. Lebanon hawajuti kuwapokea wapalestina, Chama Cha Lebanon ambacho kipo against Palestine na kinasuport Israel kina wabunge wanne tu NI kama unamuongelea John cheyo Tanzania halafu useme anachorepresent ndio kikubwa zaidi Tanzania. Lebanon vyama vikubwa ni Hezbollah na wakristo wa Maronite na hawa wawili ni Allies wote wana support Palestine na wapo Against Israel.

4. Wayahudi waliondoka Palestina wengi walibaki middle East, Nchi zote hizo za Middle East kama Yemen, Iran, Iraq etc Kuna population za kiyahudi hawa kwa Ujumla wanaitwa Mizrahi jews, ama Jews Waarabu.

Then una sepharidic jews, ambao walienda Ulaya wakawa spain baadae fujo za spain wakaenda North Africa Nchi kama Morocco, Algeria, Tunisia etc.

Makundi yote hayo unayatrace toka makabila 12 YA Israel.

Then kuna Ashkenazi ambao ni wazungu pure, hawana trace toka kabila lolote la Israel kuna Tafiti nyingi mno Ashkenazi ni jews by conversion na sio jews wa kiasili hivyo hawana claim yoyote hapo Palestine. Kuanzia Dna zao kisayansi, culture yao mpaka in compability ya miwili yao haiwezi kuhimili hali ya hewa ya Middle East,

 
Israel sio Tanzania, pia Wapalestina wengi ni waarabu wahamiaji kutoka Jordan.
Hii ni kauli ya kisiasa ya Netanyahu, Tafiti za Kisayansi zinakataa, wapalestina sio waarabu wa Asili bali ni canaanites na Dna za wapalestina zinafanana na Dna za wakati wa Yesu.

1. Hii video mtaalam wa Genetics ambaye yeye mwenyewe ni Ashkenazi Jew aki elezea namna ambavyo wapalestina ni Canaanite wa kale na sio waarabu

View: https://m.youtube.com/watch?v=-dEL2yhT7Uo

2. Mtaalam mwengine wa Dna aki elezea kwamba Wapalestina wakristo wana Dna kali zaidi ya Canaanite wao na Samaritan kwa zaidi ya Asilimia 90 Wana relate na wayahudi wa zamani, then makundi mengine kama Mizrahi jews, Wapalestina waisilamu, Walebanon etc nao pia Dna zao kwa kiasi kikubwa zinafanana



View: https://x.com/MiroCyo/status/1712258026881921287

Hili graph lina summarize kila kundi na asilimia ya Israelite na makundi mengine
F8MrtdnbcAAigu9 (1).png

Hapo kwenye Graph hadi Kina Assad wana claim na Palestine zaidi ya Ashkenazi.

Na wapalestina wamechanganyika na watu weusi (in case ya waisilamu) na wagiriki (in case ya Wakristo)
 
1. Si Kweli kwamba Israel na Palestina wana ugomvi miaka mingi bali Palestina ndio Waisrael wa Zamani (Israelites) na hawa wanaojiita leo wayahudi (Sio wote bali Ashkenaz) ni wavamizi wa hilo eneo. So hao wazungu walivyo kuja karne iliopita ndio walioanzisha Ugomvi wa sasa. Wayahudi ambao sio Wazungu kama sepharidic na Mizrahi pamoja na wapalestina, Lebanon, Syria, Jordan Dna zao ni sawa kwa kiasi kikubwa mno na makundi yote haya yanafanana Dna zao na Wayahudi walioishi kipindi cha Yesu wakati Ashkenazi Dna zao zinafanana na Wazungu wengine.

2. Hezbollah sio wapalestina wala hawana Mahusiano na Palestine, Hezbollah, Houth haya ni makundi ya Kishia yapo Supported na Iran, kuna Wapalestina wengi Lebanon ila hawa ni wakristo na Sunni waisilamu sio Shia.

3. Lebanon hawajuti kuwapokea wapalestina, Chama Cha Lebanon ambacho kipo against Palestine na kinasuport Israel kina wabunge wanne tu NI kama unamuongelea John cheyo Tanzania halafu useme anachorepresent ndio kikubwa zaidi Tanzania. Lebanon vyama vikubwa ni Hezbollah na wakristo wa Maronite na hawa wawili ni Allies wote wana support Palestine na wapo Against Israel.

4. Wayahudi waliondoka Palestina wengi walibaki middle East, Nchi zote hizo za Middle East kama Yemen, Iran, Iraq etc Kuna population za kiyahudi hawa kwa Ujumla wanaitwa Mizrahi jews, ama Jews Waarabu.

