Tetesi: Professor Lipumba: Lazima tugawane Umeya wa Kinondoni na Ubungo

Tetesi: Professor Lipumba: Lazima tugawane Umeya wa Kinondoni na Ubungo

ondoa nenolako la prof usiizalilishe elimu hakuna prof pale
1474889430483.jpg
 
Tujue kalipwa ngapi hizo. He must be mad or something. Kwenye sehemu ambayo Cuf wameshinda ubunge kuna mtu aliyewaingilia.
Kumbe ameletwa na ccm kwa kazi hiyo 🙂
What a shame on ccm and Lipumba 🙂
Whhat cheap politics.
 
Ndugu zangu nawashauri Madiwani wa CUF wasikubali kudanganywa na Lipumba. Aliwaaacha wakati wa shida katikati ya mchakato wa uchaguzi mkuu 2015. Kura walizopata zilitokana na jitihada za huyo aliyemkataa yaani Edward Lowassa. Kwa mantiki hiyo hapaswi kudai chochote kilichopatikana kutokana na kazi iliyofanywa na UKAWA. Alibwanga manyanga akakimbia kwenda kuungana na Interhamwe wenzake kuhujumu upinzani. Kama kweli Lipumba ana busara itokanayo na malezi ya wazazi wake ni vizuri aitumie fursa aliyo nayo kuunganisha makundi aliyoyaanzisha ndani ya CUF badala ya kukibomoa chama hicho kilichojengwa kwa jasho jingi sana.
Madiwani wa UKAWA tumieni busara zenu ili msipoteze kidogo mlicho nacho. Anachofanya Lipumba ni kuwagawa madiwani wa UKAWA ili CCM ipenye na kushindani chaguzi za halmashauri hizo. Lipumba hivi laana hii unapeleka wapi?
 
Lazima propesa pumba aelewe kua ukawa ni sawa na nato
Propesa ndo nini! UKAWA imejaa wahuni ambao kwao shule ni tatizo sanaa kama viongozi wao;

1. KUBENEA shule ziro

2.Sugu shule ziro

3. MBOWE shule ziro

4. Mnyika shule ziro

5. LEMA shule ziro

Kweli inahaja kuwashika kwa ulazima kuwapeleka hawa watu shule ili waache utapeli na uhuni kwenye siasa!
 
Hoja hapa hakuna...
Huyu Mwenyekiti feki wa Msajili halishajivua hayo mamlaka..
Nachelea kuwaelewa mnamduscus mtu ambaye hana legitimate kwanza, pili matamko yake...

Tulizeni bolii Mamlaka iliyopewa/kuteuliwa ifanye kazi na sio huyu mchwara na matamko yake uchwara
 
Mwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu meya.

Mwenyekiti huyo kasema kuanzia sasa usawa katika kugawana viti lazima uwepo kama kweli umoja huo ni manufaa kwa vyama vyote. Na sio kuburuzwa na chama kimoja
Yote inategemea CUF wana madiwani wangapi na CHADEMA wangapi. Mwenye madiwani wengi ndo nakuwa diwani.
 
Haya sasa. Professor kawakumbusha jambo muhimu kweli. Tunataka kuiona 'Demokrasia ya Kweli' tunayohubiriwa kila siku humu mtandaoni ikifanyika kwa vitendo.
Demokrasia ya kweli ni ya wengi wape, je ikifanyika hivyo madiwani wa CUF wana kula za kutosha kugombea umeya?
 
Ha ha ha akili za mtanzania bwana!....huyo huyo uliyemkimbia na kumkana kama Fisadi ndio kakupa madiwani unaojipiga kifua kuwa mgawane umeya! Kama wewe mwanaume kweli na msomi wa PhD usiwatambue na Hao madiwani wa CUF waliopatikana kwa mgongo wa huyo uliyemkimbia! shame!
Mkuu huyo jamaa sio yule ni kama wa kuchongwa,sijui kimtokea kitu gani.
 
Huo umoja yeye si alishaukataa?
Kama mwenyekiti wa CUF akiwa Lipumba this time around, bora UKAWA ivunjwe tu mapema ili kila chama kijipange kivyake. Maana huyu anakoelekea atavujna umoja huo 2020 kwa maslahi ya CCM
Hata UKAWA ukiwepo 2020 hautakuwa na manufaa yoyote kwa kuwa CDM haitakuwa na Mgombea Tishio tena. Wakimsimamisha Lowassa ndio watashindwa vibaya hawatakaa waamini Kabisa!
 
Mbona kaamua kujidhalilisha kiasi hiki huyu mzee jamani LIPUMBAVU???.
 
Hata UKAWA ukiwepo 2020 hautakuwa na manufaa yoyote kwa kuwa CDM haitakuwa na Mgombea Tishio tena. Wakimsimamisha Lowassa ndio watashindwa vibaya hawatakaa waamini Kabisa!
Basi fulahi make ndo huyo anayeenda kugombea tena.
 
Anataka wagawane UMEYA na chadema kwa misingi ipi kwa nn isiwe ccm au amekuja kwa ajili ya Chadema tu?????
Aliukana ukawa kwa sababu walimpokea mtu ambaye yy hakuwa sahihi kwake sasa anataka umoja ulele ndio wagawane nae UMEYA au kaambiwa kuwa Mkubwa Lowassa kasepa nn???
 
Mwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu meya.

Mwenyekiti huyo kasema kuanzia sasa usawa katika kugawana viti lazima uwepo kama kweli umoja huo ni manufaa kwa vyama vyote. Na sio kuburuzwa na chama kimoja
Huyo Li...pumba mambo ya UKAWA yanamhusu nini? si alidaka akasepa? anajua hata hao madiwani wamepatikanaje?
 
Mkuu tuliza akili CUF haiwezi kujitambua kupitia asiye mwanachama wa CUF pandikizi la chama cha wahuni MACCM.

Naona CUF wameanza kujitambua kupitia Lipumba.!
 
Back
Top Bottom