Mu-Israeli
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 2,454
- 975
Kuweka Irrigation system ekari 20 inarange kwenye 60M.. so as your planning try to do a thorough research kwenye estimations zako. Kwa haraka sana naona it is good to start small and grow big....!!
Mkuu Ndenga,
Naomba kuelimishwa zaidi hapo, hizo gharama za irrigation system ni za system ya mabomba na sprinklers, au ni system ya mifereji ya kutiririsha maji shambani ?
Naomba elimu zaidi hapo,
Asante.