Professor Jeffrey Sachs: Marekani inapigana vita vya Netanyahu

Professor Jeffrey Sachs: Marekani inapigana vita vya Netanyahu

In other words (kwa mujibu wa uzi wako ) Israel ni taifa kubwa sana, yaani ndio linaiongoza Marekani kwa remote, rais wa USA hana budi kufata maelekezo ya Wayahudi? Soma hasa hiyo paragraph yako ya mwisho. Kwamba rais John Kennedy alikufa kwasababu alikua kinyume na Jews? I didn't know that, miaka ya 60 wakati JFK anatawala USA, taifa la Israel si lilikua changa sana, how liliweza hadi kumuua rais wa USA? Kama ulicho andika mkuu The Boss ni cha kweli basi in a nut shell, Israel ndio baba wa dunia na sio Marekani. I'm not sure if this is what you meant.
 
Kwa maana hiyo wote tunakubaliana kuwa Israel ndio baba lao si ndio?
Sasa mbona kila siku mnamkosea heshima na kumfananisha na vinyago vya Iran
 
Jipeni moyo, Trump ni kama kitenesi, mtu yoyote anaye sema anaweza ku mpredict anadanganya.

1. Trump alikua na urafiki na Netanyahu ila Netanyahu akamsaliti, Biden alivyoshida cha kwanza alimpongeza Biden na kumchunia trump. Hii interview ya Trump mwaka 2021 wakati ana makesi yake

I liked Bibi. I still like Bibi. But I also like loyalty,” Trump told Axios in 2021, using a nickname for the Israeli PM. “The first person to congratulate Biden was Bibi. And not only did he congratulate him, he did it on tape,” Trump continued, adding: “I haven’t spoken to him since. F**k him.”



2. Trump
Ameshamwambia Netanyahu akiingia madarakani vita viwe vimeisha

Trump has publicly called on Israel to “finish up” the war. During a meeting with Netanyahu at the Republican’s Mar-a-Lago estate in October, then-candidate Trump reportedly told the Israeli premier that he wanted to see the conflict resolved by the time he takes office later this month.

Pia aliwaambia Hamas

The incoming president has also warned Hamas that there will be “all hell to pay in the Middle East” if the Palestinian militants do not free their remaining Israeli hostages before inauguration day.

Cha Ajabu watu wana translate haya kama Ana wasuport Israel kwenye Vita.

3. Nentanyahu hatashiriki kwenye Uapisho wa Trump, kwa maneno yake mwenyewe akikiambia chimbo cha habari cha Israel

Netanyahu will not attend Trump’s inauguration, an aide to the PM told the Times of Israel on Thursday, without commenting further.

4. Biden anaforce kusaini mikataba kibao kuisaidia Israel sasa hivi zaidi ya $8B zimesainiwa ingekua kweli Trump anakuja kuwasaidia kwa nguvu kuliko Biden why waharakishe sasa hivi?

5. Kauli ya Trump kwamba Los angels inaungua sababu Marekani inasaidia vita hali ya kuwa hawana hela za kukabiliana na majanga pia inaonesha akiingia madarakani anakata mirija.

Mkuu Hammaz The Boss hii video Trump ameishare mwenyewe kwenye social Media yake ya truth, na yeye anakubaliana na hichi, labda tu hio deep state yao ianze kuzingua.
Trump ndio aliitaka Marekani iitambue Jerusalem kama mji mkuu wa Israel, suala ambalo Marekani haijawahi waza bali inaitambua Tel Aviv.

Trump wateule wake wa mwanzo wamejaa pro-Israeli na Wayahudi kibao wenye msimamo mkali. Mungu atupe uzima hata mwaka hauishi nitakurudia kwenye uzi huu huu, kuanzia around April hapo utaona maajabu.

Mlitoka kuitarajia Hamas, mkaitarajia Hezbollah, mkaitarajia Houthi, Syria, Iran na sasa mmeamua kuitarajia Marekani ambayo wala haiko upande wenu. Si ajabu mtafikia hatua ya kuitarajia Israel.
 
