imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Hewaaa!! ndicho kinachotakiwa waingie kwenye mgogoro wasahau ukuta wao swadaktaa.HAPO SAWA.Chadema nawashauri mvunje ushirikiano na CUF ya Lipumba na mueleze bayana kwamba hamumtambui. CUF inayotambulika inaongozwa na Maalim seif na Julius Mtatiro.