Professor Jeffrey Sachs: Marekani inapigana vita vya Netanyahu

Professor Jeffrey Sachs: Marekani inapigana vita vya Netanyahu

Na sio Hitler peke yake aliesema wayahudi ndio chanzo cha matatizo ya uchumi...infact Wayahudi walifukuzwa Ulaya yote...Kwa kusababisha matatizo ya kiuchumi Kila nchi wanayoenda..."compound interest" au "usury" ndo chanzo cha matatizo ya Wayahudi na nchi zote za Ulaya walizofukuzwa...banking system inayowafanya wao wawe matajiri...wenye nchi wawe masikini...wanatimuliwa..wao wanaleta propaganda kuwa wanatimuliwa sababu watu Wana chuki na ubaguzi...wakati ukweli ni watu wa hila na mbinu chafu za kushikilia uchumi....na kuchonganisha nchi mbalimbali na kufanya biashara za silaha....Mama yao na kina Rothschild aliwahi nukuliwa akisema..."if my sons wants war ,there will be war"...hapo anazungumzia world war...pata picha
Kwa nini hao Wayahudi hawasababishi matatizo ya uchumi Uingereza na Marekani?

Kwa nini benki zenu za BoT, CRDB, NMB na nyingine zinatoa mikopo yenye riba? Zinamilikiwa na Wayahudi?
 
Kwa nini hao Wayahudi hawasababishi matatizo ya uchumi Uingereza na Marekani?

Kwa nini benki zenu za BoT, CRDB, NMB na nyingine zinatoa mikopo yenye riba? Zinamilikiwa na Wayahudi?
Kwenye history ya Uingereza Jews wamewahi kuteteresha uchumi wao pia walikuwa wameshikilia sehem kubwa ya uchumi na mikopo ya riba kubwa na ilikuwa kwenye miaka ya 1290 hawa Jews wanaishi hatua nyingi mbele ya wakati.
 
Sawa nitakukumbusha Iran atakapokuwa anapokea haki yake kutokea kwa Trump.
Tatizo lako ushabiki umekujaa, Trump kuweka vikwazo Iran na Trump kupeleka mabilioni ya dola ya misaada ni vitu viwili tofauti. Anaweza akaweka vikwazo ila haimaanishi atatoa tu sadaka hela za wa lipa kodi wa nchi yake.
Trump ndio aliitaka Marekani iitambue Jerusalem kama mji mkuu wa Israel, suala ambalo Marekani haijawahi waza bali inaitambua Tel Aviv.

Trump wateule wake wa mwanzo wamejaa pro-Israeli na Wayahudi kibao wenye msimamo mkali. Mungu atupe uzima hata mwaka hauishi nitakurudia kwenye uzi huu huu, kuanzia around April hapo utaona maajabu.

Mlitoka kuitarajia Hamas, mkaitarajia Hezbollah, mkaitarajia Houthi, Syria, Iran na sasa mmeamua kuitarajia Marekani ambayo wala haiko upande wenu. Si ajabu mtafikia hatua ya kuitarajia Israel.
Unazungumzia matukio ambayo yalifanyika kabla hawajamsaliti Trump, na Trump kusaidia Israel si sawa na Trump kusaidia Netanyahu. Yupo Against na utawala wa sasa Wa Israel.

Na hakuna mtu anaeitarajia Marekani, watu wana discuss maneno ya Trump mwenyewe na professor wa Marekani kuhusu USA kutumika, kila mtu anaona kinachoendelea sasa hivi Usa.
 
Asilimia 70% ya Wayahudi wa Marekani ni Democrats, Wayahudi waliofanikiwa kufika ngazi za juu zaidi katika serikali ya Marekani ni kupitia Democrats kama Kiongozi wa Seneti Chuck Schumer, Waziri wa mambo ya Nje, Antony Blinken, Mwanasheria mkuu Merrick Garland, Gavana Josh Shapiro n.k Wayahudi wengi hata wa kawaida ni Liberals sio conservatives.