Trump ndio aliitaka Marekani iitambue Jerusalem kama mji mkuu wa Israel, suala ambalo Marekani haijawahi waza bali inaitambua Tel Aviv.

Trump wateule wake wa mwanzo wamejaa pro-Israeli na Wayahudi kibao wenye msimamo mkali. Mungu atupe uzima hata mwaka hauishi nitakurudia kwenye uzi huu huu, kuanzia around April hapo utaona maajabu.

Mlitoka kuitarajia Hamas, mkaitarajia Hezbollah, mkaitarajia Houthi, Syria, Iran na sasa mmeamua kuitarajia Marekani ambayo wala haiko upande wenu. Si ajabu mtafikia hatua ya kuitarajia Israel.
Trump anaenda iumiza Iran vilivyo, kwa kifupi sana kuingia madarakani kwa Trump ni pigo kuba sana kwa Iran na hivi walitaka kumuua ndo kabisa, Ila kwa I srael ni faida kubwa sana.
 
Mi nilishasema na nina amini kuna uwezekano mkubwa Hitler hakuwa mtu mbaya kama tunavyoaminishwa.
Hitler hakuwa mwehu akaamka asubuhi na kuanza kuwapiga vita jews, alikuwa na akili nyingi , huwezi kusema mtu aliyeongoza vichwa vyote vile Germany kuanzia wanasayansi, engineers na wasomi nguli kwamba alikuwa mtu wa kawaida.

Tujaribu kuchimba vitu ukweli wa mambo tutaufahamu.
Huu ujinga wanaoufanya sasa jews kwa US state, inawezekana walianza kufanya hivyo hivyo kwa serikali za EU hapo zamani...

Ni kweli kabisa hayo unayosema, huyo Hitler sio mwendawazimu. Hata Queen Elizabeth hajawahi kumualika kiongozi yeyote wa Israel kwenye palace yake. Alisema kila muisrael ni either terrorist or son of a terrorist. Cheki hii clip hapo chini waliwafanyia waingereza


View: https://youtu.be/B0UVXx1o8A0?si=c9LYAdYrtF30_n1e
 
Wayahudi walifukuzwa nchi 109 kabla ya ujerumani... actually hata Hitler alikuwa rafiki yao..mkubwa na insemekana wanafanya propaganda kuwa Hitler alikuwa mtu mbaya...wakati inasemekana walikuwa na Makubaliano na Hitler kuwa watoe support Kwa Nazi Germany watapewa Taifa lao..
Imasemekana hata zile zinazoitwa concentrations camps ilikuwa Hitler aliwakusanya awatafutie nchi ...na kila nchi ikawa inawakataa... including USA...Rossevelt alikataa kabisa wasipelekwe USA ndo wakaenda Palestine kama wakimbizi the rest is history..
Nimewahi kusikia conspiracies nyingi sana za holocaust ya Wayahudi ila hii ya kwamba walitolewa kwenye nyumba zao kuwekwa kwenye concentrations camp ili kutafutiwa nchi yao inaweza kuwa ya kijinga zaidi kuwahi kuisikia.
 
Ni kweli kabisa hayo unayosema, huyo Hitler sio mwendawazimu. Hata Queen Elizabeth hajawahi kumualika kiongozi yeyote wa Israel kwenye palace yake. Alisema kila muisrael ni either terrorist or son of a terrorist. Cheki hii clip hapo chini waliwafanyia waingereza


View: https://youtu.be/B0UVXx1o8A0?si=c9LYAdYrtF30_n1e

George Galloway... Jamaa huwa ana madini sana...
Ukweli wanautambua wachache..
Kama hawa wafuasi wa manabii huku kwetu ndio wa kuonea huruma...
Kama hii video , mlinzi kwenye utalii Jerusalem anamwambia huyo mchungaji avue msalaba ama aufiche... Hawa watu wamekosa utu kabisa.

View: https://www.youtube.com/shorts/YYTv45XRWJA
 
Jipeni moyo, Trump ni kama kitenesi, mtu yoyote anaye sema anaweza ku mpredict anadanganya.

