Project funding sources

Project funding sources

Mkuu hili wazo hujapataga wadau tuu mpaka leo?? Hebu tupe feedback hii dili kubwa sana.
 
Mkuu hili wazo hujapataga wadau tuu mpaka leo?? Hebu tupe feedback hii dili kubwa sana.

Tunafanya construction ya pilot sasa. Nilipata wadau tukaunganisha nguvu lakini inaonekana haitoshi vilivyo. Natafuta wadau zaidi maana ni biashara kubwa kuliko tulivyotarajia. Tuna plan ya 12 tones capacity production per day lakini inaonekana kwa soko la ndani hatufiki hata 20% na la nje kwa orders tunazopata sasa inahitajika expansion ya mara 15 kutoka tunapoprospect. Thanks na karibu sana
 
Tunafanya construction ya pilot sasa. Nilipata wadau tukaunganisha nguvu lakini inaonekana haitoshi vilivyo. Natafuta wadau zaidi maana ni biashara kubwa kuliko tulivyotarajia. Tuna plan ya 12 tones capacity production per day lakini inaonekana kwa soko la ndani hatufiki hata 20% na la nje kwa orders tunazopata sasa inahitajika expansion ya mara 15 kutoka tunapoprospect. Thanks na karibu sana

Nawapata vipi?
 
Mkuu naomba uni pm contact no. Zako ninapenda kuongea nawe. Naitwa dan
 
TIB pia wanafund kwa riba ndogo xana sawa na bure we tuwasiliane tujue watakusaidia vp but wanataka business plan iliyoshiba.
Elinanho.
Hiyo bank ina urasimu wa ajabu. Jamaa yangu kaomba mkopo miaka 3 iliyopita hajapewa hadi leo japo walishampa mkataba wa mwanzo. Halafu wanajiita Investment Bank. Ww nenda zako CRDB sikushauri uende TIB.
 
Heshima mbele wana JF,

Nimekuwa nahangaikia kupata habari au msaada wa mawazo kutoka sehemu mbalimbali nafikiri na hapa jamvini lazima kuna msaada mkubwa wa mchango naweza kupata kwani naamini hapa ni kitovu cha taaluma na ujuzi wa mambo.

Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikifikiria na kutafuta njia mablimbali za kuweza kufanya sisi kama vijana wa kitanzania katika mambo ya kiuchumi (nikimaanisha kuwa na biashara kubwa) tunazoweza kuanzisha vijana na kutufanya kuondokana na mawazo ya kuajiriwa hasa kwa vijana wenye elimu ya chuo kikuu. Lakini ninasikitika sana kuona watanzania wengi tunagombea nafasi za kuajiriwa tu na serikali yetu haina msaada wowote wa kuwezesha kuleta mafanikio. Serikali yetu inatafafsiri ujasiriamali ni kumwezesha mtu kupata rizki, mi naamini bila viwanda vidogo vya kati huo ujasiriamali hautakuwa na manufaa yoyote, wazalishaji wanatakiwa wajue soko na processing ikifanyika thamani ya mazao yao inaongezeka kwenye masoko ya kimataifa.

Kwa mtazamo wangu nimekuwa nikiamini watu wenye elimu ya chuo kikuu wanatakiwa kuwa na mtazamo wa kuanzisha ajira kwani wao wamepevuka upeo tofauti na waliokosa elimu hiyo.

Kwa wanaJF wanaojua jinsi ya kupata resources jamani ninaomba msaada wa mawazo.

Nimefanya feasibility study kwa miaka kadhaa sasa na hatimaye nimeaandaa business plan ya kufanya processing ya cassava (mihogo) kutengeneza starch. Mali ghafi hakuna asiyejua inapatikana nchi kwetu popote pale unahitaji kuwahakikishia wakulima soko tu na watakufanyia mambo ya kutosha. Hii itainua uchumi wa wakulima wadogo sana na hasa kwenye maeneo ambayo kilimo cha pamba kimeanguka na mikoa kame kama ya kati isiyo na zao la biashara kwani popote inastawi

Soko lipo juu sana na lengo ku export tayari kuna watu wanahitaji sana kuimport kutoka Tanzania nimejaribu kutangaza na kupata response nzuri sana. Kuna soko kubwa sana nchini (yote inaagizwa toka nje esp SA) kuna soko kubwa sana pale TBL na viwanda vingine vinavyotengeneza madawa, nguo, bia, tambi, biscuits, noodles, almost viwanda vyote vinavyotengeneza vyakula (canned na bottled) vinahitaji starch.