Karl Marx na Leon Trotsky ambao ni pioneers wakubwa wa ujamaa karne ya 19 walikuwa ni Wayahudi.
There’s Israel as a state, na inasimamiwa na Shana Zionism na kuna hao Wayahudi wanaoishi mataifa mbali mbali. Kwa Bahati mbaya wayahudi wale Judaism kindakindaki siasa zao ni sawa tu na Waislam. Wanaona wao ndiyo pekee wenye kibali cha Mungu. Si Ulaya na America tu ambako hawachangamani na watu wengine Bali hata Israel. Kwenye basi marufuku mwanaume na mwanamke kukaa seat moja. Hawataki kutumikia Jeshini.
Hii ndiyo sababu wayahudi wengine kuchukua mrengo wa progressive au kutokuwa na Dini.
Wakati wa Hitler wayahudi kama hao walikuwepo wakajipendekeza kwa hitler kumbe Hawaiian kuwa Hitler anawachukia wayahudi, pamoja na mambo mengine, mafanikio yao
Kwa move hii ya karibuni ya Islamist’s name socialists kutaka kulifutilia mbali Taifa la Israel, some American Jews are waking up. Wanaanza kujua rafiki wa kweli wa Israel ni nani, Kati ya Republicans na Democrats.
 
Wayahudi walirudi Israel kwa kuwa ni kwao hivyo huwezi sema eti walirudi kama wakimbizi. Najua hii ni historia ya uwongo ambayo watu wa mrengo ule mmekariri.
Si kila myahudi Palestina ni kwao, Mzungu ni Mzungu kwao ni Ulaya sio Middle East, Mzungu anapobadili dini kuwa Myahudi hakufanyi Palestina iwe kwao.

Ni. Kama Leo Msambaa ama Mzaramo Aclaim Saudia ni kwao na wasaudia wenyewe waondoke ina make sense kwako?

Wakati Ashkenazi wanaenda Palestina kitu kikubwa walichokumbana nacho ni Kansa ya Ngozi, Israel ni nchi iliokua na rate kubwa ya Cancer ya Ngozi na mpaka leo wanawachuna ngozi wapalestina kujitibu.

Kama Ni eneo lao Asili kwanini wana Struggle ku adapt? Usha sikia Mwarabu ama mtu mweusi anatumia sunscreen? Sababu ngozi zetu ni za asili kwenye mazingira harsh ya kwenye jangwa.
 
In other words (kwa mujibu wa uzi wako ) Israel ni taifa kubwa sana, yaani ndio linaiongoza Marekani kwa remote, rais wa USA hana budi kufata maelekezo ya Wayahudi? Soma hasa hiyo paragraph yako ya mwisho. Kwamba rais John Kennedy alikufa kwasababu alikua kinyume na Jews? I didn't know that, miaka ya 60 wakati JFK anatawala USA, taifa la Israel si lilikua changa sana, how liliweza hadi kumuua rais wa USA? Kama ulicho andika mkuu The Boss ni cha kweli basi in a nut shell, Israel ndio baba wa dunia na sio Marekani. I'm not sure if this is what you meant.
Fikiria Israel kama Mbwa, deep state ya Marekani kama mwenye mbwa, na Raisi wa Usa kama mfanyakazi wa mwenye mbwa.

So mwenye Mbwa ndio anaemlinda mbwa wake, yupo tayari hata kudhuru wafanyakazi wake ili mradi kazi anazomtuma mbwa wake ziende sawa.

Israel wanatumika ku distabilize Middle East so wana role wana play na sababu hio role yao wanalindwa.
 
Nimewahi kusikia conspiracies nyingi sana za holocaust ya Wayahudi ila hii ya kwamba walitolewa kwenye nyumba zao kuwekwa kwenye concentrations camp ili kutafutiwa nchi yao inaweza kuwa ya kijinga zaidi kuwahi kuisikia.
Mkataba upo unaitwa Haavara Agreement wala sio Conspiracy theory, mkataba baina ya Zionist na Hitler


Kwamba Jews wanaishi kwenye hizo camp za Nazi wangepelekwa Palestina, kilichokuja kutokea baadae kuna kiongozi wa juu wa Nazi kuuliwa na anayesadikika ni jew na mauaji hayo kutokea ya Jews kwenye camps.
 
Trump ni pro-Israel kuliko Biden. Natarajia support kubwa ya Trump kwa Israel na hasara kwa maadui wa mazayuni.
Kwa statistics biden amewapa support kubwa sana israel na ukraine kuliko rais hata trump

Biden kawapa go ahead israel kushambulia iran direct na ukraine kushambulia russia direct hakuna rais yeyote wa marekan alikua na guts kama hizi za biden
 
Fikiria Israel kama Mbwa, deep state ya Marekani kama mwenye mbwa, na Raisi kama mfanyakazi.

So mwenye Mbwa ndio anaemlinda mbwa wake, yupo tayari hata kudhuru wafanyakazi wake ili mradi kazi anazomtuma mbwa wake ziende sawa.