1. Trump alikua na urafiki na Netanyahu ila Netanyahu akamsaliti, Biden alivyoshida cha kwanza alimpongeza Biden na kumchunia trump. Hii interview ya Trump mwaka 2021 wakati ana makesi yake

I liked Bibi. I still like Bibi. But I also like loyalty,” Trump told Axios in 2021, using a nickname for the Israeli PM. “The first person to congratulate Biden was Bibi. And not only did he congratulate him, he did it on tape,” Trump continued, adding: “I haven’t spoken to him since. F**k him.”



2. Trump
Ameshamwambia Netanyahu akiingia madarakani vita viwe vimeisha

Trump has publicly called on Israel to “finish up” the war. During a meeting with Netanyahu at the Republican’s Mar-a-Lago estate in October, then-candidate Trump reportedly told the Israeli premier that he wanted to see the conflict resolved by the time he takes office later this month.

Pia aliwaambia Hamas

The incoming president has also warned Hamas that there will be “all hell to pay in the Middle East” if the Palestinian militants do not free their remaining Israeli hostages before inauguration day.

Cha Ajabu watu wana translate haya kama Ana wasuport Israel kwenye Vita.

3. Nentanyahu hatashiriki kwenye Uapisho wa Trump, kwa maneno yake mwenyewe akikiambia chimbo cha habari cha Israel

Netanyahu will not attend Trump’s inauguration, an aide to the PM told the Times of Israel on Thursday, without commenting further.

4. Biden anaforce kusaini mikataba kibao kuisaidia Israel sasa hivi zaidi ya $8B zimesainiwa ingekua kweli Trump anakuja kuwasaidia kwa nguvu kuliko Biden why waharakishe sasa hivi?

5. Kauli ya Trump kwamba Los angels inaungua sababu Marekani inasaidia vita hali ya kuwa hawana hela za kukabiliana na majanga pia inaonesha akiingia madarakani anakata mirija.

Mkuu Hammaz The Boss hii video Trump ameishare mwenyewe kwenye social Media yake ya truth, na yeye anakubaliana na hichi, labda tu hio deep state yao ianze kuzingua.
Sawa nitakukumbusha Iran atakapokuwa anapokea haki yake kutokea kwa Trump.
 
Mi nilishasema na nina amini kuna uwezekano mkubwa Hitler hakuwa mtu mbaya kama tunavyoaminishwa.
Hitler hakuwa mwehu akaamka asubuhi na kuanza kuwapiga vita jews, alikuwa na akili nyingi , huwezi kusema mtu aliyeongoza vichwa vyote vile Germany kuanzia wanasayansi, engineers na wasomi nguli kwamba alikuwa mtu wa kawaida.

Tujaribu kuchimba vitu ukweli wa mambo tutaufahamu.
Huu ujinga wanaoufanya sasa jews kwa US state, inawezekana walianza kufanya hivyo hivyo kwa serikali za EU hapo zamani...
Wapo watu wenye akili sana ambao ni wakatili sana pia.
Hitler hakuwapiga vita tu jews, aliwauwa katika mauaji ya kimbari. Kama Hitler angesema Wayahudi ni watu wabaya tu na kuwataka kuondoka tu Ujerumani wala tusingekuwa na huu mjadala sasa hivi. Hitler wala haukuwa genius, alikuwa ni mwehu tu aliyapata madaraka kwa sababu ya raia wa Ujerumani waliojikatia tamaa kutokana na hali ngumu ya maisha ambayo ilichangiwa kiasi kikubwa na makosa yaliyofanywa na nchi za magharibi kwa Ujerumani wakati wa kumaliza vita vya kwanza vya dunia. Kuna viongozi wengi tu wajinga na wehu duniani waliopata madaraka kwa bahati bila mikakati yoyote mikubwa, Hitler ni mmojawapo.
 
