Project funding sources

Project funding sources

Mkuu Mzuzu ili kupata matokeo mazuri lazima ujipange kutoa technical support kwa hao wakulima ili kupata good quality ya mihogo na sidhani kama ni kazi ngumu unaweza kuwacheki jamaa wa vyuoni ukafanya soil test kujua kama hapo muhogo utakubali vizuri na wakawa wanatoa ushauri wa kitalaamu then cost unaweza kushare na hao contract farmers kumbuka kilimo ni zaidi ya mtaji tu naungana na wazo la mdizi la kuwa na shamba darasa,Otherwise I'm in ukinipatia ekari 200 ntakupatia mhogo mzuri unihakikishie soko tu
 
Ni pm mkuu ili tupange mkakati wa kukutana na kujadiliana zaidi
 
Hi Mzuzu,
I like your project and would like to be your mkulima, nimekupm naomba usome ujumbe wangu umijibu
 
Heshima mbele wana JF,

Nimekuwa nahangaikia kupata habari au msaada wa mawazo kutoka sehemu mbalimbali nafikiri na hapa jamvini lazima kuna msaada mkubwa wa mchango naweza kupata kwani naamini hapa ni kitovu cha taaluma na ujuzi wa mambo.

Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikifikiria na kutafuta njia mablimbali za kuweza kufanya sisi kama vijana wa kitanzania katika mambo ya kiuchumi (nikimaanisha kuwa na biashara kubwa) tunazoweza kuanzisha vijana na kutufanya kuondokana na mawazo ya kuajiriwa hasa kwa vijana wenye elimu ya chuo kikuu. Lakini ninasikitika sana kuona watanzania wengi tunagombea nafasi za kuajiriwa tu na serikali yetu haina msaada wowote wa kuwezesha kuleta mafanikio. Serikali yetu inatafafsiri ujasiriamali ni kumwezesha mtu kupata rizki, mi naamini bila viwanda vidogo vya kati huo ujasiriamali hautakuwa na manufaa yoyote, wazalishaji wanatakiwa wajue soko na processing ikifanyika thamani ya mazao yao inaongezeka kwenye masoko ya kimataifa.

Kwa mtazamo wangu nimekuwa nikiamini watu wenye elimu ya chuo kikuu wanatakiwa kuwa na mtazamo wa kuanzisha ajira kwani wao wamepevuka upeo tofauti na waliokosa elimu hiyo.

Kwa wanaJF wanaojua jinsi ya kupata resources jamani ninaomba msaada wa mawazo.

Nimefanya feasibility study kwa miaka kadhaa sasa na hatimaye nimeaandaa business plan ya kufanya processing ya cassava (mihogo) kutengeneza starch. Mali ghafi hakuna asiyejua inapatikana nchi kwetu popote pale unahitaji kuwahakikishia wakulima soko tu na watakufanyia mambo ya kutosha. Hii itainua uchumi wa wakulima wadogo sana na hasa kwenye maeneo ambayo kilimo cha pamba kimeanguka na mikoa kame kama ya kati isiyo na zao la biashara kwani popote inastawi

Soko lipo juu sana na lengo ku export tayari kuna watu wanahitaji sana kuimport kutoka Tanzania nimejaribu kutangaza na kupata response nzuri sana. Kuna soko kubwa sana nchini (yote inaagizwa toka nje esp SA) kuna soko kubwa sana pale TBL na viwanda vingine vinavyotengeneza madawa, nguo, bia, tambi, biscuits, noodles, almost viwanda vyote vinavyotengeneza vyakula (canned na bottled) vinahitaji starch.

