Tetesi: Professor Lipumba: Lazima tugawane Umeya wa Kinondoni na Ubungo

Tetesi: Professor Lipumba: Lazima tugawane Umeya wa Kinondoni na Ubungo

Huyu MZEE Lipumba ni mzima kabisa tu...ila kabisa inaonekana kuna agenda ya siri nyuma ya pazia kwenye sakata hili...yote kwa yote ni kuubomoa ukawa na upinzani kwa ujumla wasiposimama kidete....tutarudishiwa enzi za ZIDUMU FIKRA SAHIHI ZA....
DHANA TU, KARIBU ACT WAZALENDO.
 
Kwani Magamba (Mafisiem) nafasi yao ikoje kwenye post hizo za umeya Kinondoni na Ubungo. Mbona Lipumba anataka wagawane CHADEMA na CUF pekee?
 
Kama ni hivyo kila chama kingekomaa kivyake kulikuwa kuna haja gani ya muungano apo mkuu

Lazima tukubali kuwa kuna proportional arrangements

Lipumba amekuja kwa mission ya kuwagawa....hapa simple tu...CHADEMA wasimame wao kama wao na CUF wao kama wao...na CCM pia...ili watu waweze ku realize Lipumba ametumwa na nani?

halafu anataka apewe ofa hiyo na UKAWA ambayo bado Lowasa yupo na yeye hamtaki lowasa....ujinga mtupu

Huu ni wakati wa kutokucheka na mtu
 
Mnadhani hao madiwani hawajielewi...?? Kwa dar hata uchaguzi urudiwe leo wakiwa madiwani wa cuf ccm na cdm lazima cdm ishinde kwa kishindo..
 
Chadema nawashauri mvunje ushirikiano na CUF ya Lipumba na mueleze bayana kwamba hamumtambui. CUF inayotambulika inaongozwa na Maalim seif na Julius Mtatiro.
 
Huo umoja yeye si alishaukataa?
Kama mwenyekiti wa CUF akiwa Lipumba this time around, bora UKAWA ivunjwe tu mapema ili kila chama kijipange kivyake. Maana huyu anakoelekea atavujna umoja huo 2020 kwa maslahi ya CCM

Wakati anaunda UKawa Mlikuwa bize na Lowassa kwny Harambee akiwa CCM Leo mnajifanya ndio waasisi wa UKawa!
Kauli mbiu ya CUF ni haki sawa kwa wote lazima Umeya mgawane sawa sio wenzenu kuwa Manaibu tu!
 
Prof anajichanganya sana, mara hataki umoja, mara anataka kugawana

He is splitting upinzani ili kuipisha CCM... This is a true shame to once a great and highly respected politician
Huo umoja yeye si alishaukataa?
Kama mwenyekiti wa CUF akiwa Lipumba this time around, bora UKAWA ivunjwe tu mapema ili kila chama kijipange kivyake. Maana huyu anakoelekea atavujna umoja huo 2020 kwa maslahi ya CCM
 
Wakivunja Ushirikano CCM itachukua Mameya wote kwa kuwa kwa chama kimoja Kimoja CCM Ina madiwani wengi zaid
Katika madiwani na wabunge wa CUF wapo katika makundi mawili 1. Wapo wanaompinga Lipumba ambao ndio wengi na wapo wanaomkubali. Chadema itangaze kuwa ipo sambamba na CUF ya maalim seif na Mtatiro. Lipumba hana wafuasi ana wahuni.
 
Lazima tukubali kuwa kuna proportional arrangements

Lipumba amekuja kwa mission ya kuwagawa....hapa simple tu...CHADEMA wasimame wao kama wao na CUF wao kama wao...na CCM pia...ili watu waweze ku realize Lipumba ametumwa na nani?

halafu anataka apewe ofa hiyo na UKAWA ambayo bado Lowasa yupo na yeye hamtaki lowasa....ujinga mtupu

Huu ni wakati wa kutokucheka na mtu
Upo sahihi mkuu ngoja tusubiri muda utaonge tu
 
Ni bora sasa UKAWA wakawa makini sana na huyu jamaa maana inaonekana kaja kuivunja vunja UKAWA.ikiwezekana CUF wamwachie hicho chama wabadili jina
 
Katika madiwani na wabunge wa CUF wapo katika makundi mawili 1. Wapo wanaompinga Lipumba ambao ndio wengi na wapo wanaomkubali. Chadema itangaze kuwa ipo sambamba na CUF ya maalim seif na Mtatiro. Lipumba hana wafuasi ana wahuni.

Hata wahuni kura zao ni halali!
 
Bora Prof umekuja,utawakeep busy kidogo UKAWA,manake walikosa cha kufanya wakaona cha kufanya ni kutoka toka nje ya bunge.
 
Chadema nawashauri mvunje ushirikiano na CUF ya Lipumba na mueleze bayana kwamba hamumtambui. CUF inayotambulika inaongozwa na Maalim seif na Julius Mtatiro.

Lakini naona wale Wabunge Wa CUF kule bungeni wataachwa solemba.....wameshirikiana bungeni vizuri sana...that's what we all wanted
 
Kwa nini ionekane hili ndio lina mkono wa CCM na sio lile la Edo kutoka CCM kama 'reject' na kuibukia Chadema kama shujaa?
 
Back
Top Bottom