Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Deadline tayari.? Vp mliofanikiwa.?
Una link ya ku apply ?
Kuna wa kenya na wao wapo vizurEbm mkulilo anajua hii kitu vizuri
Kwa mwaka huu USA wameondoa kigezo Cha passport.utaitafuta ukishinda bahati nadibu.Mbona haujataja kigezo cha kuwa na passport, maana hicho ni kipengele kwa vijana wengi
Deadline ni november 8. Ila hyo digital photo ina vipengele kama kumi hv cjui kama hz stationary za kibongo utapata paspot size yenye ubora mana kwanza inabid iwe 600*600, kichwa chako kiwe 50-69% of the whole photo from chin to ur hair, white or white-off background, usitumie software kuedit hyo paspot wala kuondoa background, yaaan vikorokoro kibaooooo na ukikosea tu basi ume disqualifyDeadline tayari.? Vp mliofanikiwa.?
Eh bc n moto huoDeadline ni november 8. Ila hyo digital photo ina vipengele kama kumi hv cjui kama hz stationary za kibongo utapata paspot size yenye ubora mana kwanza inabid iwe 600*600, kichwa chako kiwe 50-69% of the whole photo from chin to ur hair, white or white-off background, usitumie software kuedit hyo paspot wala kuondoa background, yaaan vikorokoro kibaooooo na ukikosea tu basi ume disqualify
Endelea kukaa Tabata uuawe na panya roaddah kila nikiifikiria bongo napata shida sana kuondoka, bongo ina raha zake, vuta picha unaiacha Tabata na raha zake za kila siku.
Hivi ni nini tafsiri ya Fulani anaijua vizuri hiyo Program?Kuna wa kenya na wao wapo vizur
Mkuu unawatisha watu ujue.Deadline ni november 8. Ila hyo digital photo ina vipengele kama kumi hv cjui kama hz stationary za kibongo utapata paspot size yenye ubora mana kwanza inabid iwe 600*600, kichwa chako kiwe 50-69% of the whole photo from chin to ur hair, white or white-off background, usitumie software kuedit hyo paspot wala kuondoa background, yaaan vikorokoro kibaooooo na ukikosea tu basi ume disqualify
Hivi ni nini tafsiri ya Fulani anaijua vizuri hiyo Program?
Achane Uboya kuvuruga Uzi wangu.
Anzishesheni zakwenu kuwatukuza watu wenu iwapo wapo kweli.
BTW.
Naijua hii kitu kabla ya huyo mtu wenu hajaenda huko Ughaibuni.
Wengine hatujazaliwa kubwabwaja mambo binafsi kila sehemu, pu
How so ?yeah ukipata maisha yanaweza kubadirika
Leo hii ukisema utoke Shinyanga uhamishie makazi yako Arusha, serikali ya Tanzania itakulipa hela kwa kuwa unahamia Arusha ?Ukishinda unaenda tuu kuhamia na kukaa au wanakulipa na hela au kuna connection ya kupata mchongo?
Kwa njia ya simu hizo dimensions unazitambuaje ?Mkuu unawatisha watu ujue.
Ni kitu rahisi tu hiyo kitu na hata kwa simu unaweza kupiga na ukaitumia pasi na shaka.
Kwa njia ya simu hizo dimensions unazitambuaje ?