Israel wanatumika ku distabilize Middle East so wana role wana play na sababu hio role yao wanalindwa.
Sio kweli kabla hata israel haijapata uhuru kwa mara ya pilli mwaka 1948 uhuru wa kwanza waliupata kipindi cha musa kutoka misri

Eneo la middle east limekua na vita tu tokea zama za kina ibrahim, daud n.k
Ni eneo ambalo haliwezi tulia

Nchi za kiarabu zimepigana na kuchunjana kama kuku kipindi cha caliphate ziliibuka nyingi na nyingi na nyingi zilikuwa zinapongana kwa kupigana bloody batle

Kabla hata ya mtume kuzaliwa warab wamepigana sana kikoo walipatana tu kipindi wakienda kufanya sherehe kwa Mungu wao aliyekua anaitwa allah kwa kuzunguka macca wakati huo tu ulikua wa amani wakimaliza hiyo sherehe yao wanaingia kuchinjana kama kawaida
 
Mkataba upo unaitwa Haavara Agreement wala sio Conspiracy theory, mkataba baina ya Zionist na Hitler


Kwamba Jews wanaishi kwenye hizo camp za Nazi wangepelekwa Palestina, kilichokuja kutokea baadae kuna kiongozi wa juu wa Nazi kuuliwa na anayesadikika ni jew na mauaji hayo kutokea ya Jews kwenye camps.
Kwenye huo mkataba ndio Hitler alikubaliana na Wayahudi watolewe majumbani mwao Ujerumani na nchi nyingine za Ulaya kama Poland na Hungary wapelekwe kwenye concentration camps wakati wanasubiria kutafutiwa taifa lao??

Nina uhakika hakuna ujinga kama huo katika huu mkataba wako na hata kama kingekuwepo hicho kitu cha kuwapeleka wayahudi katika concentration camp ni sawa tu na mkataba wa Karl Peters aliosaini na Mangungo wa Musovero, ni null and void.
 
Fikiria Israel kama Mbwa, deep state ya Marekani kama mwenye mbwa, na Raisi wa Usa kama mfanyakazi wa mwenye mbwa.

So mwenye Mbwa ndio anaemlinda mbwa wake, yupo tayari hata kudhuru wafanyakazi wake ili mradi kazi anazomtuma mbwa wake ziende sawa.

Israel wanatumika ku distabilize Middle East so wana role wana play na sababu hio role yao wanalindwa.
Mi sina kumbukumbu kumsikia Israel kaanzisha vita au kavamia sehemu; always wao ndio huaga wanamuanza; so kusema kwamba Israel anatumika ku destabilize middle east nadhani sio kweli
 
Kwenye history ya Uingereza Jews wamewahi kuteteresha uchumi wao pia walikuwa wameshikilia sehem kubwa ya uchumi na mikopo ya riba kubwa na ilikuwa kwenye miaka ya 1290 hawa Jews wanaishi hatua nyingi mbele ya wakati.
Hizi hazina tofauti na hadithi za Abunuwasi,
 
Hizi hazina tofauti na hadithi za Abunuwasi,
Jamaa anaweza akawa yuko sahii
Zaman ulaya wazungu walikuwa hawarusiwi kutoa mikopo ya riba ila wayahudi kupitia dini yao walirusiwa kutoa mikopo ya riba kwa mtu ambaye sio ndugu yake

Baada ya mda wazungu wakawa wanaenda kwa wayahudi kuchukua mikopo ya riba na wayahudi wakaenda mbali zaidi wakasema wanaweza kukuhifadhia hela zako ndo idea ya bank ikianzia kwao ndo tunaona wakina roschild na wengineo

Wazungu wanakuja kushtuka wayahudi wameshakua na utajiri mkubwa sana ndo chuki dhidi ya wayahudi ilipoanzia ulaya hawa ni wageni hawarusiwi kumiliki ardhi ila ni matajiri kupitia riba walizokua wanatoa kutoka kwenye mikopo

Ndo maana chimbuko la bank lilianza kwa wayahudi
 
Jamaa anaweza akawa yuko sahii
Zaman ulaya wazungu walikuwa hawarusiwi kutoa mikopo ya riba ila wayahudi kupitia dini yao walirusiwa kutoa mikopo ya riba kwa mtu ambaye sio ndugu yake

Baada ya mda wazungu wakawa wanaenda kwa wayahudi kuchukua mikopo ya riba na wayahudi wakaenda mbali zaidi wakasema wanaweza kukuhifadhia hela zako ndo idea ya bank ikianzia kwao ndo tunaona wakina roschild na wengineo

Wazungu wanakuja kushtuka wayahudi wameshakua na utajiri mkubwa sana ndo chuki dhidi ya wayahudi ilipoanzia ulaya hawa ni wageni hawarusiwi kumiliki ardhi ila ni matajiri kupitia riba walizokua wanatoa kutoka kwenye mikopo

Ndo maana chimbuko la bank lilianza kwa wayahudi
Hayuko sahihi kusema kwamba Wayahudi waliangusha au wamewahi kuangusha uchumi wa Uingereza.

