kisanzala
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 440
- 252
ondoa nenolako la prof usiizalilishe elimu hakuna prof paleChadema walizoea mteremko, Prof ameamua kukatisha safari yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ondoa nenolako la prof usiizalilishe elimu hakuna prof paleChadema walizoea mteremko, Prof ameamua kukatisha safari yao.
Mkuu kwa sasa ni lazima CUF na chadema watambuwe kwamba kirusi kimeingia hakuna namna zaidi ya kumtenga huyu jamaa.Lakini naona wale Wabunge Wa CUF kule bungeni wataachwa solemba.....wameshirikiana bungeni vizuri sana...that's what we all wanted
Lipumba kwa katiba ya chama amejivua uenyekiti kwa hiyo yeye kisheria sio mwenyekiti kwahiyo kesho la kwanza akajitetee huo uanachama wake maana upo hatarini kwa uharamia wake alioufanyaMwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu meya.
Mwenyekiti huyo kasema kuanzia sasa usawa katika kugawana viti lazima uwepo kama kweli umoja huo ni manufaa kwa vyama vyote. Na sio kuburuzwa na chama kimoja
Yeye ndiye aliyeanzisha na kubuni jina UKAWA........ana haki.
Chadema walizoea mteremko, Prof ameamua kukatisha safari yao.
Naona Lipumba anataka kuirudisha heshima ya CUF iliyopotea.
Vibaka nyie walafi wa madaraka hamuwezi kumburuza profUwiiiii naiona kesho iliyopasuka
Pesa kwanzaVibaka nyie walafi wa madaraka hamuwezi kumburuza prof