Israel haipambani tu na Islamists wakiongozwa na Muslim brotherhood ambao wamepenyeza antisemitic agenda yao kwenye vyuo vikuu vya Marekani na Whitehouse, bali pia Israel inapambana na mfumo wa Kikomunists/Kisoshalisti. Mfumo huu una mizizi yake Urusi na Uchina. Hata hivyo kwa bahati mbaya unatekelezwa pia na baadhi ya vyama vya nchi za magharibi. Mfano Labour- UK, Democrat- USA, Uhispania, viongozi mmoja mmoja kama Justine Trudeau
Hivyo, tegemea kauli kama hizo toka watu kama Professor Jeffrey Sachs.
Very good sentiment, wachangiaji wengi wanafikiri issue tunayoongelea ni kama discussion za mziki ya diamond na Alikiba, au mabishano ya kwenye vijiwe vya kahawa.

Mimi nilibahatika kusoma kitabu kimoja kinaitwa social differention and classification by Cecil Rhodes (1926), uzuri supe- specialization yangu ikibobea kenye phychology and socialogy. Nikilink zile classic and contemporaly social theories ( Classic-Maxist Leninist and many contemporalies ) , hapa nakubali suala lako la ukomunist na Ushoshalist.

Lakini nikija kwenye kuibuka kwenye social differentiation and stratification kwa marekani na role ya Israels- zoonist members walivyoweza kujipenyeza kwenye nyanja kuu zote za uchumu na maamuzi ngazi zote ndani ya marekani miongo zaidi ya kumi iliyopita mwanzoni kuanzia 1902-todate. Utagundua Yale mabadiliko ya mfumo wa viwanda na science ya kielectronic hawa mazoonist ndio walispearhead ugunduzi na udenelezaji ndani ya marekani, lakini ukija kipolitics hawa jamaa ndio ma- think tankers wa vyama vikuu vya marekani na wengi ndio madecision makers-wakivaa umarekani. Ndio maana nikasema tusitoe maoni kama vijiwe vya kahawa.nI Lazima turejee kwenye historia za kisiasa , kiuchumi na kidiplomasia
 
Israel haipambani tu na Islamists wakiongozwa na Muslim brotherhood ambao wamepenyeza antisemitic agenda yao kwenye vyuo vikuu vya Marekani na Whitehouse, bali pia Israel inapambana na mfumo wa Kikomunists/Kisoshalisti. Mfumo huu una mizizi yake Urusi na Uchina. Hata hivyo kwa bahati mbaya unatekelezwa pia na baadhi ya vyama vya nchi za magharibi. Mfano Labour- UK, Democrat- USA, Uhispania, viongozi mmoja mmoja kama Justine Trudeau
Hivyo, tegemea kauli kama hizo toka watu kama Professor Jeffrey Sachs.
Asilimia 70% ya Wayahudi wa Marekani ni Democrats, Wayahudi waliofanikiwa kufika ngazi za juu zaidi katika serikali ya Marekani ni kupitia Democrats kama Kiongozi wa Seneti Chuck Schumer, Waziri wa mambo ya Nje, Antony Blinken, Mwanasheria mkuu Merrick Garland, Gavana Josh Shapiro n.k Wayahudi wengi hata wa kawaida ni Liberals sio conservatives.

Karl Marx na Leon Trotsky ambao ni pioneers wakubwa wa ujamaa karne ya 19 walikuwa ni Wayahudi.
 
Wapo watu wenye akili sana ambao ni wakatili sana pia
Hitler hakuwapiga vita tu jews, aliwauwa katika mauaji ya kimbari. Kama Hitler angesema Wayahudi ni watu wabaya tu na kuwataka kuondoka tu Ujerumani wala tusingekuwa na huu mjadala sasa hivi. Hitler wala haukuwa genius, alikuwa ni mwehu tu aliyapata madaraka kwa sababu ya raia wa Ujreumani waliojikatia tamaa kutokana na hali ngumu ya maisha ambayo ilichangiwa kiasi kikubwa na makosa yaliyofanywa na nchi za magharibi kwa Ujerumani wakati wa kumaliza vita vya kwanza vya dunia. Kuna viongozi wengi tu wajinga na wehu duniani waliopata madaraka kwa bahati bila mikakati yoyote mikubwa.
Kumchukia Hitler na kumuona ni muovu haithibitishi kwamba jamaa alikuwa hana akili.