Tatizo kubwa nililonalo ni kwamba natafuta source ya funds kuanzisha kamradi haka ambacho profit margin yake ipo juu sana. Nipo tayari kwa mazungumzo specific ya jinsi ya kufanya ili mradi niweze kutimiza hii ndoto. Mradi huu unaweza kuwa expanded katika muda wa miaka 2 au 3 ukawa na plant nyingine ya kuzalisha ethanol kwa kutumia waste materials baada ya kuprocess cassava na tayari nimeanza kudraft plan yake. Nimejaribu kupita Tanzania investment bank na kuongea nao wakawa na interest ya kusaidia ila nikawa sina colateral wala mdhamini mwenye assets nzuri (mimi mtoto wa mkulima tu hata elimu yangu ni ya kuungaunga tu) ninaweza kuraise kidogo tu. Nimepita na NBC ikawa vilevile tu na mradi unakubalika na tatizo siaminiki tu kwa vile sina historia ya kushika pesa kubwa.

Ninaweza kusimamia hii kazi na ikawa juu kiasi cha kuridhisha na kushindana na biashara kubwa tu hata kuanzisha zingine safi zaidi.

Haya wadau naomba reference kwenye source au tujiunege na kuona nini cha kufanya. Nipo kwa wazi nasikiliza mawazo yenu na ushauri! unaweza kuchangia au kuniPM vyovyote utakavyoona

Ahsanteni sana

Hi nimesOma mradi wako naomba ni pm kuna ka proCess naweza kukuelekeza
 
Heshima mbele wana JF,

Nimekuwa nahangaikia kupata habari au msaada wa mawazo kutoka sehemu mbalimbali nafikiri na hapa jamvini lazima kuna msaada mkubwa wa mchango naweza kupata kwani naamini hapa ni kitovu cha taaluma na ujuzi wa mambo.

Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikifikiria na kutafuta njia mablimbali za kuweza kufanya sisi kama vijana wa kitanzania katika mambo ya kiuchumi (nikimaanisha kuwa na biashara kubwa) tunazoweza kuanzisha vijana na kutufanya kuondokana na mawazo ya kuajiriwa hasa kwa vijana wenye elimu ya chuo kikuu. Lakini ninasikitika sana kuona watanzania wengi tunagombea nafasi za kuajiriwa tu na serikali yetu haina msaada wowote wa kuwezesha kuleta mafanikio. Serikali yetu inatafafsiri ujasiriamali ni kumwezesha mtu kupata rizki, mi naamini bila viwanda vidogo vya kati huo ujasiriamali hautakuwa na manufaa yoyote, wazalishaji wanatakiwa wajue soko na processing ikifanyika thamani ya mazao yao inaongezeka kwenye masoko ya kimataifa.

Kwa mtazamo wangu nimekuwa nikiamini watu wenye elimu ya chuo kikuu wanatakiwa kuwa na mtazamo wa kuanzisha ajira kwani wao wamepevuka upeo tofauti na waliokosa elimu hiyo.

Kwa wanaJF wanaojua jinsi ya kupata resources jamani ninaomba msaada wa mawazo.

Nimefanya feasibility study kwa miaka kadhaa sasa na hatimaye nimeaandaa business plan ya kufanya processing ya cassava (mihogo) kutengeneza starch. Mali ghafi hakuna asiyejua inapatikana nchi kwetu popote pale unahitaji kuwahakikishia wakulima soko tu na watakufanyia mambo ya kutosha. Hii itainua uchumi wa wakulima wadogo sana na hasa kwenye maeneo ambayo kilimo cha pamba kimeanguka na mikoa kame kama ya kati isiyo na zao la biashara kwani popote inastawi

Soko lipo juu sana na lengo ku export tayari kuna watu wanahitaji sana kuimport kutoka Tanzania nimejaribu kutangaza na kupata response nzuri sana. Kuna soko kubwa sana nchini (yote inaagizwa toka nje esp SA) kuna soko kubwa sana pale TBL na viwanda vingine vinavyotengeneza madawa, nguo, bia, tambi, biscuits, noodles, almost viwanda vyote vinavyotengeneza vyakula (canned na bottled) vinahitaji starch.

