Professor Nabi na Morrison hali ni tete CAF CL

Professor Nabi na Morrison hali ni tete CAF CL

Kwa matokeo haya watamtimua, hii fursa kwa Azam kumpa Nabi ukocha mkuu, pia kumchukua mayele kwa mkopo, Kwan nafas ya mayele NI finyu pale pyramid
 
Kwa matokeo haya watamtimua, hii fursa kwa Azam kumpa Nabi ukocha mkuu, pia kumchukua mayele kwa mkopo, Kwan nafas ya mayele NI finyu pale pyramid
Azam sio timu ya mafanikio , Kama mayele atatoka pyramid atarudi nyumbani yanga
 
Hii sheria ingetakiwa kuanza mwaka jana, timu inafeli inatolewa halafu inabebwa, sio sawa kabisa
Mimi nadhani ingeanzia msimu wa 2021/2022 maana timu hazikuanzia kubebwa mwaka jana, hii shera ingetumika kuna timu isingefika hatua ya kuchoma moto viwanja vya watu kule kwa Madiba.
 
Back
Top Bottom