Ukiniuliza mimi nitakuambia Hitler alikuwa na akili tena nyingi sana, huo ugumu wa maisha nchini Germany inabidi uelewe kwamba katika hiko kipindi Germany ilikuwa inapitia mfumuko wa bei wa hatari na matatizo mengi lakini huwezi amini jamaa alimaliza matatizo ya mfumuko wa bei ndani ya nusu mwaka tu!! na alifanya hadi watu wakashangaa...

Kwa mambo aliyofanya huwezi kusema alikuwa ni mtu wa kawaida, fikiria alitokea maisha magumu ya kutokuwa na kitu imagine alishakuwa mchoraji na kufikia hatua ya kuiongoza karibu Ulaya nzima...
Katika kipindi chake Germany iliendelea zaidi kiteknolojia , ukifuatilia maisha ya jamaa, mambo aliyofanya na elimu ndogo aliyokuwa nayo utagundua Hitler alikuwa genius na charismatic pia.
 
Ni kweli kabisa hayo unayosema, huyo Hitler sio mwendawazimu. Hata Queen Elizabeth hajawahi kumualika kiongozi yeyote wa Israel kwenye palace yake. Alisema kila muisrael ni either terrorist or son of a terrorist. Cheki hii clip hapo chini waliwafanyia waingereza


View: https://youtu.be/B0UVXx1o8A0?si=c9LYAdYrtF30_n1e

Huyu msemaji hapa unajua ni nani? Anyway, sio vizuri ku discuss a person instead of the issue he provided. Lakini let's check the truth of what he said about Israel and British. Hivi si ni Uingereza ndio iliowarudisha hao watu pale walipo leo? Si tunaambiwaga humu kwamba British and USA ndio wanao wasaidia hawa jamaa everything including military equipment? Kuna uzi humu unazungumzia kipigo anacho kipata Houth wa Yemen, kwamba kipigo kile kipo organized na USA, British na Israel? So yote hayo Israel anaweza pewa support na British bila malkia/mfalme kukubaliana na PM? Uongo.
Nimzungumzie kidogo msemaji huyu; huyu jamaa ni mtangazaji wa Press TV mali ya Iran; unadhani huyu anaweza kusema nini ili wanae waende chooni?
 
Kumchukia Hitler na kumuona ni muovu haithibitishi kwamba jamaa alikuwa hana akili.

Ukiniuliza mimi nitakuambia Hitler alikuwa na akili tena nyingi sana, huo ugumu wa maisha nchini Germany inabidi uelewe kwamba katika hiko kipindi Germany ilikuwa inapitia mfumuko wa bei wa hatari na matatizo mengi lakini huwezi amini jamaa alimaliza matatizo ya mfumuko wa bei ndani ya nusu mwaka tu!! na alifanya hadi watu wakashangaa...

Kwa mambo aliyofanya huwezi kusema alikuwa ni mtu wa kawaida, fikiria alitokea maisha magumu ya kutokuwa na kitu imagine alishakuwa mchoraji na kufikia hatua ya kuiongoza karibu Ulaya nzima...
Katika kipindi chake Germany iliendelea zaidi kiteknolojia , ukifuatilia maisha ya jamaa, mambo aliyofanya na elimu ndogo aliyokuwa nayo utagundua Hitler alikuwa genius na charismatic pia.
Kipindi Hitler anaingia madarakani dunia ilikuwa katika anguko kubwa la uchumi(Great Depression 1929-1939), karibu mataifa yote ya makubwa duniani uchumi ulidorora. Hitler alipoingia madarakani aliiga tu zaidi kile alichokuwa anafanya Rais Franklin D Roosevelt wa Marekani kupitia mpango wa New Deal akaongezea na kupeleka raia wengi jeshini na kwenye viwanda vya silaha kama njia ya kutatuta tatizo la ajira huku anajipanga kwa vita, hakuna maajabu yoyote ya kiuchumi aliyofanya . Ni katika kipindi chake wanasayansi wengi sana hasa Wayahudi kama kina Einstein walitoroka ujerumani.
 