Tatizo kubwa nililonalo ni kwamba natafuta source ya funds kuanzisha kamradi haka ambacho profit margin yake ipo juu sana. Nipo tayari kwa mazungumzo specific ya jinsi ya kufanya ili mradi niweze kutimiza hii ndoto. Mradi huu unaweza kuwa expanded katika muda wa miaka 2 au 3 ukawa na plant nyingine ya kuzalisha ethanol kwa kutumia waste materials baada ya kuprocess cassava na tayari nimeanza kudraft plan yake. Nimejaribu kupita Tanzania investment bank na kuongea nao wakawa na interest ya kusaidia ila nikawa sina colateral wala mdhamini mwenye assets nzuri (mimi mtoto wa mkulima tu hata elimu yangu ni ya kuungaunga tu) ninaweza kuraise kidogo tu. Nimepita na NBC ikawa vilevile tu na mradi unakubalika na tatizo siaminiki tu kwa vile sina historia ya kushika pesa kubwa.

Ninaweza kusimamia hii kazi na ikawa juu kiasi cha kuridhisha na kushindana na biashara kubwa tu hata kuanzisha zingine safi zaidi.

Haya wadau naomba reference kwenye source au tujiunege na kuona nini cha kufanya. Nipo kwa wazi nasikiliza mawazo yenu na ushauri! unaweza kuchangia au kuniPM vyovyote utakavyoona

Ahsanteni sana

Mkuu, kwanza hongera kwa mawazo kwamba wasomi wanatakiwa wawe chachu ya ajira ya wasomi wa kati. You have viable idea. Mimi kama Independent development consultant on Resource mobilisation and project write-ups nakuunga mkono kuwa move yako ni nzuri, hopefully your struggle will end-up getting the funds for your project. Atleast I can say you can do it youself coz you have the idea of preparing a plan, this is A FUNDABLE BUSINESS PLAN for your project. I do these write-ups activities, grant/fund search and application and other consultances. I suggest if you can write a good and convincing write-up on your idea DO IT, then find funding sources, hapa nakumegea try OIKOCREDIT!! or else find us! (kihegam@gmail.com)
 
Wana JF hakika tukitengeneza team moja hata kwa makundi makundi tutapata THINK TANK la ajabu, tutakomboa jamii ya kitanzania hasa vijana na watoto wa taifa la kesho. Jamani ajira TZ zinatakiwa kutengenezwa na sisi!!
Mimi niliamua kufanya kazi za write-ups consultancy on behalf of other people and organizations wenye fursa zinazotakiwa!!! ( NDO OFISI YANGU SASA) why, funding problems, kila nikiwa na wazo la mradi, ikawa tabu kupata funding kwa sababu ya vigezo na masharti ambayo kwa wasio na mapana kimaisha sio rahisi kuaminiwa japo mawazo huwa ni viable. Ifike wakati hata serikali ione hili, idhamini wadau sisi ili tuanzishe miradi hii, kwani ukisoma BP za miradi hii utashangaa kwanini hazipati funding!
 
Ahsante sana mkuu kwa appreciation na mchango wako. Nashukuru nimepata wadau na sasa tupo kwenye hatua ya mwisho kbs ya kupata funding na all in all msimu huu wa masika lazima tutaanza implementation. Mdau mmoja niliyempata ni mteja mkubwa ambaye anataka kununua starch yote tutakayozalisha na yupo America. Nimepata michango mingi ya kutia moyo na mingine ya kukatisha tamaa but nilikaza buti na kusonga mbele na hatimaye tunaanza sasa kurealize hii ndoto. Tuendelee na moyo huu na nchi yetu itajengwa na sisi kwani hamna nchi iliyowahi kujengwa na wageni wawekezaji kwa mujibu wa historia. Naamini tutafika tukiamua na kuanza vitendo badala ya maneno maana tunaongea sana jamani!!

Mzuzu wewe ni jembe..umenipa moyo sana nazidi kujiona sikufanya makosa kupiga chini kazi na kuingia kwenye ujasiriamali..umezidi kunipa nguvu sitorudi nyuma..kilimo kwangu kwanza.
 
