Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Haya sasa. Professor kawakumbusha jambo muhimu kweli. Tunataka kuiona 'Demokrasia ya Kweli' tunayohubiriwa kila siku humu mtandaoni ikifanyika kwa vitendo.Mwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu meya.
Mwenyekiti huyo kasema kuanzia sasa usawa katika kugawana viti lazima uwepo kama kweli umoja huo ni manufaa kwa vyama vyote. Na sio kuburuzwa na chama kimoja
Hili muungano huwe na tija ni lazima kuwe na usawa ndicho anachopigania mzeeninachokiona hapa ni Kila chama kisimame kivyake....ili halmashauri zirudi CCM
Lazima nyeupe na Mr Zero wachanganyikiweUwiiiii naiona kesho iliyopasuka
Lowassa hana nguvu yoyote.....ilikuwa nguvu ya UKAWA.hao madiwani wenyewe walipatikana kwa nguvu ya lowasa..wakati yeye amekimbia kambi......huyu LIPUMBA is being widely used
hahahahah safi sana prof
Mwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu meya.
Mwenyekiti huyo kasema kuanzia sasa usawa katika kugawana viti lazima uwepo kama kweli umoja huo ni manufaa kwa vyama vyote. Na sio kuburuzwa na chama kimoja
Twende taratibu...Hili muungano huwe na tija ni lazima kuwe na usawa ndicho anachopigania mzee
Lowassa hana nguvu yoyote.....ilikuwa nguvu ya UKAWA.
CCM ndo walio sema kupitia kwa lipumba na kwa jitihada zake mayor atatoka ccmMwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu meya.
Mwenyekiti huyo kasema kuanzia sasa usawa katika kugawana viti lazima uwepo kama kweli umoja huo ni manufaa kwa vyama vyote. Na sio kuburuzwa na chama kimoja
Kama ni hivyo kila chama kingekomaa kivyake kulikuwa kuna haja gani ya muungano apo mkuuTwende taratibu...
Kinondoni CUF wako wangapi na CHADEMA wangapi?
Ubungo CUF wangapi na CHADEMA wangapi?
profesa hajui kwanini cuf ni manaibu meya? ana lake huyo ... yangu macho ... ukawa kwishaMwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu meya.
Mwenyekiti huyo kasema kuanzia sasa usawa katika kugawana viti lazima uwepo kama kweli umoja huo ni manufaa kwa vyama vyote. Na sio kuburuzwa na chama kimoja
kweli kabisa Prof usikubali CUf kutawaliwa na chadema...Mwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu meya.
Mwenyekiti huyo kasema kuanzia sasa usawa katika kugawana viti lazima uwepo kama kweli umoja huo ni manufaa kwa vyama vyote. Na sio kuburuzwa na chama kimoja