Project funding sources

Project funding sources

Mkuu, biashara zilizopo kwenye fairtrade markets zimeorodheshwa kwenye constitution ya Fair Trade Organization. Nakutajia kwa uchache, Kazi za mikono yaani craftworks (kingoni), Mazao kama ndizi, kahawa, chai, Zanzibar Spices.... orodha kamili sinayo hapa ila naamini ukianza kulifuatilia hili soko utajifunza mengi sana.

Tuwasiliane mkuu wangu


Kiongozi, nimejaribu kukutafuta nakukosa. Naamini kama ukimaanisha kuisaidia sekta ya wazalishaji nchini basi ukipata some hints kutoka kwangu utaweza kwenda beyond levels na kufungua fursa nyingi kwa wabongo...

Watanzania tambueni kuwa, mnapoona wageni hasa wakenya wanakuja kununua bidhaa nchini tena huko mashambani, just mjue wanaziexport ulaya kwenye soko la uhakika ambalo vendor anapanga bei. Na hizo bidhaa zikienda huko zinaenda na chapa ya Kenya.

Nimenena kwa ufupi sana.
Asante mkuu @Msanii
 
Trade fair participation fees sio rafiki kwa wajasiliamali wa kitanzania. Kila mwaka inapanda lakini mazingira yanazidi kudepreciate. Ni aibu sana.
 
Mkuu, biashara zilizopo kwenye fairtrade markets zimeorodheshwa kwenye constitution ya Fair Trade Organization. Nakutajia kwa uchache, Kazi za mikono yaani craftworks (kingoni), Mazao kama ndizi, kahawa, chai, Zanzibar Spices.... orodha kamili sinayo hapa ila naamini ukianza kulifuatilia hili soko utajifunza mengi sana.

Tuwasiliane mkuu wangu
hilswo@gmail.com

Kiongozi, nimejaribu kukutafuta nakukosa. Naamini kama ukimaanisha kuisaidia sekta ya wazalishaji nchini basi ukipata some hints kutoka kwangu utaweza kwenda beyond levels na kufungua fursa nyingi kwa wabongo...

Watanzania tambueni kuwa, mnapoona wageni hasa wakenya wanakuja kununua bidhaa nchini tena huko mashambani, just mjue wanaziexport ulaya kwenye soko la uhakika ambalo vendor anapanga bei. Na hizo bidhaa zikienda huko zinaenda na chapa ya Kenya.

Nimenena kwa ufupi sana.
hilswo@gmail.com
 
Mkuu, biashara zilizopo kwenye fairtrade markets zimeorodheshwa kwenye constitution ya Fair Trade Organization. Nakutajia kwa uchache, Kazi za mikono yaani craftworks (kingoni), Mazao kama ndizi, kahawa, chai, Zanzibar Spices.... orodha kamili sinayo hapa ila naamini ukianza kulifuatilia hili soko utajifunza mengi sana.

Tuwasiliane mkuu wangu


Kiongozi, nimejaribu kukutafuta nakukosa. Naamini kama ukimaanisha kuisaidia sekta ya wazalishaji nchini basi ukipata some hints kutoka kwangu utaweza kwenda beyond levels na kufungua fursa nyingi kwa wabongo...

Watanzania tambueni kuwa, mnapoona wageni hasa wakenya wanakuja kununua bidhaa nchini tena huko mashambani, just mjue wanaziexport ulaya kwenye soko la uhakika ambalo vendor anapanga bei. Na hizo bidhaa zikienda huko zinaenda na chapa ya Kenya.

Nimenena kwa ufupi sana.

Mkuu unaweza kufunguka zaidi kwa Faida ya wengi
 
itakuwa ni shukrani kwa vijana hawa na pia taifa kwa ujumla, hii ni biashara kubwa sana mbali na starch kam iivyo elezwa toka mwanzo but kuna suala la unga wa muhogo yaani hgh quality cassava flour hizi nazo ni pesa rufufu na bei yake ipo juu sana, embu Watanzania wenzangu tuwaunge mkono hawa vijana ambao wamethubutu na wamekwama sehemu ndogo sana ya kuweza kuingia sokoni, wana shamba, wana mashine yaani processing line wanahitaji nguvu ndogo ya kuanzia yaani working capital mwenye chochote jamani tuwarushie, nafikiri kama wana njia nzuli ya kupata pesa let them advice, kama tumekuwa tunachangia arusi, sherehe mbali mbali jamani hata ili jambo la maanam tutakuwa I wengi wa fadhila kwani kama mtu kaonyesha jitihada furani basi tumuunge mkono, ningeomba tufanye harambeeee!!!!!! ili vijana hawa waweze kwenda mbele.