Last edited by a moderator:
Ahsante sana mkuu kwa appreciation na mchango wako. Nashukuru nimepata wadau na sasa tupo kwenye hatua ya mwisho kbs ya kupata funding na all in all msimu huu wa masika lazima tutaanza implementation. Mdau mmoja niliyempata ni mteja mkubwa ambaye anataka kununua starch yote tutakayozalisha na yupo America. Nimepata michango mingi ya kutia moyo na mingine ya kukatisha tamaa but nilikaza buti na kusonga mbele na hatimaye tunaanza sasa kurealize hii ndoto. Tuendelee na moyo huu na nchi yetu itajengwa na sisi kwani hamna nchi iliyowahi kujengwa na wageni wawekezaji kwa mujibu wa historia. Naamini tutafika tukiamua na kuanza vitendo badala ya maneno maana tunaongea sana jamani!!

Dah, umenikuna sana sana Kaka, unathibitisha the truth of endless struggle while ignoring stupid contributions!! Go on brother your dream is around the corner! Wishing you all the best!!
 
Heshima mbele wana JF,

Nimekuwa nahangaikia kupata habari au msaada wa mawazo kutoka sehemu mbalimbali nafikiri na hapa jamvini lazima kuna msaada mkubwa wa mchango naweza kupata kwani naamini hapa ni kitovu cha taaluma na ujuzi wa mambo.

Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikifikiria na kutafuta njia mablimbali za kuweza kufanya sisi kama vijana wa kitanzania katika mambo ya kiuchumi (nikimaanisha kuwa na biashara kubwa) tunazoweza kuanzisha vijana na kutufanya kuondokana na mawazo ya kuajiriwa hasa kwa vijana wenye elimu ya chuo kikuu. Lakini ninasikitika sana kuona watanzania wengi tunagombea nafasi za kuajiriwa tu na serikali yetu haina msaada wowote wa kuwezesha kuleta mafanikio. Serikali yetu inatafafsiri ujasiriamali ni kumwezesha mtu kupata rizki, mi naamini bila viwanda vidogo vya kati huo ujasiriamali hautakuwa na manufaa yoyote, wazalishaji wanatakiwa wajue soko na processing ikifanyika thamani ya mazao yao inaongezeka kwenye masoko ya kimataifa.

Kwa mtazamo wangu nimekuwa nikiamini watu wenye elimu ya chuo kikuu wanatakiwa kuwa na mtazamo wa kuanzisha ajira kwani wao wamepevuka upeo tofauti na waliokosa elimu hiyo.

Kwa wanaJF wanaojua jinsi ya kupata resources jamani ninaomba msaada wa mawazo.

Nimefanya feasibility study kwa miaka kadhaa sasa na hatimaye nimeaandaa business plan ya kufanya processing ya cassava (mihogo) kutengeneza starch. Mali ghafi hakuna asiyejua inapatikana nchi kwetu popote pale unahitaji kuwahakikishia wakulima soko tu na watakufanyia mambo ya kutosha. Hii itainua uchumi wa wakulima wadogo sana na hasa kwenye maeneo ambayo kilimo cha pamba kimeanguka na mikoa kame kama ya kati isiyo na zao la biashara kwani popote inastawi

Soko lipo juu sana na lengo ku export tayari kuna watu wanahitaji sana kuimport kutoka Tanzania nimejaribu kutangaza na kupata response nzuri sana. Kuna soko kubwa sana nchini (yote inaagizwa toka nje esp SA) kuna soko kubwa sana pale TBL na viwanda vingine vinavyotengeneza madawa, nguo, bia, tambi, biscuits, noodles, almost viwanda vyote vinavyotengeneza vyakula (canned na bottled) vinahitaji starch.

Tatizo kubwa nililonalo ni kwamba natafuta source ya funds kuanzisha kamradi haka ambacho profit margin yake ipo juu sana. Nipo tayari kwa mazungumzo specific ya jinsi ya kufanya ili mradi niweze kutimiza hii ndoto. Mradi huu unaweza kuwa expanded katika muda wa miaka 2 au 3 ukawa na plant nyingine ya kuzalisha ethanol kwa kutumia waste materials baada ya kuprocess cassava na tayari nimeanza kudraft plan yake. Nimejaribu kupita Tanzania investment bank na kuongea nao wakawa na interest ya kusaidia ila nikawa sina colateral wala mdhamini mwenye assets nzuri (mimi mtoto wa mkulima tu hata elimu yangu ni ya kuungaunga tu) ninaweza kuraise kidogo tu. Nimepita na NBC ikawa vilevile tu na mradi unakubalika na tatizo siaminiki tu kwa vile sina historia ya kushika pesa kubwa.