Lakini pia huwezi kuwa na benki ya kibiashara yenye muendelezo kama hakuna riba na kwa namna hii Wayahudi wameisaidia sana Ulaya kuwa eneo la kwanza duniani kuwa na benki za kimataifa. Ulaya wao karne hizo dini ya ukristo ikiwa ina nguvu na sehemu ya utawala walikuwa wanaamini riba ni dhambi lakini wanaenda kukopa kwa wayahudi ambao kwao riba ilikuwa inaruhusiwa kwa watu wasio wa Wayahudi🤣!

Ni kweli Wayahudi walifanikiwa sana Ulaya enzi hizo huku wazungu wengi wakiwa wajinga wajinga kwenye mifumo ya fedha na uwekezaji mitaji na ndipo chuki ilipoanzia hapo ikachanganywa na udini kwamba wao ndio walikuwa wapinga Kristo. Pia enzi hizo za middle ages mpaka karne ya 19 wayahudi walikuwa wanakopesha hadi watawala wa Ulaya katika vita vyao vya wenyewe kwa wenyewe na Mapapa wa Vatican pia walikuwa wanakopeshwa na Wayahudi. Wao walichokuwa wanaangalia ni kama pesa yao itarudi tu, sasa kuna wakati hao watawala wa Ulaya wanashindwa kurejesha mkopo ndipo wanatengeneza propoganda za chuki(anti-Semitism) dhidi ya Wayahudi na kuwatimuwa au ku default mkopo yao kisheria.
 
Si kila myahudi Palestina ni kwao, Mzungu ni Mzungu kwao ni Ulaya sio Middle East, Mzungu anapobadili dini kuwa Myahudi hakufanyi Palestina iwe kwao.

Ni. Kama Leo Msambaa ama Mzaramo Aclaim Saudia ni kwao na wasaudia wenyewe waondoke ina make sense kwako?

Wakati Ashkenazi wanaenda Palestina kitu kikubwa walichokumbana nacho ni Kansa ya Ngozi, Israel ni nchi iliokua na rate kubwa ya Cancer ya Ngozi na mpaka leo wanawachuna ngozi wapalestina kujitibu.

Kama Ni eneo lao Asili kwanini wana Struggle ku adapt? Usha sikia Mwarabu ama mtu mweusi anatumia sunscreen? Sababu ngozi zetu ni za asili kwenye mazingira harsh ya kwenye jangwa.
Umeshasema myahudi halafu wewe mmatumbi unakaza fuvu kusema hawa wayahudi Israel sio kwao yaani wewe unajifanya saaana kuwajua kuliko wao wanavyojijua? kwamba wao ni vichaa hata warudi hapo Israel? Halafu mfano wako wa Mzaramo na Saudia hauendani hata kidogo yaani unalinganisha apples na muwa. Hizo ulizoandika ni ngano tu zilizojaa mitandaoni za watu wa mrengo ule ambazo hazina mashiko yoyote. Unaposema wayahudi waliorudi kwao Israel wanashindwa kuadapt hivi hii habari ni kwa mujibu wa tafiti gani credible?
 
Mi sina kumbukumbu kumsikia Israel kaanzisha vita au kavamia sehemu; always wao ndio huaga wanamuanza; so kusema kwamba Israel anatumika ku destabilize middle east nadhani sio kweli
Kwani hio Nchi kaipataje?

Jews walikuwepo Palestina hata kabla ya Ashkenazi kufika hapo Palestina na walikua na maeneo yao na wakristo na waisilamu wana maeneo yao wana exist kwa amani, wao ndio walioanzisha vita na kupora Ardhi za watu.

Lebanon hapo kuna Civil war muda mrefu su sababu ya Intervention ya Israel, mpaka Hezbollah wamekuwa founded sababu ni kuwa toa Israel kwenye Ardhi ya Lebanon.
 
