ukawa dona
JF-Expert Member
- Feb 8, 2023
- 516
- 887
Kwa matokeo haya watamtimua, hii fursa kwa Azam kumpa Nabi ukocha mkuu, pia kumchukua mayele kwa mkopo, Kwan nafas ya mayele NI finyu pale pyramid
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azam sio timu ya mafanikio , Kama mayele atatoka pyramid atarudi nyumbani yangaKwa matokeo haya watamtimua, hii fursa kwa Azam kumpa Nabi ukocha mkuu, pia kumchukua mayele kwa mkopo, Kwan nafas ya mayele NI finyu pale pyramid
Hii sheria ingetakiwa kuanza mwaka jana, timu inafeli inatolewa halafu inabebwa, sio sawa kabisaMkuu saivi ukitolewa CAFCL ndio basi tena, hakuna nafasi ya kudondokea CAFCC.
Kwa hili Engineer Hersi apewe maua yake.Hii inaleta maana halisi kuwa mafanikio ya Yanga yanaletwa na muungano wa watu na wala siyo mtu mmoja mmoja pekee Sasa hesabia hao wote wameondoka na huko walipo hawafanyi vyema lakini Yanga bado imara vile vile. Hakuna mkubwa kuliko taasisi ya Yanga.
Mimi nadhani ingeanzia msimu wa 2021/2022 maana timu hazikuanzia kubebwa mwaka jana, hii shera ingetumika kuna timu isingefika hatua ya kuchoma moto viwanja vya watu kule kwa Madiba.Hii sheria ingetakiwa kuanza mwaka jana, timu inafeli inatolewa halafu inabebwa, sio sawa kabisa
Inge anza mwaka juziHii sheria ingetakiwa kuanza mwaka jana, timu inafeli inatolewa halafu inabebwa, sio sawa kabisa