Program mpya yaani DV-2024 itaanza rasmi kuchezwa kuanzia tarehe 5/10/2022

Program mpya yaani DV-2024 itaanza rasmi kuchezwa kuanzia tarehe 5/10/2022

Ivi mwisho lini ili sisi wazee wa zima moto tu apply dakika 20 kabla ya dirisha kufungwa?
 
Deadline tayari.? Vp mliofanikiwa.?
Deadline ni november 8. Ila hyo digital photo ina vipengele kama kumi hv cjui kama hz stationary za kibongo utapata paspot size yenye ubora mana kwanza inabid iwe 600*600, kichwa chako kiwe 50-69% of the whole photo from chin to ur hair, white or white-off background, usitumie software kuedit hyo paspot wala kuondoa background, yaaan vikorokoro kibaooooo na ukikosea tu basi ume disqualify
 
Deadline ni november 8. Ila hyo digital photo ina vipengele kama kumi hv cjui kama hz stationary za kibongo utapata paspot size yenye ubora mana kwanza inabid iwe 600*600, kichwa chako kiwe 50-69% of the whole photo from chin to ur hair, white or white-off background, usitumie software kuedit hyo paspot wala kuondoa background, yaaan vikorokoro kibaooooo na ukikosea tu basi ume disqualify
Eh bc n moto huo
 
Ukishinda unaenda tuu kuhamia na kukaa au wanakulipa na hela au kuna connection ya kupata mchongo?
 
dah kila nikiifikiria bongo napata shida sana kuondoka, bongo ina raha zake, vuta picha unaiacha Tabata na raha zake za kila siku.
 
Kuna wa kenya na wao wapo vizur
Hivi ni nini tafsiri ya Fulani anaijua vizuri hiyo Program?

Achane Uboya kuvuruga Uzi wangu.

Anzishesheni zakwenu kuwatukuza watu wenu iwapo wapo kweli.

BTW.
Naijua hii kitu kabla ya huyo mtu wenu hajaenda huko Ughaibuni.

Wengine hatujazaliwa kubwabwaja mambo binafsi kila sehemu, punguzeni shobo
 
Ivi mwisho lini ili sisi wazee wa zima moto tu apply dakika 20 kabla ya dirisha kufungwa?
Kuna kitengo wanaita 'AFYA YA AKILI' Hospitalini ukiwaona watakusaidia katika hilo.
 
Deadline ni november 8. Ila hyo digital photo ina vipengele kama kumi hv cjui kama hz stationary za kibongo utapata paspot size yenye ubora mana kwanza inabid iwe 600*600, kichwa chako kiwe 50-69% of the whole photo from chin to ur hair, white or white-off background, usitumie software kuedit hyo paspot wala kuondoa background, yaaan vikorokoro kibaooooo na ukikosea tu basi ume disqualify
Mkuu unawatisha watu ujue.
Ni kitu rahisi tu hiyo kitu na hata kwa simu unaweza kupiga na ukaitumia pasi na shaka.
 
Ukishinda unaenda tuu kuhamia na kukaa au wanakulipa na hela au kuna connection ya kupata mchongo?
Pata na Soma maelekezo maalum kwa mwaka huu: WhatsApp:+255714591548
 
Hivi ni nini tafsiri ya Fulani anaijua vizuri hiyo Program?

Achane Uboya kuvuruga Uzi wangu.

Anzishesheni zakwenu kuwatukuza watu wenu iwapo wapo kweli.

BTW.
Naijua hii kitu kabla ya huyo mtu wenu hajaenda huko Ughaibuni.

Wengine hatujazaliwa kubwabwaja mambo binafsi kila sehemu, pu




Tumewashitukia diaspora wengi huko US hampendi wabongo waongezekw sasa safar hii mmepata dawa yenu tena hapo na badooo jamaa nasikia kasajili watu wengi mnooo safari hii kwa iyo mzee huko Dallas sijui san fransisco mji andae tu
 
Ukishinda unaenda tuu kuhamia na kukaa au wanakulipa na hela au kuna connection ya kupata mchongo?
Leo hii ukisema utoke Shinyanga uhamishie makazi yako Arusha, serikali ya Tanzania itakulipa hela kwa kuwa unahamia Arusha ?
 
Kwa njia ya simu hizo dimensions unazitambuaje ?

Amini kuwa 'Utaalam' unajua hilo na tunatofautiana.
Elewa kuwa hilo ni Somo lingine lakini na pengine hapa si mahala pake.

Najua, nafahamu,naelewa na ninaoushahidi wa ninachokuambia Ila sikulazimishi uniamini wala kufuata mameno yangu.
 
Back
Top Bottom