Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Tuangalie Mzunguko au Faida ?Hii inawhusu zaidi ambao huiga biashara bila kutafakari kwa kina,
Ni muhimu sana kufuatilia asilimia ya profitability
Huwezi kuwa na mtaji wa milioni 1 uanze kufanya biashara yenye faida ya 5%
Utachelewa sana
Kwangu Mimi mzunguko Mkubwa wa 5 % ni bora zaidi kuliko Mzunguko Mdogo wa 10 % !!!Hii inawhusu zaidi ambao huiga biashara bila kutafakari kwa kina,
Ni muhimu sana kufuatilia asilimia ya profitability
Huwezi kuwa na mtaji wa milioni 1 uanze kufanya biashara yenye faida ya 5%
Utachelewa sana
Ok tufanya una mzunguko mkubwa kila mwezi unauza milioni 5Kwangu Mimi mzunguko Mkubwa wa 5 % ni bora zaidi kuliko Mzunguko Mdogo wa 10 % !!!
Profit ya 10% kwa hiyo 1M uliyotaja hufiki popote unafunga virago unatafuta kibarua kubeba zege.Hii inawhusu zaidi ambao huiga biashara bila kutafakari kwa kina,
Ni muhimu sana kufuatilia asilimia ya profitability
Huwezi kuwa na mtaji wa milioni 1 uanze kufanya biashara yenye faida ya 5%
Utachelewa sana
Hata uwe na mzunguko mkubwa kiasi gani, mtaji mdogo na faida ni 5% unaishia kusifiwa na kuitwa majina uchwara ya Mgosi sijui Mzigua na huendelei.Kwangu Mimi mzunguko Mkubwa wa 5 % ni bora zaidi kuliko Mzunguko Mdogo wa 10 % !!!
Hata uwe na mzunguko mkubwa kiasi gani, mtaji mdogo na faida ni 5% unaishia kusifiwa na kuitwa majina uchwara ya Mgosi sijui Mzigua na huendelei.
Unakuwa na wateja njaa wasio na shukrani kukuhama ni kama kunywa maji, huwezi innovate, ukipigwa hasara moja ndogo tu unafunga unaenda kuhesabu maumivu kijijini kwenu.
Ukifanya biashara ukawazoesha wateja bei ndogo unaingia kwenye mtego mbaya unakuwa punda. Utafirisika uwaache wanaouza na reasonable price waishi. Sijawahi ona mtu anayeuza bei kubwa akifirisika, ila nimeshuhudia mavunjabei wakiishiwa upepo.
Angalau , Nitapata WatejaOk tufanya una mzunguko mkubwa kila mwezi unauza milioni 5
Kwa faida ya asilimia 5 ni laki 2 na nusu
Hio pesa inaishia kulipia frem na kukulisha
Labda tuiweke kwa kiingerezaHii inawhusu zaidi ambao huiga biashara bila kutafakari kwa kina,
Ni muhimu sana kufuatilia asilimia ya profitability
Huwezi kuwa na mtaji wa milioni 1 uanze kufanya biashara yenye faida ya 5%
Utachelewa sana
Ukinunua bidhaa X kwa bei ya jumla 10k, bei ya rejareja uza sio chini ya 15,000 kama ni bidhaa isiyotoka sana. Kinachoua biashara isiyotoka ni bidhaa kukaa stock, unaweka 1M alafu zinatoka mpaka zinaisha ni miezi minne. Hapo ukijumlisha bidhaa nyingine unakuta jumla ya duka labda 5M alafu almost ni 1M pekee inayotoka kwa mwezi, so una faida ya 400k monthly. Sasa hapo ulipe kodi ya pango maybe 100k, ule, uishi, upate hasara ufidie humohumo, ukuze mtaji. Ndio hapo mwaka ukiisha lazima ufunge.Uncle bright unamaanisha 10% ya profit ukishatoa gharama za uendeshaji au just bidhaa.
Mfano nanunua bidhaa x kwa bei ya jumla ya Tsh 10,000 hafu naiuza Tsh 12,000 inamaanisha nna faida ya Tsh 2,000 ambayo ni 20% ya faida.
Sasa gharama za uendeshaji mfano fremu, umeme, usafi, kodi TRA & manispaa, kumlipa kijana wa dukani, nk nazihesabu au?
Ni muhanga wa hizi kitu, nimetoka kufunga duka June 2024 nataka nirudi Nov - December.
profit ya kwenye bidhaaUncle bright unamaanisha 10% ya profit ukishatoa gharama za uendeshaji au just bidhaa.
Mfano nanunua bidhaa x kwa bei ya jumla ya Tsh 10,000 hafu naiuza Tsh 12,000 inamaanisha nna faida ya Tsh 2,000 ambayo ni 20% ya faida.
Sasa gharama za uendeshaji mfano fremu, umeme, usafi, kodi TRA & manispaa, kumlipa kijana wa dukani, nk nazihesabu au?
Ni muhanga wa hizi kitu, nimetoka kufunga duka June 2024 nataka nirudi Nov - December.
Je mwenye Mtaji Mdogo kama wa 1 M , auze kwa faida ya asilimia ngapi ?
. Kwa Maoni yako