Then una sepharidic jews, ambao walienda Ulaya wakawa spain baadae fujo za spain wakaenda North Africa Nchi kama Morocco, Algeria, Tunisia etc.

Makundi yote hayo unayatrace toka makabila 12 YA Israel.

Then kuna Ashkenazi ambao ni wazungu pure, hawana trace toka kabila lolote la Israel kuna Tafiti nyingi mno Ashkenazi ni jews by conversion na sio jews wa kiasili hivyo hawana claim yoyote hapo Palestine. Kuanzia Dna zao kisayansi, culture yao mpaka in compability ya miwili yao haiwezi kuhimili hali ya hewa ya Middle East,

Yeah, ili tuendelee kuishi kwa amani, ngoja tubaki kila mtu na anavyo elewa.
 
Sasa hivi wangoni wakirudi S.Africa na kusema tumerudi nyumbani kwenye ardhi ya mababu zao jamii inayo ishi A.kusini kwa sasa itawaelewa?
Kulikuwa na taifa la Palestina mwaka 1948? Nani alikuwa Mfalme, rais au waziri mkuu wao?
Nani waliwaondoa Wangoni South Africa na nani waliwaondoa WaIsrael Palestina na kuwatawanya sehemu nyingine?
 
Kulikuwa na taifa la Palestina mwaka 1948? Nani alikuwa Mfalme, rais au waziri mkuu wao?
Nani waliwaondoa Wangoni South Africa na nani waliwaondoa WaIsrael Palestina na kuwatawanya sehemu nyingine?
Kwani kabla ya kuja wakoloni kulikuwa na taifa limalo itwa Tz au Uganda?
Wangoni walikimbia S Africa kwa sababu ya vita yao na wazuru.
Na hao waisirael waliondolewa na warumi hivyo ukiangalia mazingira ya waisirael na wangoni kuondoka maeneo yao ya asili zina fanana.
 
Sasa hivi wangoni wakirudi S.Africa na kusema tumerudi nyumbani kwenye ardhi ya mababu zao jamii inayo ishi A.kusini kwa sasa itawaelewa?

Hoja mnazo tumia kuhalalisha yanayo fanywa na Israel ikigeuka kuwa kanuni ya dunia nzima sasa hivi wenda hata unapoishi ww sasa hivi huna haki napo.
Alafu usikalili mambo huwa yanabadilika, mtu aliye ishi miaka 100 iliyo pita na akashuhudia wayahudi walivyo kuwa wanaishi kama mbwa na nguruwe ungemuambia kuwa siku moja wayahudi wata kuja kuwa lulu kwa Marekani na mataifa ya Magharibi angekuona kichaa kabisa.

Au mtoto aliye zaliwa sasa hivi ukimuambia kuwa Iran ndo taifa la kwanza kuitambua Israel kama taifa hapo mashariki ya kati atakushangaa.
Au mtoto aliye zaliwa sasa hivi ukimuambia kuwa Iran na Marekani walisha wahi kuwa washirika na marafiki wakubwa wenda akakuona kichaa na hataamini mpaka atakapo soma history.
Kwa hiyo usishangae miaka 30 ijayo mambo yakawa yako tofauti kabisa na yalivyo sasa duniani.
ITR karibu sana kwenye mjadala.
 
Ni kweli kabisa hayo unayosema, huyo Hitler sio mwendawazimu. Hata Queen Elizabeth hajawahi kumualika kiongozi yeyote wa Israel kwenye palace yake. Alisema kila muisrael ni either terrorist or son of a terrorist. Cheki hii clip hapo chini waliwafanyia waingereza


View: https://youtu.be/B0UVXx1o8A0?si=c9LYAdYrtF30_n1e

Sasa mbona serikali ya UK inaendelea kufanya biashara ya silaha na Israel?
 
Kulikuwa na taifa la Palestina mwaka 1948? Nani alikuwa Mfalme, rais au waziri mkuu wao?
Nani waliwaondoa Wangoni South Africa na nani waliwaondoa WaIsrael Palestina na kuwatawanya sehemu nyingine?
Yoda karibu kwenye mjadala, mkuu The Boss ametisha sana kuanzisha hii mada, japo itakwenda taratibu lakini kuna mengi ya kujifunza pasipo matusi na kejeli.
Hammaz T14 Armata Bwana Utam , baba mwaju-mwajuma
 
Back
Top Bottom