Professor Nabi na Morrison hali ni tete CAF CL

Professor Nabi na Morrison hali ni tete CAF CL

huyo gamond anatembelea nyota ya Nabi, ni sawa sa100 anavyotembelea nyota ya jiwe, kila kitu NABI alishaweka yeye anatumia tu.
Wachezaji 10 akiwemo mfungaji na mchezaji bora wa NBCPL,FA Cup pamoja na CAFCC ,Mayele ,wameondoka Yanga pamoja na benchi lote la ufundi,.Lakini bado Gamond anashinda na kuruhusu goli moja kwenye mechi za klmashindano Huku akifunga magoli 21,na kutinga hatua za makundi CAFCL.Bado unaamini katika maneno yako ya kijiwe cha kahawa kwa wazee wabishi tu bila data?
 
Nabi arudi tanzania..singida fortain get itamfaa kuinoa.
 
Ikiwa mechi ya pili ya marudiano kati ya Far Rabat na Etoil du Sahel, kocha wa zamani wa Yanga prof Nabi pamoja na mchezaji wa zamani mtukutu Morrison wana kibarua kigumu leo kufuzu michuano ya klabu bingwa hatua ya makundi.
Mechi ya awali iliisha kwa Far Rabat kufungwa goli moja na leo wakiwa nyumbani tayari wameshatanguliwa goli moja na wapo pungufu.

Kama mpira utaisha hivyo, maanake Nabi atakuwa amefundisha misimu zaidi ya mitatu na timu tofauti pasipo kuifikisha timu makundi katika mashindano ya klabu bingwa. Kila la kheri liwe juu yake siku ya leo.

Update
Far rabat wametolewa kwa aggregate ya magoli 3 kwa 1
Pole kwa Nabi na Morrison, huku Yanga imesonga mbele.
huo ndio mpira
 
Nabi hakuondoka vibaya YANGA wanaomsema ni aidha hawafuatilii mpira au upeo wao wa kuchanganua mambo ni mdogo sana. Alionyesha nia ya kuondoka huku akiwa ameiweka timu sehemu nzuri. Tumpe maua yake na tumtakie kila la kheri katika CAFCC.
Mkuu saivi ukitolewa CAFCL ndio basi tena, hakuna nafasi ya kudondokea CAFCC.
 
Mazaga zaga yote ya Utopolo yanajipambanua.. Nabi out, kaze hajashinda mechi, mayele magoli sifuri mechi 5, fei, bangala, djuma n.k. wapowapo tu
Hii inaleta maana halisi kuwa mafanikio ya Yanga yanaletwa na muungano wa watu na wala siyo mtu mmoja mmoja pekee Sasa hesabia hao wote wameondoka na huko walipo hawafanyi vyema lakini Yanga bado imara vile vile. Hakuna mkubwa kuliko taasisi ya Yanga.
 
Tayari ngao ya Jamii umekosa.
Kombe la Ligi utakosa pia...
Sema kingine
Ngao ya jamii imekoswa ni sawa
Je kigezo kipi kinachokufanya uwe mganga wa kienyeji kutabilia ligi kuu wakati ndio kwanza ni mzunguko wa tatu na bado Yanga kwa mechi hizi tatu wamefanya vizuri?
Vipi hatua ya makundi klabu bingwa mbona uliongelei?
Tupo wakati wa sasa, hilo la ngao ni wakati uliopita...
 
Nabi kipenzi cha sana Yanga ....maisha yaendelee
 
Yanga hii itapiga Fainali ya CAF champions,Yao Yao nzengeli seeee....Hawa Jamaa ñi balaaa. Leo akina Asha wa Msimbazii wanapigwa vidole viwili tenaaa!
 
huyo gamond anatembelea nyota ya Nabi, ni sawa sa100 anavyotembelea nyota ya jiwe, kila kitu NABI alishaweka yeye anatumia tu.
Wewe itakuwa sio mwananchi Bali hupendi mafanikio yake , hii sio comment yenye afya Hata kidogo, vizuri sasahivi yanga inaendeshwa na watu wenye elimu sio Kama zamani zile !
Yanga ni timu ya kucheza fainali au ubingwa kabisa wa afrika kwa ukongwe wake tatizo kwa Miaka mingi viongozi wa zamani walitumia migogoro kujinufaisha au umamluki .
1. Mgogoro wa 1976 na 1977 wakafungwa na simba baada ya timu yote kuvunjika na kuwa pan African

2. 1998 ilivyoingia makundi cafcl kwa kishindo viongozi wakabadilisha kocha katikati ya mashindano kwa kumtoa Tito mwaluvanda aliyewavusha na kumleta Raul shungu ambae Hana uzoefu mkubwa na kusajili wacheza mamluki

Sasahivi kuna watu wenye elimu hawakurupuki hovyo rejea ilivyofungwa na simba ikaenda kuweka historia kuwa timu ya kwanza Tanzania kucheza fainali kubwa afrika( cafcc Ina hadhi kubwa kuliko caf cup ) .

Nabi amefanya kazi nzuri yanga there is always next time , atajipanga kwa safari inayo
 
Back
Top Bottom