Umeshasema myahudi halafu wewe mmatumbi unakaza fuvu kusema hawa wayahudi Israel sio kwao yaani wewe unajifanya saaana kuwajua kuliko wao wanavyojijua? kwamba wao ni vichaa hata warudi hapo Israel? Halafu mfano wako wa Mzaramo na Saudia hauendani hata kidogo yaani unalinganisha apples na muwa. Hizo ulizoandika ni ngano tu zilizojaa mitandaoni za watu wa mrengo ule ambazo hazina mashiko yoyote. Unaposema wayahudi waliorudi kwao Israel wanashindwa kuadapt hivi hii habari ni kwa mujibu wa tafiti gani credible?
Why ni Apple na Muwa?

Mzaramo (mweusi)
Ashkenazi (mzungu)

Wote sio native wa hilo eneo, wote wana dini ambayo native wake ni Middle East ni Apple to Apple Comparison.

Na sio ngano bali ni ukweli ambao
1. Intellectual wote wa KI Ashkenazi wanakubali kule sio kwao kina Chomsky na wengineo

2. Tafiti za Sayansi zote kuanzia Havard na vyuo mbalimbali Duniani.

Wanaoclaim Ashkenazi pale ni kwao ndio hawana ushahidi wowote.
 
Sio kweli kabla hata israel haijapata uhuru kwa mara ya pilli mwaka 1948 uhuru wa kwanza waliupata kipindi cha musa kutoka misri

Eneo la middle east limekua na vita tu tokea zama za kina ibrahim, daud n.k
Ni eneo ambalo haliwezi tulia

Nchi za kiarabu zimepigana na kuchunjana kama kuku kipindi cha caliphate ziliibuka nyingi na nyingi na nyingi zilikuwa zinapongana kwa kupigana bloody batle

Kabla hata ya mtume kuzaliwa warab wamepigana sana kikoo walipatana tu kipindi wakienda kufanya sherehe kwa Mungu wao aliyekua anaitwa allah kwa kuzunguka macca wakati huo tu ulikua wa amani wakimaliza hiyo sherehe yao wanaingia kuchinjana kama kawaida
Yeah Ignore golden age yote ile ambapo for years most civilized country zili exist hapo mpaka kuja Ukoloni.
 
Muda haungopi miaka minne ya uongozi wa Trump inaanza very soon na ndani ya mwaka 1-2 ndo utajua hiki nilichoandika unachoita ushabiki ni kitu real.
Najua huwezi elewa kwa sasa ila vitakavyokuwa vinatokea utakumbuka.
Msimamo wa Trump ni kumaliza vita mashariki ya kati.
 
Kwani hio Nchi kaipataje?

Jews walikuwepo Palestina hata kabla ya Ashkenazi kufika hapo Palestina na walikua na maeneo yao na wakristo na waisilamu wana maeneo yao wana exist kwa amani, wao ndio walioanzisha vita na kupora Ardhi za watu.

Lebanon hapo kuna Civil war muda mrefu su sababu ya Intervention ya Israel, mpaka Hezbollah wamekuwa founded sababu ni kuwa toa Israel kwenye Ardhi ya Lebanon.
Inawezekana tuna tofautiana namna ya kuijua historia ya middle east; nitaeleza ninacho kijua and then you will correct me if I'm wrong; nisingependa kugusia masuala ya dini though sometimes kwa mazingira ya hapo italazimika kama ulivofanya hapo ju. As far as I know, Israel na Wapalestina wamekua na ugomvi karne nyingi zilizopita, wamekua wanagombania ardhi hiyo miaka na miaka, utawala wa Rumi ndio uliwatawanya hawa tunao waita Wayahudi, miaka hiyooo nadhani 100 AD, wachache walibaki lakini wengi walihamia uhamishoni hasa Ulaya na Asia, baadhi walikwenda Ethiopia. Vita ya pili ya dunia na hasa baada ya mauaji makubwa alioyafanya Hitler ndio yalisababisha Wayahudi kurudi nyumbani, nadhani hapa ndio wengi tunajengea hoja kwamba hawa watu ni Wavamizi kwa Palestinians; issue ya Lebanoni is somehow complicated, Hezbollah ni Wapalestina waliojamia huko kama Wakimbizi, hawa walikataliwa na mataifa mengine majirani zao, Lebanon (kama ilivo kawaida ya Wakristo wengi na huruma zao ) waliwapokea, sasa hivi Lebanonies wanajuta sana. Wakati Wayahudi wanarudi nyumbani hawakuingia kwa vita, walikaribishwa na kuuziana viwanja kawaida kabisa, wahafidhina ndio walianza uchokozi na jamaa wakajipanga; yanayo endelea sasa hvi ni matokeo ya kupigana pigana mara kwa mara
 
Back
Top Bottom