Ninaweza kusimamia hii kazi na ikawa juu kiasi cha kuridhisha na kushindana na biashara kubwa tu hata kuanzisha zingine safi zaidi.

Haya wadau naomba reference kwenye source au tujiunege na kuona nini cha kufanya. Nipo kwa wazi nasikiliza mawazo yenu na ushauri! unaweza kuchangia au kuniPM vyovyote utakavyoona

Ahsanteni sana
Kaka heshima kwako na hongera kwa kufanyikiwa mie ombi langu naomba draft ya business plan yako ili inisaidie kuandaa ya kwangu maana niana big project ya uzalishaji viatu so nataka niitumie Bp yako ili nidraft yangu. kama umefanyikiwa nami nitafanyikiwa pia kama unaona inawezekana ni MP mkuu.Thanks
 
Kaka heshima kwako na hongera kwa kufanyikiwa mie ombi langu naomba draft ya business plan yako ili inisaidie kuandaa ya kwangu maana niana big project ya uzalishaji viatu so nataka niitumie Bp yako ili nidraft yangu. kama umefanyikiwa nami nitafanyikiwa pia kama unaona inawezekana ni MP mkuu.Thanks

Nitakupa sample nyingine ya plans tofauti kwa sababu plan ni classified document sir...

Nipe email yako kwa pm
 
Nitakupa sample nyingine ya plans tofauti kwa sababu plan ni classified document sir...

Nipe email yako kwa pm

POA KAMA UNA SAMPLE NYINGINYINGI NITUMIE tibilwabu1986@gmail.com
 
Duh Mzuzu we ni mtu poa..asante kwa izo sample za Bizplan..ata mimi nilikuwa nazisaka
 
Nina mashaka sana kama utawahi fungua kabla wenye hela hawajaanzisha kwa sacale amabayo ukianza hupati soko nchini.tetesi ni kwamba maafisa mikopo wanalipwa kuwamegea copy ya business palana za wajasiriamali wanaoibuka na kuwanyima mkopo pale wafanya biashara wakiona hiyo ni dili kwao.

Next time jifunze kuwa na business mbadala kama demanda ni colateral wakishakupa unai re-route hiyo hela.
 
Its a process to link you with investors

Habari za leo Mkuu Vito.
Mimi pia nahitaji kupata link na investors wa miradi kama hii.
Ninamiliki shamba la eka 300 mkoa wa Pwani.
Nina plan za miradi ya ufugaji samaki kwa large scale.
Nimefanya utafiti na upembuzi wa kutosha, mradi unalipa sana hasa ukiwa ni large scale.
Please link me na investors ili niweze kuanzisha miradi hiyo.

Thanks in advance.
 
Mawazo ni mazuri sana ila tuungane hat kwa uaminifu na nia moja .,,,,,,,,,,sio baada ya mafanikoo kidogo tu mtu anachukua chake mapema. haitakuwa tofauti na CC
 
Wakuu sasa natafuta wakulima walio tayari Kulima muhogo kwenye Ardhi yetu tutawaazima na watuuzie kwenye kiwanda Kwa mkataba. Wenye interest na mitaji ya kuanzia naomba mapendekezo ya jinsi ya kufanya na nipo tayari kutoa hadi eka 1500. Nitatoa minimum eka 50 na maximum 200acres Kwa wenye uzoefu wa contract farming. Tunaanza maaandalizi ya mashamba msimu huu wa kilimo na shamba ni jipya namaanisha bado ni msitu na mikataba itakuwa ya mwaka 1 renewable...

Karibuni sana Kwa mapendekezo sasa

Mtaji unahitajika kiasi gani kwa kilimo cha ekari 50 na kuendelea niko interested!
 
Back
Top Bottom