IRAN Umejichanganya uyo Tramp ataigusa iyo Nchi Toka kuumua yule kamanda wa IRAN misukosuko aliopitia na Bado anajua Wairan Wanamuinda tena Awachokoze !!!!!
Chengine IRAN ana technology kubwa ya kisasa kwenye Makombora yao ambayo Marekani awana inawatatiza!! Ukiacha mahaba yako kwa Israel!!!!
unajua Telaviv ilikuwa Ikipigwa na technology ya IRAN wameshindwa kuizuiya!! Alafu tena Wakamchokoze kama ndio Ndoto yako ata Netanyahu na Tramp wanaiyo ndoto akilini mwao!!!
lkn IRAN awezekani kwasasa Adi Wawajue Technology yao na watest wanaweza kweli mzibiti!!
ndio Wamchokoze kwasasa Chini ya Tramp kunauwezekano mkubwa kuundwa Taifa la Palestina tofauti na kile Tramp anakiongea kwenye MEDIA Wasomi wengi kwasasa Marekani wanaunga mkono Palestina iwe Taifa!!
kuendelea kuwauwa Wapalestina kwasasa kutaatalisha Usalama wa Marekani!!!! Washafanya Tasmini ali ni tete ndani yao Wenyewe!