Project kubwa ya kilimo RUVU!

Project kubwa ya kilimo RUVU!

Najaribu kucheck kama kuna wanaolima tikiti kwenye greenhouses, kwa bahat mbaya sijaona one. So inaweza ikahitaj kuwauliza wataalam wa kilimo kupitia hizo number kwenye hizo clips za Syngenta. Nikiwa karibu ntakutafuta tuone km tunaweza badalishana mawazo mawil matatu eneo hili coz I like sana kilimo na nadhan ni njia nzuri ya kutokea.


Arusha kuna chuo kinafundisha Horticulture kinapatikana Tengeru karibu na CDTI. Hapo naamini wataalam wa mazao ya matunda na mboga mboga na maua wataweza kutoa msaada zaidi ya Greenhouse Farming, Rotational na ecology zones pia.
 
Arusha kuna chuo kinafundisha Horticulture kinapatikana Tengeru karibu na CDTI. Hapo naamini wataalam wa mazao ya matunda na mboga mboga na maua wataweza kutoa msaada zaidi ya Greenhouse Farming, Rotational na ecology zones pia.
Yap! hata mm nadhan itabd nifike hapo kwa kupata maujuzi zaidi!
 
kilimo kikikubali ni kama ngada vile mavuno yake ya fwedha,wazo zuri sana hlo mkuu,uwe sirias utatoka vibaya vibaya,ndo shughuli pekee ya halali iingizayo fweza za kufuru kwa kipindi kfupi,ngoja nijichange then nikiwa na hata ka laki 2 niwe joint venture na wewe
 
Kuna mashamba ya Maua Arusha wanaweza kukufundisha au hata kukuazima wataalam wakakutengenezee kwa shamba lako, kuna bingwa mmoja majuzi tu alitengenezewa shambani kwake ajaribu kulima uyoga.

Nitajitahidi kukutafutia mawasiliano yao.
Ntashukuru sana mkuu!
 
Wakuu natafuta members ili tuanzishe project kubwa ya kilimo RUVU,nimeplani kilimo cha matikiti maji na natarajia kuwekeza mtaji wa kuanzia 5-10million.
Kwa aliyetayari aniwekee PM ili tuongee fresh.Tutaandika mkataba na mgao wa faida ni kwa hisa kutegemea na mtaji wako.
Natarajia kuanza mchakato jan,
NOTE:sijapata mashamba ila kwa mujibu wa Wataalam pale Ruvu matikiti yanakubali fresh.
Pia kwa anayejua soko zuri zaidi atuwekee hapa ingawa matikiti yana soko zuri.
Naomba kuwasilisha.
mtaji mdogo huo, unataka kulima eka ngapi?
 
Jamani tuunganeni ili tujikomboe kwenye kilimo.
Mkuu CHAI CHUNGU naona uko kimya sana kaka,ebu lete wazo tufanyeje ili tuungane?maana nasikia hapo ruvu mazao mengi sana yanakubali.
Cc Rocky
 
Last edited by a moderator:
Wakuu hivi spinach na kabich zinakubali vizuri ruvu?
 
Wakuu hivi spinach na kabich zinakubali vizuri ruvu?

Mimi binafsi sina uzoefu wa mboga hizi, ila jamaa kule wanalima sana bamia (nafikiri kutokana na urahisi wa matunzo yake).
Pia wanalima sana matikiti. Ila sina shaka kuwa hata kabichi na spinach zinakubali, maana mpaka sasa sijaona zao ambalo limekataa kule.
 
Mimi binafsi sina uzoefu wa mboga hizi, ila jamaa kule wanalima sana bamia (nafikiri kutokana na urahisi wa matunzo yake).
Pia wanalima sana matikiti. Ila sina shaka kuwa hata kabichi na spinach zinakubali, maana mpaka sasa sijaona zao ambalo limekataa kule.
Good sound mkuu!
 
Mkuu chai tamu tafadhali tupatie mrejesho, ulifanikiwa kupata members? Na je kilimo cha matikiti kikoje? Tafadhali tupe experience yako. Thanks
 
Hi Roky,
Asante kwa information uliyoweka hapo mwaka jana 🙂. Mimi niko interested na kukodi shamba karibu na mto Ruvu ili nilime Vitunguu na matikiti na bamia. Naomba kama bado unazo contacts uniunganishe na wadau wa Ruvu. Many thanks.Namba yangu ni 0784 810 347.
 
Wakuu natafuta members ili tuanzishe project kubwa ya kilimo RUVU,nimeplani kilimo cha matikiti maji na natarajia kuwekeza mtaji wa kuanzia 5-10million.
Kwa aliyetayari aniwekee PM ili tuongee fresh.Tutaandika mkataba na mgao wa faida ni kwa hisa kutegemea na mtaji wako.
Natarajia kuanza mchakato jan,
NOTE:sijapata mashamba ila kwa mujibu wa Wataalam pale Ruvu matikiti yanakubali fresh.
Pia kwa anayejua soko zuri zaidi atuwekee hapa ingawa matikiti yana soko zuri.
Naomba kuwasilisha.
Then mkuu chai changu tumezimiss Hadith sana.
 
Mkuu Chai Chungu,

Kwa heshima na taadhima,tunaomba uje utupe mrejesho wa mradi wako/wenu wa matikiti maji ili nasi tuweze kupata ufafanuzi zaidi toka kwenu

Asante
 
Back
Top Bottom