Tatizo kubwa nililonalo ni kwamba natafuta source ya funds kuanzisha kamradi haka ambacho profit margin yake ipo juu sana. Nipo tayari kwa mazungumzo specific ya jinsi ya kufanya ili mradi niweze kutimiza hii ndoto. Mradi huu unaweza kuwa expanded katika muda wa miaka 2 au 3 ukawa na plant nyingine ya kuzalisha ethanol kwa kutumia waste materials baada ya kuprocess cassava na tayari nimeanza kudraft plan yake. Nimejaribu kupita Tanzania investment bank na kuongea nao wakawa na interest ya kusaidia ila nikawa sina colateral wala mdhamini mwenye assets nzuri (mimi mtoto wa mkulima tu hata elimu yangu ni ya kuungaunga tu) ninaweza kuraise kidogo tu. Nimepita na NBC ikawa vilevile tu na mradi unakubalika na tatizo siaminiki tu kwa vile sina historia ya kushika pesa kubwa.

Ninaweza kusimamia hii kazi na ikawa juu kiasi cha kuridhisha na kushindana na biashara kubwa tu hata kuanzisha zingine safi zaidi.

Haya wadau naomba reference kwenye source au tujiunege na kuona nini cha kufanya. Nipo kwa wazi nasikiliza mawazo yenu na ushauri! unaweza kuchangia au kuniPM vyovyote utakavyoona

Ahsanteni sana

Angalia website hii http:www.wigomedia.blogspot.com
 
Mzuzu na Malila,

Naombeni kama mna proposal zozote kuhusu machines za kuzalishia, basi mnitumie kwenye email yangu hapo chini.

Mzuzu, niandikie mmekwama wapi na mnahitaji kitu gani ili nijaribu kutafuta wawekezaji wanaoweza kuwasukuma kwenye hilo la kutengeneza starch. Nilikuwa nakufuatilia kwa siku nyingi sana kwenye makala hii hadi jana nilipokutana na jamaa anataka kujenga mashine za kutengeneza SPIRIT. Nikakumbuka kuwa ulisema kwenye mihogo, unaweza pia kutengeneza Spirit. Ndiyo maana nimekuja moja kwa moja kwako na kwa Malila, Mzee wa chungu kubwa.

Kwa sasa sisi hapa na Umoja wetu wa Watanzania Poland(TAP), tukishirikiana na Ubalozi wa Tanzania Berlin, tunajitajidi kutafuta wawekezaji watakaotaka kuwekeza peke yao au kuunga nguvu na Watanzania kwenye miradi ya aina mbalimbali. Nafikiri kwa hili tunaweza tukalifanikisha pia mkapata wadau wenye nguvu zaidi na mkaanza uzalishaji.

Tuwasiliane kwa email: Ssambali@hotmail.com au simu +48503535735 (Chairman, TAP).
Tunafanya construction ya pilot sasa. Nilipata wadau tukaunganisha nguvu lakini inaonekana haitoshi vilivyo. Natafuta wadau zaidi maana ni biashara kubwa kuliko tulivyotarajia. Tuna plan ya 12 tones capacity production per day lakini inaonekana kwa soko la ndani hatufiki hata 20% na la nje kwa orders tunazopata sasa inahitajika expansion ya mara 15 kutoka tunapoprospect. Thanks na karibu sana
 
Last edited by a moderator:
nimependa sana project yako mkuu Mzuzu.naomba unitumie bussiness plan yako tushirikiane kurun hiyo project ninamfahamu jamaa mmoja anaweza kutusaidia kwa kupata mahitaji ya plant nzima.
nitumie hiyo kwa brjf_badilika@yahoo.com.
 
ni vizuri ila kwa hapa kwetu labda jaribu kutumia kampuni ambayo imesajiriwa tayari na ukaongea nao kwa udhamini ili uweze aminika then ukisha pata mdhamini utakuwa na uwezo wa kusimama kama ww na kuendelea. Hongera xana na jua mwanzo ni mgumu xana.
 
Hi nyote.
Congrats Mzuzu na wote ulio team up nao. Naomba picha ya mulipofikia na inahitajika kuongeza nguvu at what level kwa maana ya milion ngapi. Naomba niwajoin pia nina ka hela kidogo zijajua nikafanyie nini
 
Mkuu Mzuzu,Nakukubali sana, nakutakia kila la heri ktk project yenu. Usisite ku-share na sisi changamoto utakazo kutana nazo.
 
Mkuu Mzuzu,Nakukubali sana, nakutakia kila la heri ktk project yenu. Usisite ku-share na sisi changamoto utakazo kutana nazo.

Ahsante sana mkuu nitarudi kuna update mara kwa mara
 
Back
Top Bottom