Binafsi nimefuatilia sana hadi kufika eneo kilipo kiwanda na pia shamba la backup farm, ukifika pale kweli utaona jinsi watu walivyo na roho ngumu na kuvumilia mateso makubwa ktk harakati za kutimiza malengo yao ni changamoto kuubwa sana utapenda na kuona these people are real committed.

Binafsi nashahuri mfumo wa wenzetu hapa Kenya wa kufanya harambee!! ni mfumo mzuli wa kusaidiana ktk jamii hususani ktk nyanja zoote sherehe na hat maendereo ya mtu au kikudi, Mzuzu mimi ntakuwa mtu wa kwanza kam mtoa hoja ya harambee ntachangia elfu 50 kama kuna wengine jamani karibuni tushahuri ni kwa njia ipi itafaa

Mkuu uanachama ni wa kikundi au wa mtu mmoja mmoja?
 
Nimejifunza kitu kikubwa sana kutoka kwako mkuu Mzuzu na nikupe hongera za dhati kabisa kwa hatua zote ulizopitia,,nimesoma post zako zote na nimekuelewa sana

Nitakutafuta kwa ajili ya kutanua mawazo yngu mm pia
 
Kiongozi, nimejaribu kukutafuta nakukosa. Naamini kama ukimaanisha kuisaidia sekta ya wazalishaji nchini basi ukipata some hints kutoka kwangu utaweza kwenda beyond levels na kufungua fursa nyingi kwa wabongo...
Mkuu, biashara zilizopo kwenye fairtrade markets zimeorodheshwa kwenye constitution ya Fair Trade Organization. Nakutajia kwa uchache, Kazi za mikono yaani craftworks (kingoni), Mazao kama ndizi, kahawa, chai, Zanzibar Spices.... orodha kamili sinayo hapa ila naamini ukianza kulifuatilia hili soko utajifunza mengi sana.

Tuwasiliane mkuu wangu


Kiongozi, nimejaribu kukutafuta nakukosa. Naamini kama ukimaanisha kuisaidia sekta ya wazalishaji nchini basi ukipata some hints kutoka kwangu utaweza kwenda beyond levels na kufungua fursa nyingi kwa wabongo...

Watanzania tambueni kuwa, mnapoona wageni hasa wakenya wanakuja kununua bidhaa nchini tena huko mashambani, just mjue wanaziexport ulaya kwenye soko la uhakika ambalo vendor anapanga bei. Na hizo bidhaa zikienda huko zinaenda na chapa ya Kenya.

Nimenena kwa ufupi sana.
Msanii naomba uwasiliane name kwa PM au Kwa namba nilizokupa. enjoy our day
 
Hii kitu nilikuwa naitafuta siku nyingi sana wakuu.,at last mwanga umeanza kujionyesha.,usikubali kuajiriwa.,pigana hadi tone la mwisho ujiajiri..utafaidi matunda halisi ya jasho lako!bravo sana mkuu!
 
Hii kitu nilikuwa naitafuta siku nyingi sana wakuu.,at last mwanga umeanza kujionyesha.,usikubali kuajiriwa.,pigana hadi tone la mwisho ujiajiri..utafaidi matunda halisi ya jasho lako!bravo sana mkuu!


Hii kitu niyasiku niyingi -muda mwingine ndiyo maana majukwaa yanaonekana kama sehemu ya Porojo! 2016-2009= 6yrs.
Hakuna update ya kuweza kupeana matumaini!
Anyway usikate tamaa kila mtu na bahati yake!

#1
Sep 22, 2009
 
Farming is a carrier of destiny. I have 5.5 acres in Mlandizi area. I'd like to start cassava plantation. I'd appreciate any positive advice.
 
Back
Top Bottom