Kitu hatujui ni kuwa
1. Federal Reserve private bank owned na Jews matajiri with satanic mind.
2. Hakuna serkali itafanya aganist Jews na kue delea kuishi kwani those secrete societies mostly are Jews units kuleta chaos duniani
3. Hatujui kuwa USA ni mkono wake na hana uwezo wa kujitetea
 
Kipindi Hitler anaingia madarakani dunia ilikuwa katika anguko kubwa la uchumi(Great Depression 1929-1939), karibu mataifa yote ya makubwa duniani uchumi ulidorora. Hitler alipoingia madarakani aliiga tu zaidi kile alichokuwa anafanya Rais Franklin D Roosevelt wa Marekani kupitia mpango wa New Deal akaongezea na kupeleka raia wengi jeshini na kwenye viwanda vya silaha kama njia ya kutatuta tatizo la ajira huku anajipanga kwa vita, hakuna maajabu yoyote ya kiuchumi aliyofanya . Ni katika kipindi chake wanasayansi wengi sana hasa Wayahudi kama kina Einstein walitoroka ujerumani.
Brazil ilichukua miaka 15 kumaliza tatizo la inflation, Hitler ilimchukua nusu mwaka, hivi unaelewa nusu mwaka...?

Umeongea simple sana as if ni kitu rahisi tu... lakini si kweli..
 
Brazil ilichukua miaka 15 kumaliza tatizo la inflation, Hitler ilimchukua nusu mwaka, hivi unaelewa nusu mwaka...?

Umeongea simple sana as if ni kitu rahisi tu... lakini si kweli..
Hakukuwa na tatizo kubwa la mfumuko wa bei (hyperinflation) wakati Hitler anaingia madarakani, wakati huo anaingia tatizo kubwa Ujerumani lilikuwa ni ukosefu wa ajira(unemployment).
 
Kumchukia Hitler na kumuona ni muovu haithibitishi kwamba jamaa alikuwa hana akili.

Ukiniuliza mimi nitakuambia Hitler alikuwa na akili tena nyingi sana, huo ugumu wa maisha nchini Germany inabidi uelewe kwamba katika hiko kipindi Germany ilikuwa inapitia mfumuko wa bei wa hatari na matatizo mengi lakini huwezi amini jamaa alimaliza matatizo ya mfumuko wa bei ndani ya nusu mwaka tu!! na alifanya hadi watu wakashangaa...

Kwa mambo aliyofanya huwezi kusema alikuwa ni mtu wa kawaida, fikiria alitokea maisha magumu ya kutokuwa na kitu imagine alishakuwa mchoraji na kufikia hatua ya kuiongoza karibu Ulaya nzima...
Katika kipindi chake Germany iliendelea zaidi kiteknolojia , ukifuatilia maisha ya jamaa, mambo aliyofanya na elimu ndogo aliyokuwa nayo utagundua Hitler alikuwa genius na charismatic pia.
Na sio Hitler peke yake aliesema wayahudi ndio chanzo cha matatizo ya uchumi...infact Wayahudi walifukuzwa Ulaya yote...Kwa kusababisha matatizo ya kiuchumi Kila nchi wanayoenda..."compound interest" au "usury" ndo chanzo cha matatizo ya Wayahudi na nchi zote za Ulaya walizofukuzwa...banking system inayowafanya wao wawe matajiri...wenye nchi wawe masikini...wanatimuliwa..wao wanaleta propaganda kuwa wanatimuliwa sababu watu Wana chuki na ubaguzi...wakati ukweli ni watu wa hila na mbinu chafu za kushikilia uchumi....na kuchonganisha nchi mbalimbali na kufanya biashara za silaha....Mama yao na kina Rothschild aliwahi nukuliwa akisema..."if my sons wants war ,there will be war"...hapo anazungumzia world war...pata picha
 
Back
Top Bottom