Program mpya yaani DV-2024 itaanza rasmi kuchezwa kuanzia tarehe 5/10/2022

Program mpya yaani DV-2024 itaanza rasmi kuchezwa kuanzia tarehe 5/10/2022

Amini kuwa 'Utaalam' unajua hilo na tunatofautiana.
Elewa kuwa hilo ni Somo lingine lakini na pengine hapa si mahala pake.

Najua, nafahamu,naelewa na ninaoushahidi wa ninachokuambia Ila sikulazimishi uniamini wala kufuata mameno yangu.
Hivi swali langu umelielewa kweli?

Naona umeandika maneno meeengi yasiyo na kichwa wala miguu.

Ebu tuliza akili kisha lisome tena swali langu, ukiwa na majibu sahihi waweza kujibu. Likikushinda waachie wengine nao watajibu, sawa ?
 
Hivi swali langu umelielewa kweli?

Naona umeandika maneno meeengi yasiyo na kichwa wala miguu.

Ebu tuliza akili kisha lisome tena swali langu, ukiwa na majibu sahihi waweza kujibu. Likikushinda waachie wengine nao watajibu, sawa ??
Hujielewi wewe.
Umejibu nilichokiongea mimi ndio maana nimekujibu Mimi.
Kingine; Hoja nimeileta mimi hapa kwahiyo usinipangie nimjibu nani.
UWE NA ADABU.
 
Habari.

Tunakumbushana jamani,
Kwale ambao bado hamjashiriki Bahati nasibu ya mwaka na ambao nia ya kufanya hivyo mnayo,
Hima tumeni ushiriki wenu siku zimesalia chache,
Siku 5 tu.

Nawasilisha.
 
Napataje reference number iwapo nilipomaliza nilifunga computer bila kuinakili?? Msaada tafadhali
 
Napataje reference number iwapo nilipomaliza nilifunga computer bila kuinakili?? Msaada tafadhali
Ondoa shaka kwenye page ya kuangalizia matokeo hapo mwakani,
Badala ya kuweka confirmation number,
wewe utatiki kuwa umeisahau hiyo namba na hapo utaulizwa maswali machache yanayohusu taarifa zako ambazo ndizo ulizoziingiza kwenye form yako kama email address na mwaka wako wa kuzaliwa, na itafunguka iwapo tu ni sahihi kama ulivyojaza kwenye form yako.
Ukisahau au kuchanganya na hizo,
IMEKULA KWAKO, HUWEZI KUINGIA.
 
YAMEBAKIA MASAA SASA.

ZOEZI KWA MWAKA HUU (DV-2024) LINAFUNGWA RASMI KESHO TAREHE 8/11
HUJACHELEWA PIGA PICHA FASTA NA CHEZA.
 
Habari wadau.

Sasa ni rasmi lile zoezi letu limefikia tamati.

Mlioshiriki hongereni.
Capture.PNG

Mlioshindwa kushiriki pengine kutokana na sababu hii ama ile,
msilaumu wala kusikitika sana kila jambo lina sababu na wakati wake.

Wale ambao jambo lenyewe haliwavutii na
hamkujisumbua kulifuatili pia hongereni ni maamuzi na mna haki binafsi..

Kongole mahsusi ziwaendee wazee wa kejeli.
Bila kujali sifa anazo au hana wala uwezo lakini walichagua kudhihaki tu,
wakati mwingine pasi kutumia lugha ya kistaarabu,
mbarikiwe zaidi na zaidi maana bila watu wa aina yenu Dunia haijawa Dunia kamilifu.

Aidha kwa wale mlioona umuhimu wa kunitafuta, tukafanikiwa kutuma ushiriki wenu kwa pamoja licha ya kuwasisitizia kuwa mngeweza kufanya wenyewe huko mliko na kisha mkakunjua mikono yenu kadiri ya uwezo wenu pasi shurti,-Ninyi ni waungwana na Mungu awaongezee palipopungua.

Sitakutaja kwa Id yako rasmi ya hapa unayoitumia wala jina lako halisi,
Ila, wewe boss-wangu mrembo-mrembo wa Tabata,
Wewe kiumbe una sehemu yako maalum
katika maombi yangu kwaajili ya program hii, nisiseme mengi
Mungu yupo.

Nawasilisha
 
Mkuu aliepiga mpk 4 akaenda college kusoma certificate then akaendelea mbele inafit wap kweny ujazaji ??
 
HABARI WADAU.

TUNAKUMBUSHANA:

RASMI SASA KUWA DV-2025 MPYA INAANZA KUCHEZWA KESHO (JUMATANO) TAR.4/10/2023 nacMwisho itakuwa Tar.7/11/2023

HII NI BAHATI NASIBU AMBAYO UKIIPATA ITAKAKUWEZESHA KUFANYA KAZI, KUSOMA NA KUISHI MAREKANI MAISHA YAKO YOTE.

Tafadhari iwapo unavyo vigezo taarisha picha yako na zile za wanaokubalika kucheza sanjari nawe mapema ili ifikapo tu saa SITA KAMILI MCHANA,
SAA ZA UKANDA WA MASHARIKI WA AMERIKA (EST)
ambapo kwetu sisi Tanzania inakuwa ni SAA MOJA USIKU basi, Ingia mtandaoni na cheza (Mtandao utafunguka ikitimu tu muda huo kabla ya hapo huwezi.

Nashauri, kabla ya kushiriki pitia kwa umakini maelekezo rasmi ya mwaka huu, pili hakikisha kuwa unavyo vigezo na pia fuata taratibu kama zilivyo ainishwa ili usije ukakwama mbeleni kwa kukosea hapa mwanzoni.

Kumbuka, unaweza kuwa na Bahati ya kuchaguliwa kuendelea na mchakato lakini yapo mambo ukiyakosea hapa mwanzoni yanaweza kukugharimu pakubwa mbeleni.

Taarifa zipo hapa:
www.travel.state.gov
Angalia: DV-2025 PROGRAM Instructions.

Unaweza kunitafuta utakapokwama.
(Maekezo madogo madogo ruksa kunipigia lakini usinipigie ukiniuliza,
"Hiyo program inakuwaje?"
Si rahisi mtu kukuelekeza kila kitu kwa simu ndio maana nasisitiza upitie mwenyewe kutika kwenye link niliyotoa au pitia nyuzi zangu kadhaa za nyuma ikilazu sana ndipo unitafute.

Ukinihitaji, kuchezea itakulazimu kufidia muda wangu kwa gharama sa Pesa ya kiuungwana.

Si shauri hata hivyo wewe kutumia mtu mwingine hata mimi vilevile si lazima, kwani kama unajua 'Yai' maelekezo yapo wazi na unaweza kucheza mwenyewe bika shida.

Napatikana kwa namba: +255714591548

Nawasilisha.
 

DEADLINE DV-2025 ZIMESALIA SIKU CHACHE SAAANA.​

HIMA CHEZA, IWAPO UNAVYO VIGEZO VINAVYO HITAJIKA.

HUWEZI JUA UNAWEZA KUIPINDUA MEZA USIAMINI MACHO YAKO.

KAMA UNA SWALI LOLOTE PIGA FASTA TUYAJENGE
: +255714591548.
 
Back
Top Bottom