Tetesi: Professor Lipumba: Lazima tugawane Umeya wa Kinondoni na Ubungo

Tetesi: Professor Lipumba: Lazima tugawane Umeya wa Kinondoni na Ubungo

Mwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu meya.

Mwenyekiti huyo kasema kuanzia sasa usawa katika kugawana viti lazima uwepo kama kweli umoja huo ni manufaa kwa vyama vyote. Na sio kuburuzwa na chama kimoja
Ni sawa kwani Prof. kama karudi nanayeye ni Ukawa hizi ni sarakasi na sinema za vyama vya upinzani. ngoja tuune haki sawa ikoje.
 
Haki sawa kwa wote kama CUF wanavosemaga siyo kila kitu CHADEMA hiyo siyo demokrasia ni ukoloni mamboleo ambao MBOWE amekuwa akiiendeleza kwa ubabe wake!

Makabuliano ya ukawa yalikuwa ya hovyo ,sana na maalim hakuwa mzalendo kwa chama chake ,cha CUF , MBOWE YEYE ALIHAKIKISHA MASLAHI YA CDM yanalindwa kwa mgongo wa ukawa , CUF ,wanalia njaa kwa kuwa ,kura za urais kutokuwepo ,ambazo kimsingi ndizo zinatumika kukokotoa ruzuku yao ,pamoja na kuwa na wabunge wengi haijawasaidia CUF , maalim angekuwa mzalendo ,angeweka msingi mzuri walau nao chadema watoe 20% Ya ruzuku ili iweze kuendeleza vyama vingine baada ya kutopewa nafasi ya mgombea wa uraisi, hivyo hivyo CDMA IMEENDELEA KUWABURUZA CUF ,KWENYE UMEA ,KILA KITU WAO ,CUF BAADAE HALAAFU WANASEMA NENO UKAWA ,HUU NI UNAFIK, NA KWA MWANACHAMA YOYOTE WA CUF ,LAZIMA ALIONE HILI SWALA ,KAMA DEMAGE KWA FUTURE YA CUF ,profesa angekuwepo asingekubali huo ujinga
 
Tatizo lako unaongea ukirukia kila kona.Tuko kwenye issue ya Lipumba kurudi CUF,Jadili hilo hayo mengine hayapo yaache au anzisha uzi tujadili
Nilikuwa nakutahadharisha tuuh juu ya hilo na kuweka mambo sawa juu ya upotoshaji uliokuwa unataka kufanya humu!
 
Mwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu meya.

Mwenyekiti huyo kasema kuanzia sasa usawa katika kugawana viti lazima uwepo kama kweli umoja huo ni manufaa kwa vyama vyote. Na sio kuburuzwa na chama kimoja
Nani kakwambia kuwa Lipumba ni mwenyekiti wa cuf?
 
Huo umoja yeye si alishaukataa?
Kama mwenyekiti wa CUF akiwa Lipumba this time around, bora UKAWA ivunjwe tu mapema ili kila chama kijipange kivyake. Maana huyu anakoelekea atavujna umoja huo 2020 kwa maslahi ya CCM
Mkuu lipumba ni pandikizi hiyo haina ubishi kabisa na bila cuf kuwa makini watajikuta wanapoteza hata kile walicho nacho mkononi
1474889029181.jpg
 
Mwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu meya.

Mwenyekiti huyo kasema kuanzia sasa usawa katika kugawana viti lazima uwepo kama kweli umoja huo ni manufaa kwa vyama vyote. Na sio kuburuzwa na chama kimoja
Amesema hivyo wapi na lini??
Iseje kua kama zile msg za Whatsapp mnazosemaga kasema Robert Mugabe au Hashim Rungwe wakati uongo
 
CCM si wamuite wampe kadi tu awe mwanachama kwanini wanamtumia kufanya fitna kwa wenzie.
 
Kwa nini ionekane hili ndio lina mkono wa CCM na sio lile la Edo kutoka CCM kama 'reject' na kuibukia Chadema kama shujaa?
Umesahau ile reject ya msindae kupokelewa ndani ya ccm kama shujaa?
 
Back
Top Bottom