Professor Nabi anza na kikosi hiki kwenye mechi ya marudio dhidi ya Marumo Gallants

Nimemaanisha kipindi cha kwanza aanzishe walinzi na viungo wengi kwa lengo la kudhibiti mashambulizi ya Marumo Gallants kutokea eneo la kati na pembeni (hao jamaa ni bora sana katika maeneo hayo! Na ushahidi ni kwenye mechi iliyopita. Kiufupi kipindi cha kwanza pale kwa Mkapa, hali ilikuwa ni tete).

Kwa bahati mbaya akina Kisinda na Moloko ni viungo washambuliaji zaidi. Hivyo katikati pasipokuwepo na viungo wengi, timu itaruhusu mashambulizi na pia magoli. Halafu wakishadhibitiwa, ndipo kipindi cha pilo waingie sasa kwa ajili ya kumaliza mchezo.
 
Kumbe kama angetolewa mapema kama ulivyotaka inawezekana lile goli lisingepatikana, bado nakuona una kiburi sana kumfundisha kocha nini cha kufanya..
 
Kumbe kama angetolewa mapema kama ulivyotaka inawezekana lile goli lisingepatikana, bado nakuona una kiburi sana kumfundisha kocha nini cha kufanya..
Haya ni maoni yangu tu mkurugenzi nikiwa kama kocha mstaafu. Hayo mamlaka ya kumfundisha kocha nini cha kufanya nayatoa wapi? Kwanza nina uhakika hata jamii forums yenyewe haijui.
 

Professor anajua anachokifanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…